FY2021/22 Serikali kutoa Trilioni 11 kulipa madeni ya nyuma

Rais wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan ameipongeza ATCL kwa kupanua biashara ya usafiri na usafirishaji ya anga, hasa baada ya ATCL kuongeza safari zake za kibiashara kwa karibu mara tatu.

Rais Samia ameipongeza zaidi ATCL kwa kurejesha Safari za Kenya Nairobi tena kwa gharama ndogo ya KSh37,525 au $334 sawa na TZS 770, Two ways.

Lazima tufahanu kuwa mwendo huu wa kasi wa ATCL ni kabla ya ujio wa ndege mpya tano za kisasa zinazotarajiwa kuingia nchini ndani ya kipindi kifupi kijacho, hakika hakuna kama Rais Samia.



Natangaza rasmi kumuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan,
 
Tanzania na Samia,

1.Uchumi Juu,

2. Uwekezaji juu

3. Diplomasia juu

4. Amani & Upendo juu

5. Maendeleo juu

6. Demokrasia juu
 
Rais Samia Suluhu Hassan kimyakimya ameendelea kulipa madeni mbalimbali kwa makampuni binafsi au taasisi.

Kwakuanzia tu mwaka huu pekee Rais Samia analipa madeni yenye thamani ya Jumla ya zaidi ya TZS11.17623Trilioni.

Watanzania mnapoambiwa Rais Samia ni levels zingine muelewe pamoja na kulipa madeni yote haya miradi yote ya maendeleo Mipya na yazamani inaendelea kwa speed, Pitia hii listi ya malipo

1 . Mama ametoa Jumla ya fedha kiasi cha TZS 111.41BL ili kuwalipa watumishi wa Serikali wanaoidai Serikali,

Tunafahamu malipo haya yataongeza ari na nguvu zaidi kwa watumishi hawa wa Serikali kufanya kazi kwa bidii na maarifa ili kuwatumikia Watanzania ambao ndio waajiri wao, Je! hili si jambo jema?

2. Mama ametoa Jumla ya fedha kiasi cha TZS 264.23BL kwaajili ya kuwalipa wakandarasi wetu mbalimbali wa nje na ndani waliokuwa wanaidai Serikali.

Hii itaongeza imani na uaminifu kwao katika kuendelea kutoa huduma kwa Serikali yetu ya JMT, Je! hili si jambo jema?

3. Mama ametoa Jumla ya fedha kiasi cha TZS 70.49BL kwaajili ya kuwalipa Wazabuni wetu mbalimbali waliotoa bidhaa na huduma kwa Serikali yetu.

Sote ni mashahidi Wazabuni wengi walikuwa wakilalamika kudaiwa mikopo benki naamini wamefuraha sasa na Wataendelea kutekeleza ilani ya CCM ya 2020-2025 bila kinyongo, Je! hili si jambo jema?

4. Mama ametoa Jumla ya fedha kiasi cha TZS 2.17BL ili kuwalipa watoa huduma mbalimbali waliokuwa wanaidai Serikali kutoka katika Wizara mbalimbali.

Hakika mama huyu anajicho la pekee kama hujaelewa unakwenda wapi na Rais Samia basi ni wazi wewe hujui unakotaka kwenda-Je! hili si jambo jema?

5. Mama ametoa Jumla ya fedha kiasi cha TZS 67.93BL kwaajili ya hukumu na fidia mbalimbali ambazo Serikali inadaiwa baada ya kushindwa kesi mbalimbali ili kutengeneza imani kwa wawekezaji wa ndani na nje pamoja na watu binafsi,Je! hili si jambo jema?

6. Mama ametoa Jumla ya fedha kiasi cha TZS 10.66Trilioni ili kulipia deni la Serikali pamoja na mikopo mingine kwa uwezo wa Manani kupitia Rais Samia na timu yake tutafika tena kwa kuwahi sana.

Je, hili si jambo jema?

316658ce7f9d5000c44620b6fe87a53d.jpg
Chawa namba moja usitutoe kwenye reli
 
Rais Samia Suluhu Hassan kimyakimya ameendelea kulipa madeni mbalimbali kwa makampuni binafsi au taasisi.

Kwakuanzia tu mwaka huu pekee Rais Samia analipa madeni yenye thamani ya Jumla ya zaidi ya TZS11.17623Trilioni.

