FY2021/22 Bajeti ya barabara Singida yaongezwa kwa 370% kutoka TZS 6.1BL hadi TZS 22.4BL

===
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa, na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) Mhe. Ummy Mwalimu amewataka Wananchi wa Wilaya ya Mkalama mkoani Singida kuzitunza barabara zilizojengwa na Serikali ili ziweze kudumu muda mrefu.

Mhe. Ummy ametoa ombi hilo wakati akizungumza na wananchi hao wakati akikagua barabara ya Singa- Kinampundu-Ilunda iliyojengwa kwa kiwango cha changarawe katika ziara ya kikazi ya siku moja wilayani humo ya kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo.

"Jambo lililokubwa niwatake wananchi mzitunze hizi barabara kwa sababu Serikali inazitengeneza lakini kunawananchi wanapitisha majembe ya kukokotwa na ng'ombe na vitu vingine vinavyoharibu barabara kwa hiyo niwatake ulinzi wa barabara uwe ni jukumu letu sote kwa sababu fedha zilizotumika kuzitengeneza ni nyingi hivyo tunatamank ziendelee kuwa na ubora na zisaidie kwa shughuli mbalimbali za kiuchumi" alisema Waziri Ummy.

Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe. Belinth Mahenge amesema hivi karibu wameshasaini Mikataba 16 yenye thamani ya sh. Bil 12.5
kwa ajili ya ujenzi wa barabara mbalimbali za Mkoa wa Singida.

Bajeti ya barabara kwa Mkoa wa Singida imepanda kutoka TZS 6.1BL kwa mwaka 2020|21 mpaka TZS 22.4BL hivyo barabara nyingi za mkoa huo zitaimarika kutoka na ongezeko la Bajeti hiyo.Hapa lazima tumshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwani ndio chanzo cha bajeti hii,

Akitoa taarifa ya ujenzi wa barabara hiyo Kaimu Meneja wa Wakala wa Barabara Mijini na Vijiji wa Wilaya ya Mkalama, Edward Masola alisema matengenezo ya barabara hiyo yatagharimu kiasi cha Sh.milioni 91,201,000.

Alisema barabara hiyo ambayo inaunganisha Kata za Ilunda na Kinampundu itakapokamilika itarahisisha usafiri kwa wananchi kufikia huduma za elimu, afya na masoko.



View attachment 2053904

View attachment 2053905
Kazi iendelee
 
===
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa, na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) Mhe. Ummy Mwalimu amewataka Wananchi wa Wilaya ya Mkalama mkoani Singida kuzitunza barabara zilizojengwa na Serikali ili ziweze kudumu muda mrefu.

Mhe. Ummy ametoa ombi hilo wakati akizungumza na wananchi hao wakati akikagua barabara ya Singa- Kinampundu-Ilunda iliyojengwa kwa kiwango cha changarawe katika ziara ya kikazi ya siku moja wilayani humo ya kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo.

"Jambo lililokubwa niwatake wananchi mzitunze hizi barabara kwa sababu Serikali inazitengeneza lakini kunawananchi wanapitisha majembe ya kukokotwa na ng'ombe na vitu vingine vinavyoharibu barabara kwa hiyo niwatake ulinzi wa barabara uwe ni jukumu letu sote kwa sababu fedha zilizotumika kuzitengeneza ni nyingi hivyo tunatamank ziendelee kuwa na ubora na zisaidie kwa shughuli mbalimbali za kiuchumi" alisema Waziri Ummy.

Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe. Belinth Mahenge amesema hivi karibu wameshasaini Mikataba 16 yenye thamani ya sh. Bil 12.5
kwa ajili ya ujenzi wa barabara mbalimbali za Mkoa wa Singida.

