sirluta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2012
- 6,325
- 2,486
Katika kituo hicho cha Osterbay uchaguzi umerudiwa leo na muda huu kuna vurugu zinazofanywa na wafuasi wa CHADEMA wakiongozwa na mbunge wao G. Lema na mbunge wa viti maalum ambapo mgombea kupitia CCM amejeruhiwa.
Bar iliyopo karibu ya Komela Shine imefungwa pamoja na maduka ya jirani kutokana na vurugu hizo. Kikosi cha polisi na kamanda wa polisi wa mkoa tayari wameshafika kutuliza ghasia.
Bar iliyopo karibu ya Komela Shine imefungwa pamoja na maduka ya jirani kutokana na vurugu hizo. Kikosi cha polisi na kamanda wa polisi wa mkoa tayari wameshafika kutuliza ghasia.