Fuvu na Mifupa(Skull and Bones) Jamii ya Siri ya Kishetani inayoongoza Matukio ya Duniani

Zamani sana nimewahi kusoma kidogo kumuhusu GERONIMO huyu jamaa inasemekana alikuwa na miujiza ya aina yake wanajeshi wake nawawezakuwa wanakuja kwa mbali wakiwakaribia maadui wanapotea wanakuwa hawaonekani mnanyang'anywa silaha na watu msiowaona na mnapigika vibaya sana
Huyo ndio alikuwa GERONIMO mwenye kujua hii atupatie na sisi
Na ile sory ya jamaa yetu Silas Mayunga(Mti Mkavu)-hata sijui yuko wapi siku hizi- ni za kweli?

Hili jina GEROMINO linahusiana vipi na operesheni ya kule Afghanistani GEROMINO EKIA ya kumuuwa Osama?

cc: Guru Master
 
Nimrodi ni mjukuu wa Ham mtoto wa Nuhu.Alikuwa ni mtuhodari sana na muwindaji mahiri sana.Vyanzo vingine vinaeleza kwamba,kwasababu ya watu kuanza kuenea baada ya gharika na wanyama kuazaliana kuliibuka kitisho kwa binadamu wa eneo la Babeli la kudhuriwa na wanyama wakati na Nimrod alikuwa akipambana na wanyama vilivyo na kuwa mtu muhimu sana katika jamii iliyomzunguka...

Alianza kua mtawala wa Babel hadi Ninawi na maeneo mengine ya jirani.Alimuoa Semiramis ambaye vyanzo vingine vinasema kwamba alikuwa ni mama yake.Alianzisha dini ya kuabudu sayari ambayo ilikuwa maarufu sana maeneo mengi ya dunia baadaye.Imani hii aliipata baada ya kuwasiliana na viumbe wa roho ambao ni wale malaika walioasi.Dini hii ilikuwa maarufu sana katika Babeli....

Baada ya watu kuwa wengi aliamua kujenga mnara ambao kama itatokea tena gharika basi watu wasife.Alijenga mnara mkubwa sana ambao ulikuwa ni mnara mrefu zaidi duniani kwa wakati ule.Pia hakutaka watu wasambae duniani kote bali wabaki pale pale ili kujenga jamii moja na yenye nguvu ikiwa na dini moja.Maelekezo yote haya aliyapata kutoka kwa malaika waasi ambao alikuwa akiwasiliana nao kwa njia mbali mbali kama vile maono na ndoto....

Dhana hii ya kuunda jamii moja yenye nguvu inayozungumza lugha moja na yenye dini moja ndiyo ipo hadi leo na ndiyo maana hata jengo la umoja wa ulaya limejenga likionekana halijamaliziwa wakimaanisha kudhamiria kukamilisha alichoshindwa kukikamilisha Nimrod.Pia,kitendo kilichotokea sept 11 kule Marekani ni ishara ya kuondoa mamlaka mbili zilizokuwa zikishindana na kubakisha moja ya shetani na ndiyo maana likajengwa jengo moja tu na likaitwa One World Trade center...

Turudi kwa Nimrod..
Babu yake ambaye ni Ham hakufurahishwa na imani hii,aliamua kumuua mwanae huyu na kumkatakata vipande vipande na kuvisambaza katika maeneo yote aliyokuwa akitawala Nimrod na kutoa agizo kuwa yoyote atakayeendelea kufanya ibada alizokuwa anazifanya Nimrod basi atafanywa kama kiongozi wao alivyofanywa...

Suala hili liliwafanya wakazi wa Babel wakaogopa lakini kwa muda tu.Mkewe Nimrod ambaye ni Semiramis alikusanya vipande vya mwili wa mumewe na kuvizika lakini kiungo cha uzazi cha Nimrod hakikupatikana na Semiramis akasema kuwa Nimrod amepaa kwenda kuishi juu na alama yake ni jua [Sun] na tangia hapo alama ya Jua ikawa ni alama ya Nimrod na akaanza kuabudiwa kama mungu na ndipo ibada ya kuabudu jua ilivyoanza na ikaonekana kuwa kiungo cha uzazi ni kitakatifu hivyo wakakitengenezea alama ya kukiheshimu kama alama ya imani yao na ndipo ilipotengenezwa Obelsk..