Bajeti ya barabara kwa Mkoa wa Singida imepanda kutoka TZS 6.1BL kwa mwaka 2020|21 mpaka TZS 22.4BL hivyo barabara nyingi za mkoa huo zitaimarika kutoka na ongezeko la Bajeti hiyo.Hapa lazima tumshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwani ndio chanzo cha bajeti hii,

Akitoa taarifa ya ujenzi wa barabara hiyo Kaimu Meneja wa Wakala wa Barabara Mijini na Vijiji wa Wilaya ya Mkalama, Edward Masola alisema matengenezo ya barabara hiyo yatagharimu kiasi cha Sh.milioni 91,201,000.

Alisema barabara hiyo ambayo inaunganisha Kata za Ilunda na Kinampundu itakapokamilika itarahisisha usafiri kwa wananchi kufikia huduma za elimu, afya na masoko.



View attachment 2053904

View attachment 2053905
Singida mnakuja juu sana
 
Kama mambo ndio haya basi Tanzania kama kuna wakati tumepata Rais bora na wa kweli nadhani ni sasa,Tufanye kazi kwa bidii sana,

Hakika huyu Mama ni Mpango wa Mungu,

#WATANZANIA TUFANYE KAZI KWA BIDII
 
" Kwa mwendo huu Tanzania tutafika tunakotaka kwenda tena kwa kuwahi sana, Hongera Mama Samia, Watanzania tuko nyuma yako We chapa kazi achana na Wasio na jema "
 
===
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa, na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) Mhe. Ummy Mwalimu amewataka Wananchi wa Wilaya ya Mkalama mkoani Singida kuzitunza barabara zilizojengwa na Serikali ili ziweze kudumu muda mrefu.

Mhe. Ummy ametoa ombi hilo wakati akizungumza na wananchi hao wakati akikagua barabara ya Singa- Kinampundu-Ilunda iliyojengwa kwa kiwango cha changarawe katika ziara ya kikazi ya siku moja wilayani humo ya kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo.

"Jambo lililokubwa niwatake wananchi mzitunze hizi barabara kwa sababu Serikali inazitengeneza lakini kunawananchi wanapitisha majembe ya kukokotwa na ng'ombe na vitu vingine vinavyoharibu barabara kwa hiyo niwatake ulinzi wa barabara uwe ni jukumu letu sote kwa sababu fedha zilizotumika kuzitengeneza ni nyingi hivyo tunatamank ziendelee kuwa na ubora na zisaidie kwa shughuli mbalimbali za kiuchumi" alisema Waziri Ummy.

Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe. Belinth Mahenge amesema hivi karibu wameshasaini Mikataba 16 yenye thamani ya sh. Bil 12.5
kwa ajili ya ujenzi wa barabara mbalimbali za Mkoa wa Singida.

Bajeti ya barabara kwa Mkoa wa Singida imepanda kutoka TZS 6.1BL kwa mwaka 2020|21 mpaka TZS 22.4BL hivyo barabara nyingi za mkoa huo zitaimarika kutoka na ongezeko la Bajeti hiyo.Hapa lazima tumshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwani ndio chanzo cha bajeti hii,

Akitoa taarifa ya ujenzi wa barabara hiyo Kaimu Meneja wa Wakala wa Barabara Mijini na Vijiji wa Wilaya ya Mkalama, Edward Masola alisema matengenezo ya barabara hiyo yatagharimu kiasi cha Sh.milioni 91,201,000.

Alisema barabara hiyo ambayo inaunganisha Kata za Ilunda na Kinampundu itakapokamilika itarahisisha usafiri kwa wananchi kufikia huduma za elimu, afya na masoko.



View attachment 2053904

View attachment 2053905
Ummy anapiga kazi sana huyu Mama,
 
Hakika Rais Samia ameletwa Tanzania kuliponya Taifa,

Kitendo cha kukutana na Tundu Lissu Brussels Ubelgiji ni kiwango cha juu kabisa cha Uzalendo kwa Taifa,

Tumuunge mkono Rais wetu kwa haya kwani anastahili sana,
 
Back
Top Bottom