MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,259
Ee bwana Msalani ulikuwa wapi muda wote?
Hii thread ulipaswa kuanzisha wewe bhana, natambua nafasi yako kama mbunge kivuli wa Arusha mjini...na mtani wa jadi wa Lema.
Mkuu.
Lema ana kiherehere sana. Hajui majukumu yake kama Mbunge. Sasa uchaguzi mdogo kama huu wa kumpata mwenyekiti wa mtaa. Kulikuwa na haja gani ya kufanya fujo zote hizi mpaka kumng'oa mtu meno?