Obelisk hizi zipo maeneo mengi sana duniani kama vile St. Peter's square kule Vatican,Washingnton DC,Paris,Ufaransa na maeneo mengi kuonesha ni imani gani waliyonayo...

Baada ya miaka kupita Semiramis alipata ujauzito kwa namna ambayo hadi leo haijulikani lakini yeye akasema kwamba alikuwa amekwenda kumtembelea Nimrod mawinguni na akampatia ujauzito kwa njia ya ajabu hivyo hata atakachokizaa kitakuwa ni kitakatifu.Baada ya muda alimzaa mwana aliyejulikana kama Tamuz....

Tamuz,kama alivyokuwa "baba yake" naye alikuwa muwindaji mahiri sana lakini alikuja kuuawa na nguruwe pori siku ya ijumaa na waumini wa dini ile wakaamua kila ikifika ijumaa hiyo kwenye mwaka walikuwa hawali nyama kabisa kuenzi kifo cha Tamuz.Tamuz alichukuliwa kama |mwana wa mungu" [son of god] kwasababu ya maelezo ya mama yake ambaye alisema kuwa alikwenda mawinguni na kupewa ujauzito na Nimrod hivyo naye wakawa wanamuabudu...

Semiramis alikuja kufa na waumini wake waliamini naye kama ilivyokuwa Nimrod alikuwa ameenda kuishi na mumewe mawinguni na kuanzia hapo alama yake ikawa ni mwezi,mwezi ukawa kama mke na jua likawa kama mume kwakuwa lilikuwa linawakilisha watu hao muhimu mawili katika imani ya Babeli na ndipo ilipozaliwa ibada ya kuabudu vitu hivyo na kuviweka kwenye majumba ya ibada.....

Walitengeneza utatu wao ambao ulikuwa ni wa Nimrod,Semiramis na Tamuz,semiramis akajulikana kama malkia wa mbingu [queen of heaven]

Baadaye ilipoanguka mamlaka ya Babeli imani hiyo ilisambaa duniani kote na watu hao watatu walikuwa wakiabudiwa kwa majina tofauti tofauti.Mfano kule Misri waliitwa Isis [Semiramis] Osiris [Nimrod] Horus [Tamuz]....

Ni hayo kwa ufupi sana mkuu...
Asant kwa maelezo murua mkuu. Huyu Tamuz nilikuwa sijapata kumfahamu vizuri.
Hapa itabidi nikaipitie kwa umakini ile filamu ya Gods Of Egypt.

Ina maana kwa kuwa Isis alikuwa mumgu mwezi na ndie mungu wa uzao.
Pasaka ilitokana na muda wa mavuno uliohusiana na mwezi. Je, Pasaka ni sikukuu ya kipagani iliyotokana na hawa Wababeli na si Yesu kufufuka?

Kutokana na kuuwawa na baadae kuzikwa kwa Nimrodi, je kuna uhusiano wowote hapo na krismasi?
 
kuna mahali nimesema "alikuwa mweusi kama mimi na wewe" yaani na nywele kama kipilipili....

Nadhani umenielewa....
Mkuu niliwahi kusikia story ya kitabu kinachoitwa "The coming forth by day and night" kinachozungumzia hilo pamoja na kudai bikira Maria aliishi/alipalizwa maeneo ya Zaire ya sasa.

Je ni ubuyu au kweli kipo au ni ubuyu tu maana nilipotaka kukiona yalitoka maelezo marefu kuliko nini sijui!!
 
Tutazidi kusema secret societies na kufuatilia mengi lakini at the end, tujiulize what's inside? Kwa sababu haiwezekani kikundi cha watu kikaamua kutengeneza taasisi ya kisiri na mafundisho ya siri kama hayo mafundisho are nothing to them. Lazima pia kuna elimu fulani ambayo jamii fulani zimekuwa zikiitafuta na kuificha.

