FY2021|22 HESLB imesajili wanafunzi wapya elfu 29 tofauti na elfu 32 wapya waliosajiliwa FY2016|2020

Kwamiezi sita tu ya awamu ya sita Rais Samia ameongeza Jumla ya wanafunzi wanufaika 29,117 wa HESLB,Mtakumbuka miaka mitano ya awamu ya tano tuliongeza wanafunzi 32,583,God's Good​


Mpaka awamu ya nne inaondoka madarakani FY2015|16 kulikuwa na Jumla ya wanafunzi 98'300 walionufaika na mikopo ya elimu ya juu ( HESLB ),Pia mpaka FY2020|21 wanafunzi wanufaika wa HESLB walifikia 130'883 sawa na ongezeko la wanafunzi wapya 32,583 hii ni kwa miaka mitano mfululizo ya awamu ya tano ,Maajabu ni miezi sita ya Rais Samia idadi ya wanufaika wa HESLB wamefikia 160,000 sawa na ongezeko la wanafunzi wapya 29,177 hii ni miezi sita tu ya huyu mama,Hakika mama anastahili maombi ya nguvu sana,

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetangaza leo (Jumapili, Oktoba 17, 2021) orodha ya Awamu ya Kwanza yenye wanafunzi 37,731 wa mwaka wa kwanza waliopangiwa mikopo yenye thamani ya TZS 99.9 bilioni kwa mwaka wa masomo 2021/2022 unaotarajiwa kuanzia wiki ijayo.

Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB Bw. Abdul-Razaq Badru amesema kuwa kati ya wanafunzi hao (37,731), wanaume ni 23,379 sawa na 62% na wanawake ni 14,352 sawa na 38%.

Badru ameongeza kuwa HESLB imeanza kupeleka fedha za wanafunzi waliopangiwa mikopo katika vyuo mbalimbali na kuwataka wanafunzi kupata taarifa za kina katika akaunti walizotumia kuomba mkopo maarufu kama SIPA (Student’s Individual Permanent Account) na kujiandaa kwenda vyuoni kwa ajili ya kujisajili.

“Serikali imeshatupatia fedha na tumeanza kuzipeleka vyuoni … lengo letu ni kuhakikisha wanafunzi wanaopangiwa wanazikuta fedha vyuoni ambako watajisajili na kupokea ili watimize ndoto zao,” amesema Badru.

Tarehe ya kutolewa orodha ya Awamu ya Pili

Kuhusu kutangazwa kwa orodha ya Awamu ya Pili, Badru amesema imepangwa kutolewa Alhamisi, Oktoba 21|2021 baada ya kukamilisha uchambuzi wa maombi unaoendelea na kuwataka waombaji mikopo kutembelea akaunti zao ya SIPA kupata taarifa kuhusu maombi yao.

“Orodha hii ya kwanza inajumuisha wanafunzi wenye sifa zikiwemo kuwa wahitaji, wameomba kwa usahihi na wana udahili wa chuo kimoja … tunakamilisha uchambuzi wa maombi mengine na tutaoa orodha ya pili katika siku mbili zijazo, yaani Jumatamo, Oktoba 20|2021” amesema Badru.

TZS 570 Bilioni zimetengwa kwa mikopo ya elimu ya juu FY2021|2022 Kutoka 450B za FY2020|21 na 348.7B za mwaka 2015|16,Hii ni sawa na kusema Rais Samia kwa miezi sita ameongeza Tshs 120B wakati awamu iliyopita kwa miaka mitano iliongeza Tshs 101.3B tu,Hata kama akili huna picha huoni?

Kwa mujibu wa Badru, Serikali imetenga TZS 570 bilioni kwa ajili ya mikopo ya jumla ya wanafunzi 160,000. Kati yao, wanafunzi 70,000 watakuwa ni wanufaika wapya na wanafunzi zaidi ya 90,000 ni wale wanaoendelea na masomo baada ya kufaulu mitihani yao ya mwaka.

