ABC ZA 2025
JF-Expert Member
- May 2, 2018
- 1,160
- 706
🤣🤣Rais Jaffo wa nchi ipi?
🤣🤣Rais Jaffo wa nchi ipi?
Hadi wenye chuki wanajikita wajinga tuu.Samia means of leize afare anafanya makubwa..Rais Samia anatisha kwakweli tuwe wakweli,
Uko sahihi 100% mkuuHadi wenye chuki wanajikita wajinga tuu.Samia means of leize afare anafanya makubwa..
Matumizi ya nguvu bila akili ni stress tupu.Hii inaitwa Kazi na Bata.
Safiii sanaMama Samia chapa kazi,
Mama Ummy chapa kazi,
Watanzania Chapa kazi,
#Kaziiendelee Tanzania
Wamekaa kimya woteHadi wenye chuki wanajikita wajinga tuu.Samia means of leize afare anafanya makubwa..
Matumizi ya nguvu bila akili ni stress tupu.Hii inaitwa Kazi na Bata.
kazi nzuri sana===
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa, na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) Mhe. Ummy Mwalimu amewataka Wananchi wa Wilaya ya Mkalama mkoani Singida kuzitunza barabara zilizojengwa na Serikali ili ziweze kudumu muda mrefu.
Mhe. Ummy ametoa ombi hilo wakati akizungumza na wananchi hao wakati akikagua barabara ya Singa- Kinampundu-Ilunda iliyojengwa kwa kiwango cha changarawe katika ziara ya kikazi ya siku moja wilayani humo ya kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo.
"Jambo lililokubwa niwatake wananchi mzitunze hizi barabara kwa sababu Serikali inazitengeneza lakini kunawananchi wanapitisha majembe ya kukokotwa na ng'ombe na vitu vingine vinavyoharibu barabara kwa hiyo niwatake ulinzi wa barabara uwe ni jukumu letu sote kwa sababu fedha zilizotumika kuzitengeneza ni nyingi hivyo tunatamank ziendelee kuwa na ubora na zisaidie kwa shughuli mbalimbali za kiuchumi" alisema Waziri Ummy.
Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe. Belinth Mahenge amesema hivi karibu wameshasaini Mikataba 16 yenye thamani ya sh. Bil 12.5
kwa ajili ya ujenzi wa barabara mbalimbali za Mkoa wa Singida.
Bajeti ya barabara kwa Mkoa wa Singida imepanda kutoka TZS 6.1BL kwa mwaka 2020|21 mpaka TZS 22.4BL hivyo barabara nyingi za mkoa huo zitaimarika kutoka na ongezeko la Bajeti hiyo.Hapa lazima tumshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwani ndio chanzo cha bajeti hii,
Akitoa taarifa ya ujenzi wa barabara hiyo Kaimu Meneja wa Wakala wa Barabara Mijini na Vijiji wa Wilaya ya Mkalama, Edward Masola alisema matengenezo ya barabara hiyo yatagharimu kiasi cha Sh.milioni 91,201,000.
Alisema barabara hiyo ambayo inaunganisha Kata za Ilunda na Kinampundu itakapokamilika itarahisisha usafiri kwa wananchi kufikia huduma za elimu, afya na masoko.
View attachment 2053904
View attachment 2053905
Hadi wenye chuki wanajikita wajinga tuu.Samia means of leize afare anafanya makubwa..
Matumizi ya nguvu bila akili ni stress tupu.Hii inaitwa Kazi na Bata.
Mwigulu Lameck Madelu Nchemba una IDmpya siku hiziMama ni levels zingine hadi kwa Lissu wanapokea mzigo wa maana
Cyprian Majura Musiba huyu kachukua kazi yako ya kusifu na kuabudu punde atakabidhiwa Tanzanite Media ,Team JF,
MERRY CHRISTMAS AND HAPPY NEW YEAR 2022.
#TUENDELEE KUMUUNGA MKONO RAIS WETU,
Hadi wenye chuki wanajikita wajinga tuu.Samia means of leize afare anafanya makubwa..
Matumizi ya nguvu bila akili ni stress tupu.Hii inaitwa Kazi na Bata.
Daaah kweli nchi ngumu sana hii,Cyprian Majura Musiba huyu kachukua kazi yako ya kusifu na kuabudu punde atakabidhiwa Tanzanite Media ,
Ohoo kaa chonjo
Ila To be host Rais Samia Suluhu anafanya kazi nzuri sana za kimaendeleo,
Bajeti kuongezwa kwa 370% hili si jambo la kawaida aise,
Huyu mama anafanya kazi nzuri sana aise,===
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa, na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) Mhe. Ummy Mwalimu amewataka Wananchi wa Wilaya ya Mkalama mkoani Singida kuzitunza barabara zilizojengwa na Serikali ili ziweze kudumu muda mrefu.
Mhe. Ummy ametoa ombi hilo wakati akizungumza na wananchi hao wakati akikagua barabara ya Singa- Kinampundu-Ilunda iliyojengwa kwa kiwango cha changarawe katika ziara ya kikazi ya siku moja wilayani humo ya kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo.
"Jambo lililokubwa niwatake wananchi mzitunze hizi barabara kwa sababu Serikali inazitengeneza lakini kunawananchi wanapitisha majembe ya kukokotwa na ng'ombe na vitu vingine vinavyoharibu barabara kwa hiyo niwatake ulinzi wa barabara uwe ni jukumu letu sote kwa sababu fedha zilizotumika kuzitengeneza ni nyingi hivyo tunatamank ziendelee kuwa na ubora na zisaidie kwa shughuli mbalimbali za kiuchumi" alisema Waziri Ummy.
Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe. Belinth Mahenge amesema hivi karibu wameshasaini Mikataba 16 yenye thamani ya sh. Bil 12.5
kwa ajili ya ujenzi wa barabara mbalimbali za Mkoa wa Singida.
Bajeti ya barabara kwa Mkoa wa Singida imepanda kutoka TZS 6.1BL kwa mwaka 2020|21 mpaka TZS 22.4BL hivyo barabara nyingi za mkoa huo zitaimarika kutoka na ongezeko la Bajeti hiyo.Hapa lazima tumshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwani ndio chanzo cha bajeti hii,
Akitoa taarifa ya ujenzi wa barabara hiyo Kaimu Meneja wa Wakala wa Barabara Mijini na Vijiji wa Wilaya ya Mkalama, Edward Masola alisema matengenezo ya barabara hiyo yatagharimu kiasi cha Sh.milioni 91,201,000.
Alisema barabara hiyo ambayo inaunganisha Kata za Ilunda na Kinampundu itakapokamilika itarahisisha usafiri kwa wananchi kufikia huduma za elimu, afya na masoko.
View attachment 2053904
View attachment 2053905
Daaah, Mama anapiga kazi balaaHadi wenye chuki wanajikita wajinga tuu.Samia means of leize afare anafanya makubwa..
Matumizi ya nguvu bila akili ni stress tupu.Hii inaitwa Kazi na Bata.
Achana na wapuuzi wenye chuki zao mkuu,mama anaturudisha kwenye uchumi wa enzi za JK.Daaah, Mama anapiga kazi balaa