Nasi tuitafute kwanza elimu hiyo. Ndicho kiini na ndicho kinachopaswa sana. Ili mwisho wa safari yetu ya maisha tuwe tumegundua jambo fulani. Kufahamu kuhusiana na chama fulani na mabaya au mazuri haitatosha katika kutupa mwanga wa maisha. Bali pia tufahamu elimu nyingi zilizopo na ambazo tunaweza kuzitumia katika maisha yetu na kujifunza jambo. Siamini kila taasisi ya kisiri ina mabaya ya kujifunza tu katika elimu yake. There must be something.
 
Mkuu niliwahi kusikia story ya kitabu kinachoitwa "The coming forth by day and night" kinachozungumzia hilo pamoja na kudai bikira Maria aliishi/alipalizwa maeneo ya Zaire ya sasa.

Je ni ubuyu au kweli kipo au ni ubuyu tu maana nilipotaka kukiona yalitoka maelezo marefu kuliko nini sijui!!
Mkuu,ukweli ni kwamba sielewi kama ni kweli au vipi....

Lakini mkuu nikushauri tu kuwa usidharau chochote katika dunia hii hasa kile kinachodharauliwa na wanaojulikana kuwa ni "wasomi"...
 
Tutazidi kusema secret societies na kufuatilia mengi lakini at the end, tujiulize what's inside? Kwa sababu haiwezekani kikundi cha watu kikaamua kutengeneza taasisi ya kisiri na mafundisho ya siri kama hayo mafundisho are nothing to them. Lazima pia kuna elimu fulani ambayo jamii fulani zimekuwa zikiitafuta na kuificha.

Nasi tuitafute kwanza elimu hiyo. Ndicho kiini na ndicho kinachopaswa sana. Ili mwisho wa safari yetu ya maisha tuwe tumegundua jambo fulani. Kufahamu kuhusiana na chama fulani na mabaya au mazuri haitatosha katika kutupa mwanga wa maisha. Bali pia tufahamu elimu nyingi zilizopo na ambazo tunaweza kuzitumia katika maisha yetu na kujifunza jambo. Siamini kila taasisi ya kisiri ina mabaya ya kujifunza tu katika elimu yake. There must be something.
Umeshauri jambo la msingi kweli kweli....

Lakini huwezi kufikia hapo kama hujajua kuna kitu kinafichwa na hadi ujuwe hayo ni hadi ujuwe kuna mambo hayaendi kama inavyopaswa yaende....

Kwa upande wangu ninafahamu hiyo elimu ni ipi na elimu hii waliipoteza kwenye tukio kubwa sana lililowahi kutokea huko nyuma....

Harakati hizi ni kurejea elimu ile ili waweze kufanya kama walivyofanya na kutaka kukamilisha harakati zao....

Bahati mbaya kabisa ni kwa mba,kwa taarifa nilizonazo ni kwamba wako katika harakati za kumalizia kukusanya na kuipata elimu hiyo na inawezekana hadi sasa wameshaipata....

Kama ni hivyo,ni hatari kweli kweli maana watataka kutekeleza kile walichoshindwa wakati ule na kwakuwa elimu hiyo watakuwa nayo basi ni muda mfupi sana watakamlisha....

Elimu hiyo iliitwa "Forbidden knowledge" kwakuwa hatukustahili kuijuwa....
 
Asant kwa maelezo murua mkuu. Huyu Tamuz nilikuwa sijapata kumfahamu vizuri.
Hapa itabidi nikaipitie kwa umakini ile filamu ya Gods Of Egypt.

Ina maana kwa kuwa Isis alikuwa mumgu mwezi na ndie mungu wa uzao.
Pasaka ilitokana na muda wa mavuno uliohusiana na mwezi. Je, Pasaka ni sikukuu ya kipagani iliyotokana na hawa Wababeli na si Yesu kufufuka?

