Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 22,751
- 19,987
Kalenga...
Jana wabunge wawili, Godbless Lema (Arusha Mjini) na Mchungaji Peter Msigwa (Iringa Mjini), walitua kwa chopa jimboni humo tayari kuungana na timu ya kampeni huku viongozi wengine wa chama hicho wakitarajiwa kuanza kuwasili leo.
Ikumbukwe Mwamba G Lema anarekodi za kuisambaratisha ccm pamoja na ccm kutumia viongozi wake wa juu na nguvu kubwa za fedha katika Chaguzi ila kwa Mwamba G Lema ccm wamekuwa katika wakati mgumu sana.
Tetesi zilizozagaa hapa Kalenga ni kwamba wanachama wa ccm wanahofia Nguvu kubwa hii iliyowasili licha ya timu iliyotangulia ya vijana wa BAVICHA bado kuwapeleka mpela mpela ccm (kuzidiwa hoja) na ujio wa Mwamba wa Kaskazini na Kamanda Msigwa umezidi kuwatia hofu ccm kuzamishwa katika uchaguzi .
Ikubukwe kwamba Makamanda hawa wanaushawishi mkubwa na kujenga hoja zenye mashiko pindi wanaposhambulia jukwaa bila kusahau ulinzi shirikishi katika zoezi la upigaji wa Kura.
Stay tuned www.jamiiforums .com
Makamanda ndani ya Kalenga
Jana wabunge wawili, Godbless Lema (Arusha Mjini) na Mchungaji Peter Msigwa (Iringa Mjini), walitua kwa chopa jimboni humo tayari kuungana na timu ya kampeni huku viongozi wengine wa chama hicho wakitarajiwa kuanza kuwasili leo.
Ikumbukwe Mwamba G Lema anarekodi za kuisambaratisha ccm pamoja na ccm kutumia viongozi wake wa juu na nguvu kubwa za fedha katika Chaguzi ila kwa Mwamba G Lema ccm wamekuwa katika wakati mgumu sana.
Tetesi zilizozagaa hapa Kalenga ni kwamba wanachama wa ccm wanahofia Nguvu kubwa hii iliyowasili licha ya timu iliyotangulia ya vijana wa BAVICHA bado kuwapeleka mpela mpela ccm (kuzidiwa hoja) na ujio wa Mwamba wa Kaskazini na Kamanda Msigwa umezidi kuwatia hofu ccm kuzamishwa katika uchaguzi .
Ikubukwe kwamba Makamanda hawa wanaushawishi mkubwa na kujenga hoja zenye mashiko pindi wanaposhambulia jukwaa bila kusahau ulinzi shirikishi katika zoezi la upigaji wa Kura.
Stay tuned www.jamiiforums .com
Makamanda ndani ya Kalenga