From Sir With Love
JF-Expert Member
- Sep 13, 2010
- 2,076
- 3,797
"Kumbe Gabo anakula Mary Jane?"
Heading.
Heading.
Bora yeye ilikuwa ikimchukua anapenda kucheka cheka!.... mwenzie HUYU sasa...ah balaa.
😀lile jani wametumia watu wengi sana mashuhuri,naskia hata mkwere.
huyo alikua hajui kunyonga anaagiza special,Kama anamaanisha bangi mbona nijambo la kawaida.!
Nimefanya kazi katika taasisi fulani kubwa tu HR wa pale tulikuwa 'tunasizi' nae Kama kawaida.
Tena Yeye alikuwa anapenda iwe 'imenyongwa' kabisa na liwe 'tomu'.
tomu ndo nini?Kama anamaanisha bangi mbona nijambo la kawaida.!
Nimefanya kazi katika taasisi fulani kubwa tu HR wa pale tulikuwa 'tunasizi' nae Kama kawaida.
Tena Yeye alikuwa anapenda iwe 'imenyongwa' kabisa na liwe 'tomu'.
🤣🤣🤣😂😂😂 mkuu niliandika marijuana simu ikabadilisha kua Mary Jane 🤣🤣🤣Ulivyotutesa ss wa la saba B Mungu anakuona mkuu,yaan kupambana koote kuona Gabo anavyomla mary jane kumbe unamaanisha bange?
Hahaha Du nimecheka,jamaa hawezi kujiphotolea mwenyewe anataka phantom liwe tayari tayariKama anamaanisha bangi mbona nijambo la kawaida.!
Nimefanya kazi katika taasisi fulani kubwa tu HR wa pale tulikuwa 'tunasizi' nae Kama kawaida.
Tena Yeye alikuwa anapenda iwe 'imenyongwa' kabisa na liwe 'tomu'.
Hahaha Du nimecheka,jamaa hawezi kujimwenyewe anataka phantom liwe tayari tayariKama anamaanisha bangi mbona nijambo la kawaida.!
Nimefanya kazi katika taasisi fulani kubwa tu HR wa pale tulikuwa 'tunasizi' nae Kama kawaida.
Tena Yeye alikuwa anapenda iwe 'imenyongwa' kabisa na liwe 'tomu'.
lile jani wametumia watu wengi sana mashuhuri,naskia hata mkwere.
Hahaha Du nimecheka,jamaa hawezi kujiphotolea mwenyewe anataka phantom liwe tayari tayari