Kutokana na kuuwawa na baadae kuzikwa kwa Nimrodi, je kuna uhusiano wowote hapo na krismasi?
Mkuu,Pasaka siyo sikukuu ya kipagani isipokuwa kipindi cha kale kule Babeli kulikuwa na sikukuu ya mungu mke ambayo ilikuwa inasherekewa kipindi ha mavuno ambachoni mwezi wa nne,sikukuu hii ilikuwa ni ya mungu mke aliyejulikana kama Astarte/Ishtar ambayo kwa Kiingereza ni Easter ilirejea jina lile lile la mungu mke lakini hapo ni kwa Kiingereza.Baada ya ujio wa Ukristo sikukuu hii ilibadilishwa na kuitwa sikukuu ya kufufuka Masihi lakini jina lake likawa lile lile kwa Kiingereza na huku kwenye Kiswahili tukaiita Pasaka kwakuwa inasherekewa kufufuka kwa Masihi ambaye ni Pasaka kwetu...

Sikukuu hii na kipindi ambacho inasherekewa ni tofauti na kipindi ambacho chimbuko na sikukuu ya Pasaka ambayo ilitokea kwa Wayahudi. Ukisoma kitabu cha Kutoka nadhani kuanzia mstari wa 8 utaona sikukuu zote zikionekana pale na vipindi vya kusherekewa....

Kuna baadhi ya maelezo kuwa sikukuu hii iliamuliwa kusherekewa kipindi cha sikukuu ya wapagani ili kuwaondoa huko.Hili siyo jambo jema pia kwasababu hupaswi kufanana na mwenye dhambi ili umpate bali anapaswa afuate taratibu za ibada ya Mungu...

Krismass nayo iko hivyo na zaidi.Tarehe 25 mwezi wa 12 ilikuwa ni sikukuu ya kuzaliwa mungu jua.Hiki kilikuwa ni kipindi ambacho jua lilikuwa linaanza kuonekana tena baada ya kipindi cha baridi kali kuisha.Kilikuwa ni kipindi cha kuanza kulima na kupata mavuno ambayo yalikuwa yanavunwa mwezi wa nne...

Kwakuwa jua lilikuwa linaanza kuonekana baada ya kipindi kirefu,waliita kipindi cha "kuzaliwa upya jua" na ndivyo ilivyokuwa.Kama ilivyokuwa kwenye Easter,ndivyo ilivyokuja kuwa kwenye Krismass.Waliibadili kutoka kuzaliwa mungu jua hadi kuzaliwa kwa Masihi,lakini jina lilibaki lile lile la kale....

Sikukuu hizi hazina historia nzuri kwakweli....
 
Eiyer,nilikua sjawai kupitia maandiko yako ila leo ume thibitisha mengi,..big up sana,..mi pia nafaham haya mambo ingawa sio level yako,..especialy naunga mkono hapo kwenye true Human beings ambao ndo kiumbe halisi cha Mungu ni kwel ni black race,na hawa wenzetu ni mixer kat ya fallen angels na wanadam.ndo chimbuko la rang nyeupe,..ndomana chuki ya mzungu au mweupe kwa mweus maisha yote ni kubwa,kutufanya slaves etc,lengo ni kuiondoa kabsa ulimwenguni,..pia kwenye hili la underground domes ni kweli,hivi viumbe kwel vipo,na ndo chanzo cha technolojia kubwa kubwa zoote na kuna ulimwengu ambao hatuuoni ila wao wako ahead of time,na ndomana kuna dhana ile ya TIME TRAVEL..n machines etc,ni kwel,hawa viumbe ni IMMORTAL,hawafi,wako kitambo sana na ndo hao wanaandika historia za dunia kwamfano vitab vya din,n wanatengeneza events za kutumiza maandiko hayo,mfano MPANGO WA KUFAKE MWISHO WA DUNIA,watatengeneza mazingira hayo,had malaika had Yesu ambae ata perfom miujiza etc,..kuna kitu kinaitwa HUMAN CLONES,..yan unatengenezwa mtu exactly kama wew mwenyew ila mwenye agenda yao af wew orijino unauwawa,hii ina apply kwa viongoz sana sana,..pia kuna projects ziko kwenye series znafanywa na hawa jamaa,mfano za technolojia,kuandaa viongozi etc, pia mfaham kila kitu kinachohappen ulimwengun hapa kiko kwenye ubao,yan ni planned,kwa ufupi ni haya tuu ila yapo mengi na yakutisha,..kuanzia HIV,HAARP,GAYSM etc..kwenye genetic engeneering ndo kunatisha,watu wanatengeza pests,bacteria,wadudu for specific purposes,nyi mnaona mbu hawaish tuu,..na ngoz nyeus dunian imebak sehem ndogo sana,yan ni kusin mwa jangwa la sahara ndo tumebak,sasa na huu ukimwi wa kupewa,malaria,tb,ebola etc plus njaa na vita vya wenyew,soon lengo lao litatimia