Watanzania mnapoambiwa Rais Samia ni levels zingine muelewe pamoja na kulipa madeni yote haya miradi yote ya maendeleo Mipya na yazamani inaendelea kwa speed, Pitia hii listi ya malipo

1 . Mama ametoa Jumla ya fedha kiasi cha TZS 111.41BL ili kuwalipa watumishi wa Serikali wanaoidai Serikali,

Tunafahamu malipo haya yataongeza ari na nguvu zaidi kwa watumishi hawa wa Serikali kufanya kazi kwa bidii na maarifa ili kuwatumikia Watanzania ambao ndio waajiri wao, Je! hili si jambo jema?

2. Mama ametoa Jumla ya fedha kiasi cha TZS 264.23BL kwaajili ya kuwalipa wakandarasi wetu mbalimbali wa nje na ndani waliokuwa wanaidai Serikali.

Hii itaongeza imani na uaminifu kwao katika kuendelea kutoa huduma kwa Serikali yetu ya JMT, Je! hili si jambo jema?

3. Mama ametoa Jumla ya fedha kiasi cha TZS 70.49BL kwaajili ya kuwalipa Wazabuni wetu mbalimbali waliotoa bidhaa na huduma kwa Serikali yetu.

Sote ni mashahidi Wazabuni wengi walikuwa wakilalamika kudaiwa mikopo benki naamini wamefuraha sasa na Wataendelea kutekeleza ilani ya CCM ya 2020-2025 bila kinyongo, Je! hili si jambo jema?

4. Mama ametoa Jumla ya fedha kiasi cha TZS 2.17BL ili kuwalipa watoa huduma mbalimbali waliokuwa wanaidai Serikali kutoka katika Wizara mbalimbali.

Hakika mama huyu anajicho la pekee kama hujaelewa unakwenda wapi na Rais Samia basi ni wazi wewe hujui unakotaka kwenda-Je! hili si jambo jema?

5. Mama ametoa Jumla ya fedha kiasi cha TZS 67.93BL kwaajili ya hukumu na fidia mbalimbali ambazo Serikali inadaiwa baada ya kushindwa kesi mbalimbali ili kutengeneza imani kwa wawekezaji wa ndani na nje pamoja na watu binafsi,Je! hili si jambo jema?

6. Mama ametoa Jumla ya fedha kiasi cha TZS 10.66Trilioni ili kulipia deni la Serikali pamoja na mikopo mingine kwa uwezo wa Manani kupitia Rais Samia na timu yake tutafika tena kwa kuwahi sana.

Je, hili si jambo jema?

316658ce7f9d5000c44620b6fe87a53d.jpg
 
Unamaana gani? Huoni manufaa ya CCM Tanzania?
Wewe lazima uyaone maana kila mtu anayo namna yake ya kitathmini. Ukiona misaada na mikopo ya nje inaitwa pesa za ndani na watu wanashangilia jua kuna tatizo kama sio mifadhaiko kwenye vichwa vya washangiliaji.
 
Rais Samia Suluhu Hassan kimyakimya ameendelea kulipa madeni mbalimbali kwa makampuni binafsi au taasisi.

Kwakuanzia tu mwaka huu pekee Rais Samia analipa madeni yenye thamani ya Jumla ya zaidi ya TZS11.17623Trilioni.

Watanzania mnapoambiwa Rais Samia ni levels zingine muelewe pamoja na kulipa madeni yote haya miradi yote ya maendeleo Mipya na yazamani inaendelea kwa speed, Pitia hii listi ya malipo

1 . Mama ametoa Jumla ya fedha kiasi cha TZS 111.41BL ili kuwalipa watumishi wa Serikali wanaoidai Serikali,

Tunafahamu malipo haya yataongeza ari na nguvu zaidi kwa watumishi hawa wa Serikali kufanya kazi kwa bidii na maarifa ili kuwatumikia Watanzania ambao ndio waajiri wao, Je! hili si jambo jema?

2. Mama ametoa Jumla ya fedha kiasi cha TZS 264.23BL kwaajili ya kuwalipa wakandarasi wetu mbalimbali wa nje na ndani waliokuwa wanaidai Serikali.

Hii itaongeza imani na uaminifu kwao katika kuendelea kutoa huduma kwa Serikali yetu ya JMT, Je! hili si jambo jema?

3. Mama ametoa Jumla ya fedha kiasi cha TZS 70.49BL kwaajili ya kuwalipa Wazabuni wetu mbalimbali waliotoa bidhaa na huduma kwa Serikali yetu.

