Asilimia kubwa ya ajali ni madereva wa mabasi na magari binafsi yaliyobeba abiria , jaribu kufikiria sio kubishabisha vitu Vipo wazi kwa takwimu.Acha kukariri usemi wa polisi, dereva mzembe ambaye anaendesha gari akiwa peke yake, abiria atatoka wapi?