1. Mnasema watu weusi ndo viumbe halisi wa Mungu.
2. Watu wenye ngozi nyeupe ni wanefili na wamefanya jitihada nyingi kumaliza watu weusi na "soon lengo lao litatimia".
3. Kama viumbe weusi ndo watu wa Mungu na watamalizwa soon na hao "immortals" ina maana watamshinda Mungu huyu aliyeumba dunia na hao watu weusi?!!

Sasa Mungu anashindwaje wakati tunaambiwa nguvu zake hazina ukomo na ni kubwa sana? Je, hao immortals hawafanyi kazi kwa niaba ya Mungu ambaye naye ni immortal? Inakuwaje Mungu aumbe viumbe dhaifu kama sisi halafu aache viumbe vyenye nguvu kuliko alivyoumba yeye vinyasenyase viumbe vyake?

Imesemwa huku kuwa jamii hizi za siri ndo huweka wakuu wa nchi madarakani kwa makusudi yao. Kwenye kitabu cha Daniel tunaambiwa Mungu ndiye huweka falme na mamlaka za dunia kwa wakati wake kwa makusudi yake. Mungu pia ndiye "ultimate controller" wa kila kinachochotokea hapa duniani kwa hiyo shetani hafanyi uharibifu unaozidi kiasi Mungu alichomruhusu. Tunaona mfano wa hilo kwenye kisa cha Ayubu - kwamba amvuruge anavyotaka ila asiguse roho yake.

Kwa jinsi ninavyomuogopa Mungu swali kubwa nililotaka kuuliza limefanya moyo uende mbio. Niishie tu hapa.
 
Huu ndo ujinga huwa sipendi kuusikia kabisaa! Yaani mnadanganywa ili jamaa wauze vitabu vyao vya uongo. Hivi km ni vyama vya siri,hiyo siri gani ya kuandikwa hata vitabuni!!?? Na nyie mnaosimulia hapa,bado mnaamini hivyo vyama ni siri wakati nyie wenyewe mnajua..!! Sasa hapo siri iko wapi km siyo uongo tu!!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukimwi kwa maana ya upungufu wa kinga ya mwili upo lakini unatibika.UKIMWI kama kinga ya mwili kushuka inasababishwa na life style na siyo kitu kingine na unapokuwa na tatizo hilo unaugua maradhi mbali mbali na ukiyatibu na kubadilisha mtindo wa maisha unakuwa huna shida yoyote....

Hakuna upungufu kinga unaoambukizwa kwa ngono.Hakuna kirusi chochote kinahosababisdha upungufu wa kinga ya mwili kwasababu hadi sasa hakuna ushahidi wowote ule wa uwepo wa ikirusi huyo.HIV kwa upande wa pili ni kirusi hewa,hakijawahi kuonekana kwenye damu ya mgonjwa wala mahala popote duniani.Wanadai kuwa kirusi hicho ni jamii ya Retrovirus,kama ni hivyo hao retrovirus walikuwepo tangu enzi na enzi na hawakusababisha kinga ya mwili kushuka,huyu amekuwaje hadi asababishe? Kama wanasema kuna kirusi hicho specific,ushahidi wa uwepo wake uko wapi?

Watu wanaugua na wanakufa kwa mtindo fulani,hili lipo,wao wameamua kusema ni sababu wana HIV kwenye damu zao,kwanini hawataki kutuonesha hata picha ya huyo HIV? Watu wanougua wanaugua maradhi mengi sana na tofauti tofauti.TB ilikuwepo na itaendelea kuwepo na haijaboreshwa na kuitwa HIV bali huko nyuma ilisingiziwa hivyo,yaani mtu aliyekuwa na TB alisemwa kuwa ana UKIMWI ule wa kusababishwa na kirusi.Kitu ambacho ni uongo mkubwa....