Sote ni mashahidi Wazabuni wengi walikuwa wakilalamika kudaiwa mikopo benki naamini wamefuraha sasa na Wataendelea kutekeleza ilani ya CCM ya 2020-2025 bila kinyongo, Je! hili si jambo jema?

4. Mama ametoa Jumla ya fedha kiasi cha TZS 2.17BL ili kuwalipa watoa huduma mbalimbali waliokuwa wanaidai Serikali kutoka katika Wizara mbalimbali.

Hakika mama huyu anajicho la pekee kama hujaelewa unakwenda wapi na Rais Samia basi ni wazi wewe hujui unakotaka kwenda-Je! hili si jambo jema?

5. Mama ametoa Jumla ya fedha kiasi cha TZS 67.93BL kwaajili ya hukumu na fidia mbalimbali ambazo Serikali inadaiwa baada ya kushindwa kesi mbalimbali ili kutengeneza imani kwa wawekezaji wa ndani na nje pamoja na watu binafsi,Je! hili si jambo jema?

6. Mama ametoa Jumla ya fedha kiasi cha TZS 10.66Trilioni ili kulipia deni la Serikali pamoja na mikopo mingine kwa uwezo wa Manani kupitia Rais Samia na timu yake tutafika tena kwa kuwahi sana.

Je, hili si jambo jema?

316658ce7f9d5000c44620b6fe87a53d.jpg
Hii ni habari kweli?
Magufuli alikua analipa Bio 700 kila mwezi kwa sababu ya madeni ya nyuma
 
Rais Samia Suluhu Hassan kimyakimya ameendelea kulipa madeni mbalimbali kwa makampuni binafsi au taasisi.

Kwakuanzia tu mwaka huu pekee Rais Samia analipa madeni yenye thamani ya Jumla ya zaidi ya TZS11.17623Trilioni.

Watanzania mnapoambiwa Rais Samia ni levels zingine muelewe pamoja na kulipa madeni yote haya miradi yote ya maendeleo Mipya na yazamani inaendelea kwa speed, Pitia hii listi ya malipo

1 . Mama ametoa Jumla ya fedha kiasi cha TZS 111.41BL ili kuwalipa watumishi wa Serikali wanaoidai Serikali,

Tunafahamu malipo haya yataongeza ari na nguvu zaidi kwa watumishi hawa wa Serikali kufanya kazi kwa bidii na maarifa ili kuwatumikia Watanzania ambao ndio waajiri wao, Je! hili si jambo jema?

2. Mama ametoa Jumla ya fedha kiasi cha TZS 264.23BL kwaajili ya kuwalipa wakandarasi wetu mbalimbali wa nje na ndani waliokuwa wanaidai Serikali.

Hii itaongeza imani na uaminifu kwao katika kuendelea kutoa huduma kwa Serikali yetu ya JMT, Je! hili si jambo jema?

3. Mama ametoa Jumla ya fedha kiasi cha TZS 70.49BL kwaajili ya kuwalipa Wazabuni wetu mbalimbali waliotoa bidhaa na huduma kwa Serikali yetu.

Sote ni mashahidi Wazabuni wengi walikuwa wakilalamika kudaiwa mikopo benki naamini wamefuraha sasa na Wataendelea kutekeleza ilani ya CCM ya 2020-2025 bila kinyongo, Je! hili si jambo jema?

4. Mama ametoa Jumla ya fedha kiasi cha TZS 2.17BL ili kuwalipa watoa huduma mbalimbali waliokuwa wanaidai Serikali kutoka katika Wizara mbalimbali.

Hakika mama huyu anajicho la pekee kama hujaelewa unakwenda wapi na Rais Samia basi ni wazi wewe hujui unakotaka kwenda-Je! hili si jambo jema?

5. Mama ametoa Jumla ya fedha kiasi cha TZS 67.93BL kwaajili ya hukumu na fidia mbalimbali ambazo Serikali inadaiwa baada ya kushindwa kesi mbalimbali ili kutengeneza imani kwa wawekezaji wa ndani na nje pamoja na watu binafsi,Je! hili si jambo jema?

6. Mama ametoa Jumla ya fedha kiasi cha TZS 10.66Trilioni ili kulipia deni la Serikali pamoja na mikopo mingine kwa uwezo wa Manani kupitia Rais Samia na timu yake tutafika tena kwa kuwahi sana.

Je, hili si jambo jema?

316658ce7f9d5000c44620b6fe87a53d.jpg
#Tanzania Kaziiendelee
 
Back
Top Bottom