Fedha zimeanza kutumwa vyuoni

Wakati huohuo, Badru amesema HESLB imeshapokea fedha kwa ajili ya malipo ya wanafunzi na taratibu za malipo zimeanza ili fedha hizo ziwe zimefika vyuoni kuanzia Jumanne, Oktoba 19|2021

Aidha, Bodi inapenda kuwasihi waombaji wa mikopo kuwa watulivu wakati mchakato wa upangaji wa mikopo kwa wanafunzi wenye sifa kwa awamu inayofuata ukiendelea.

Kila kitu Tanzania kinakwenda sawa sawa,
 
HESLB mambo ni moto fire, Kama kuna watu wa kumshukuru Rais Samia kwa nguvu zao zote basi ni hawa wanafunzi wa vyuo vikuu,
 
IMG-20220204-WA0002.jpg
 
👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿

Kutoka Mwaka 2015/16 hadi 2020/21 pesa iliyoongezwa bodi ya mikopo ilikuwa Tshs 101BL na wanafunzi wapya walikuwa elfu 32 ,

Awamu ya sita kwa miezi sita pesa iliyoongezwa kwenye bodi hiyohiyo ni Tsh 120b na wanafunzi wapya ni elfu 29

Budget ya HESLB kwa mwaka 2015/16 ilikuwa 348.7B kwa wanafunzi 98,300

Budget ya HESLB mwaka 2020/21 ilifikia 450B kwa wanafunzi 130,883

_________________________

Awamu ya sita kwa miezi sita imeongeza budget kutoka 450B za awali hadi 570B za sasa na idadi ya wanufaika imeongezeka na kufikia 160,000.

#Hoja hapa ni muda wa matokeo

#HAKUNA KAMA SAMIA


C&P
Nzuri sana hii summary
 

Kwamiezi michache tu ya awamu ya sita Rais Samia ameongeza Jumla ya wanafunzi wanufaika wapya 29,117 wa HESLB,Mtakumbuka miaka mitano ya awamu ya tano tuliongeza wanafunzi wapya 32,583,God's Good​

===

Mpaka awamu ya nne inaondoka madarakani FY2015|16 kulikuwa na Jumla ya wanafunzi 98'300 walionufaika na mikopo ya elimu ya juu ( HESLB ),

Lakini pia mpaka mwishoni mwamuhula wa kwanza wa awamu ya tano FY2020|21 wanafunzi wanufaika wa HESLB walifikia 130'883 sawa na ongezeko la wanafunzi wapya 32,583,

Ongezeko hili ni kwa miaka yote mitano mfululizo ya awamu ya tano,

Maajabu ni hii miezi michache ya Rais Samia Suluhu idadi ya wanufaika wa HESLB imefikia 160,000,

Idadi hii mpya ya wanafunzi ni sawa na ongezeko la wanafunzi wapya 29,177 hii ni kwa miezi hii michache ya Mama Samia ,Hakika Mama anastahili maombi ya nguvu sana,

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) ilitangaza orodha ya Awamu ya Kwanza yenye wanafunzi 37,731 wa mwaka wa kwanza,

Idadi hii ya kwanza ya wanafunzi iligharimu thamani ya mikopo yenye thamani ya TZS 99.9 bilioni kwa mwaka wa masomo 2021|2022,

Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB Bw. Abdul-Razaq Badru alitaarifu kuwa kati ya wanafunzi hao (37,731), wanaume ni 23,379 sawa na 62% na wanawake ni 14,352 sawa na 38%.

Badru aliongeza kuwa HESLB ilianza kupeleka fedha za wanafunzi waliopangiwa mikopo katika vyuo mbalimbali nchi kwa wakati,

“Orodha hiyo ya kwanza ilijumuisha wanafunzi wenye sifa zikiwemo kuwa wahitaji, wameomba kwa usahihi na wana udahili wa chuo kimoja,"

Badru alisema " tulikamilisha uchambuzi wa maombi mengine na tulitoa orodha ya pili ndani ya siku mbili"

TZS 570 Bilioni zilitengwa kwa mikopo ya elimu ya juu FY2021|2022 Kutoka 450BL za FY2020|21 au 348.7BL za mwaka 2015|16,

Hii ni sawa na kusema Rais Samia kwa muda mfupi ameongeza TZS 120BL wakati awamu iliyopita kwa miaka mitano iliongeza TZS 101.3BL tu kwa miaka mitano,

Kwa mujibu wa Badru, Serikali ilitenga TZS 570 bilioni kwa ajili ya mikopo ya jumla ya wanafunzi 160,000.