Kwanza nakubali kuwa mtu akifikia hatua ya kupata TB anakuwa na UKIMWI,lakini huo ukimwi hajaambukizwa kwa ngono au damu bali kaupata kutokana na mtindo wake wa maisha tu na huyu anaweza kutibiwa akapona kabisa.Hao wataalam wa afya wanajua kuwa huwezi kupata TB kama kinga yako haijashuka na kuna ambao wamewapima wakawa HIV- na bado wana TB....

Kinachowaua watu leo ni ARVs.hizi dawa zinasababisha ini kufeli,figo kufeli,kansa,upungufu wa damu,kuota madonda kwenye ngozi n.k.Kimsingi yapo maradhi mengi sana ambayo wanaugua wale wanaotumia ARVs lakini wale wasiotumia hayo madawa hawaugui.....

Walichokifanya ni kwamba wametengeneza dhana ya kuwepo ugonjwa hewa kisha wakawatisha watu kuwa unaua kikatili kisha wakaleta dawa ambazo kimsingi ndizo zinazosababisha matatizo makubwa waliyoambiwa na pengine zaidi ya hayo...

Tatizo siyo UKIMWI bali ARVs ambazo zinasababisha UKIMWI usiotibika...

Ukiwauliza ni kwa vipi HIV anasababisha kansa hawawezi kukueleza lakini hapo hapo wanaotumia ARVs wanaugua kansa,sasa sijui wameipata wapi...

Yaani haya mambo ni shida tu.Watu wanaangamaia kwa kukosa maarifa....

Sasa kama HIV ni hewa mtoto mchanga anaipataje hii hewa kwa mama yake wakati wa kuzaliwa au wa kunyonya? Mbona mtoto akifanikiwa kupita mlangoni salama mama yake akampa maziwa ya kopo au hata kumnyonyesha yake pekee kama mtoto hana michubuko kinywani na kooni hapati HIV?
 
Krismass nayo iko hivyo na zaidi.Tarehe 25 mwezi wa 12 ilikuwa ni sikukuu ya kuzaliwa mungu jua.Hiki kilikuwa ni kipindi ambacho jua lilikuwa linaanza kuonekana tena baada ya kipindi cha baridi kali kuisha.Kilikuwa ni kipindi cha kuanza kulima na kupata mavuno ambayo yalikuwa yanavunwa mwezi wa nne...
Vipi chimbuko la Mti wa Krismas na kaburi la Nimrodi?
 
Maelezo yanaweza kuonekana marefu but nimeyafupisha kama sitaeleweka sehemu, nijuze...Inaonekana unatumia vitabu fulani fulani alafu unaongezea na Bible... Na matokeo yake ni kuweka vitu visivyo eleweka na kusababisha confusion...still Bible ipo wazi

Wana wa Mungu ni akina nani?

Biblia inasema wote wanaomwamini Bwana wanafanywa kuwa wana wa Mungu “Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake” (Yohana 1:12).” Kwa hiyo, tokeni kati yao, mkajitenge nao, asema Bwana. Msiguse cho chote kisicho safi; ndipo nitawakaribisha kwangu. Nami nitakuwa baba kwenu, nanyi mtakuwa vijana wangu na binti zangu, asema Bwana Mwenyezi (2Wakorintho 6:17-18) hivyo tangu enzi na enzi wote walio upande wa Bwana wanaitwa wana wa Mungu. Na wakidumu kuwa hivyo mpaka siku ya kufa kwao, Basi siku ya Mwisho Mungu atawachukua nao wataishi kama Malaika ambao hawaoi wala kuolewa….!!!

