maguzu masese
JF-Expert Member
- Jan 22, 2013
- 283
- 139
Jana
wameshangazwa na kauli walizo kutana nazo vijijini na mitaani, wanapesa nyingi lakini wananchi kauli mbiu yao ni, "WAO WANA PESA, SISI TUNA MUNGU" Uchaguzi huu mdogo wa udiwani umewekewa nguvu nyingi sana na CCM kiasi cha kuwashangaza wananchi kwa wingi wa magari ya kifahari yaliyoko hapa. CHADEMA itashinda kwa sapoti imdmayopewa.
wameshangazwa na kauli walizo kutana nazo vijijini na mitaani, wanapesa nyingi lakini wananchi kauli mbiu yao ni, "WAO WANA PESA, SISI TUNA MUNGU" Uchaguzi huu mdogo wa udiwani umewekewa nguvu nyingi sana na CCM kiasi cha kuwashangaza wananchi kwa wingi wa magari ya kifahari yaliyoko hapa. CHADEMA itashinda kwa sapoti imdmayopewa.