Aidha, Kati yao wanafunzi 70,000 watakuwa ni wanufaika wapya na wanafunzi zaidi ya 90,000 ni wale wanaoendelea na masomo baada ya kufaulu mitihani yao ya mwaka.

Wakati huohuo, Badru alisema HESLB ilipokea fedha kwa wakati kwa ajili ya malipo ya wanafunzi na taratibu za malipo zilianza haraka ili fedha hizo ziwafikie wanafunzi vyuoni kwa wakati,

Tuko vizuri sana,
 

Kwamiezi michache tu ya awamu ya sita Rais Samia ameongeza Jumla ya wanafunzi wanufaika wapya 29,117 wa HESLB,Mtakumbuka miaka mitano ya awamu ya tano tuliongeza wanafunzi wapya 32,583,God's Good​

===

Mpaka awamu ya nne inaondoka madarakani FY2015|16 kulikuwa na Jumla ya wanafunzi 98'300 walionufaika na mikopo ya elimu ya juu ( HESLB ),

Lakini pia mpaka mwishoni mwamuhula wa kwanza wa awamu ya tano FY2020|21 wanafunzi wanufaika wa HESLB walifikia 130'883 sawa na ongezeko la wanafunzi wapya 32,583,

Ongezeko hili ni kwa miaka yote mitano mfululizo ya awamu ya tano,

Maajabu ni hii miezi michache ya Rais Samia Suluhu idadi ya wanufaika wa HESLB imefikia 160,000,

Idadi hii mpya ya wanafunzi ni sawa na ongezeko la wanafunzi wapya 29,177 hii ni kwa miezi hii michache ya Mama Samia ,Hakika Mama anastahili maombi ya nguvu sana,

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) ilitangaza orodha ya Awamu ya Kwanza yenye wanafunzi 37,731 wa mwaka wa kwanza,

Idadi hii ya kwanza ya wanafunzi iligharimu thamani ya mikopo yenye thamani ya TZS 99.9 bilioni kwa mwaka wa masomo 2021|2022,

Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB Bw. Abdul-Razaq Badru alitaarifu kuwa kati ya wanafunzi hao (37,731), wanaume ni 23,379 sawa na 62% na wanawake ni 14,352 sawa na 38%.

Badru aliongeza kuwa HESLB ilianza kupeleka fedha za wanafunzi waliopangiwa mikopo katika vyuo mbalimbali nchi kwa wakati,

“Orodha hiyo ya kwanza ilijumuisha wanafunzi wenye sifa zikiwemo kuwa wahitaji, wameomba kwa usahihi na wana udahili wa chuo kimoja,"

Badru alisema " tulikamilisha uchambuzi wa maombi mengine na tulitoa orodha ya pili ndani ya siku mbili"

TZS 570 Bilioni zilitengwa kwa mikopo ya elimu ya juu FY2021|2022 Kutoka 450BL za FY2020|21 au 348.7BL za mwaka 2015|16,

Hii ni sawa na kusema Rais Samia kwa muda mfupi ameongeza TZS 120BL wakati awamu iliyopita kwa miaka mitano iliongeza TZS 101.3BL tu kwa miaka mitano,

Kwa mujibu wa Badru, Serikali ilitenga TZS 570 bilioni kwa ajili ya mikopo ya jumla ya wanafunzi 160,000.

Aidha, Kati yao wanafunzi 70,000 watakuwa ni wanufaika wapya na wanafunzi zaidi ya 90,000 ni wale wanaoendelea na masomo baada ya kufaulu mitihani yao ya mwaka.

Wakati huohuo, Badru alisema HESLB ilipokea fedha kwa wakati kwa ajili ya malipo ya wanafunzi na taratibu za malipo zilianza haraka ili fedha hizo ziwafikie wanafunzi vyuoni kwa wakati,

Historia za Mama hizi
 
Back
Top Bottom