Maneno “wana wa Mungu” yanaonekana katika aya tano tu kutoka katika vitabu viwili tu vya Agano la Kale. Aya mbili katika kitabu cha Mwanzo 6 wakati wa mafuriko. Na aya tatu zinapatikana katika kitabu cha Ayubu. Kutoka katika kitabu cha Ayubu, mazingira yanaonyesha wazi kwamba “wana wa Mungu” ni malaika, kwa vile wao kuingia moja kwa moja kwenye uwepo wa Mungu au lugha nyepesi walikuwepo kabla ya uumbaji wa Dunia. Hivyo wana wa Mungu first huwakilisha Malaika and second huwakilisha wanadamu waliokombolewa kwa njia ya ya Yesu kristo pale msalabani,(wale wote waliompokea walifanyika watoto wa Mungu)…na kumbuka damu ya Yesu ilikomboa wanadamu wote waliokuwa na watakaokuwa upande wa Bwana tangu enzi na enzi…hivyo hata akina Habili, Yeremia, Isaya nk… wataokolewa na Damu ya Yesu.

Binti/wana wanadamu ni akina nani?

Kama nilivyodokeza hapo awali wana wa Mungu ni malaika wa mbiguni au wanadamu wanaoshika maagizo ya Bwana..kwa upande wa Binti au wana wanadamu ni wale wasiofuata maagizo ya Mungu bali ya wanadamu ambao kimsingi husukumwa na mawazo ya ibilisi Yesu alisema “Nao waniabudu bure, Wakifundisha mafundisho Yaliyo maagizo ya wanadamu.” Mathayo 15:9

Uzao wa Sethi uliwakilisha wana wa Mungu.

Biblia inakri wazi kuwa Uzao wa Sethi ulitii maagizo ya Bwana Mwanzo 4:26..Badala yake Kaini akatoka mbele za Bwana hii inamaanisha aliachana na maagizo ya Bwana pamoja na uzao wake..Mwanzo 4:16…hivyo ndoa kati ya uzao wao ilikuwa ni batili unless kama mmoja kutoka upande wa kaini atafata Maagizo ya Bwana kama ilivyotokea kwa Rahabu (Kahaba), Ruthu (kutoka Moabu), Uria (mhiti) nk…Lakini pia ieleweke kuwa kuna watu wengi wanaomwabudu Mungu huoa wapagani na ndoa zao zikasimama…hii ni sawa na mtu kufanikiwa kwa njia ya wizi au ufisadi inaweza kuwa ni maendeleo lakini mbele za Bwana si sawa...anasema ni heri kutii kuliko kuomba msamaha/dhabihu

Wana wa Mungu hawaruhusiwi kuchangamana na wana/binti za wanadamu katika mahusiano ya ndoa.

Fundisho la Mungu ni the same kwa vizazi vyote, vilivyopita na vilivyopo…Mungu anaposema Msifungiwe nira na wasioamini katika 2Wakorintho 6:14 anamanisha kwa vizazi vyote means hata kizazi cha Nyuma kilikuwa na maagizo hayo hayo…angalia baadhi ya ndoa batili na matokeo yake… Samsoni(Mcha Mungu) na Delila Mfilisti(Mpagani), Mfalme Sulemani (Mcha Mungu) na Wanawake takriban 700 wengi wao kutoka falme mbali mbali za kipagani….Mfalme Ahabu ( muisraeli) na Yezebeli Msidoni(mpagani)…Ndoa hzi zilileta uharibifu mkubwa wa kimaadili na uasi…nan ndo mana Ibrahimu alisisitiza sana Mwanae Isaka apate mwanamke mcha Mungu…even Musa alisisitiza sana waisraeli wasichangamane kwa lengo la ndoa kati yao na wakanaani…


Malaika kuoa na kuolewa/natharia ya ndoa za malaika na wanadamu



Biblia ipo wazi kuwa malaika hawaoi wala kuolewa means hawana jinsia….sasa kama Malaika wana uume na uke wa kazi gani sasa?? Shetani na mashetani/majini wale ni malaika walioanguka(waovu) …uwezo wao haujapunguzwa na maumbile yao yapo vile vile kama wenzao waliopo mbiguni…kilichobadilika ni mindset zao tu…na namna wanavyotake action…watu humchora shetani akiwa na mapembe na umbo baya…hii huonyesha tu uhalisia wa matendo yake…but ni mzuri wa umbo na sura ajabu…!! Au walipofika duniani…waliumbwa upya wakawa na jinsia?? Jibu ni hakuna…kwa sababu changes zozote za kimaumbile anazifanya Mungu…sisi tunaweza modification tu kutoka kwenye kitu ambacho kipo…!!

