Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,526
- 1,529
Najiuliza ni kiasi gani Spika na maamuzi ya kumsulubu CAG kwa wiki mbili na kulifanya jambo la kujaza kurasa za magazeti kuongelea kauli ya CAG na matumizi ya neno dhaifu..... na sasa ripoti inaonyesha uozo uliokithiri na kukubuhu... Wananchi wanapokeaje hii ripoti ya CAG ambaye waliambiwa ni mtovu wa adabu?