Utafiti wa kihistoria kuhusu Nadharia ya "malaika waliasi kwa kuvaa miili ya binadamu na kuoa na kuzaa na binti za wanadamu" umegundua chanzo chake ni "Kitabu cha Henoko" ambacho hakitambuliwi kuwa ni "maandiko matakatifu yaliyovuviwa na Mungu"! Na ndo maana Mungu hakuruhusu kiwe sehemu ya biblia tuliyo nayo leo yenye vitabu 66

Kitabu hicho cha Henoko ndicho kimeandika moja kwa moja kikidai: "Malaika wa Mungu mbinguni waliwatazama binti za wanadamu duniani, wakawaona wanavutia kwa tendo la ngono wakaacha enzi yao wakashuka duniani, wakaamua (kuoana) na binti za wanadamu na kisha wazaa nao watoto wa kinefili-wanefili ambao ni majitu."

Kitabu hicho kilisomwa hata na baadhi ya wakristo maarufu wa karne za kwanza walivutwa na taarifa zake baadhi yao wakiwemo akina Tertullian, Irenaeus, Origen, na Clement wa Alexandria. Lakini baadaye Kitabu cha Henoko kilikataliwa kuingizwa kwenye orodha ya maandiko matakatifu ya Agano la Kale. Mojawapo ya sababu ya kukataliwa ni japokuwa kimetajwa kuwa ni kitabu cha Henoko lakini hakikuandikwa na Henoko mwenyewe.


Ukweli ni kuwa hakuna tendo la ndoa ambalo lipo verified kati ya shetani na wanadamu hii haipo…Shetani ndo chanzo cha matatizo duniani na hutamani sana wanadamu waharibikiwe…na kama angekuwa na uwezo wa kuzaa na wanadamu na kuleta viumbe vya ajabu ambavyo totally sio wanadamu halisi angefurahi sana

Nadharia ya majini mahaba kufanya ngono na binadamu

Yesu alitoa mfano halisi ya kwamba pepo mchafu anaweza kuugeuza mwili wa mtu kuwa nyumba yake. Na akitolewa huondoka lakini akikosa mahali pa kukaa huamua kurudi:

“Halafu husema, nitarudi nyumbani kwangu nilikotoka; hata akija, aiona tupu, imefagiwa, na kupambwa. Mara huenda, akachukua pamoja naye pepo wengine saba walio waovu kuliko yeye mwenyewe, nao huingia na kukaa humo; na mtu yule hali yake ya mwisho huwa mbaya kuliko kwanza….” (MT.12:44-45)

Kwa maandiko tuliyosoma, tunajifunza yafuatayo: 1. Pepo wachafu wana uwezo wa kuingia katika mwili wa binadamu na kukaa ndani yake. 2. Pepo akiwa ndani ya mwili wa binadamu ana uwezo wa kuathiri akili, hisia na utashi wa binadamu. 3. Pepo mchafu akiwa ndani ya mwili wa binadamu ana uwezo wa kuchochea tamaa za binadamu kufanya vitendo vya ngono kinyume na maadili ya ndoa.

Mambo ambayo yanatafsiriwa isivyo sahihi kuhusiana na pepo wachafu ni kama ifuatavyo: 1. Madai juu ya pepo kujifanyia miili ya kibinadamu ili wapate kufanya ngono na binadamu. 2. Kuna tofauti kati ya kupagawa na pepo akatumia mwili wa binadamu kufanya ngono na binadamu. Lakini pepo mwenyewe hawezi kufanya ngono na binadamu kimwili.

Madai ya kwamba watu wanaolewa au kuoa majini na kuzaa nao sio sahihi. Kinachofanyika kwa wenye madai haya ni “hali ya kupagawa na majini ambayo yamo ndani ya miili yao na kuwasumbua kimawazo na kisaikolojia kuhusu ngono” lakini sio kwamba ni tendo halisi la ngono linalofanyika. Hata wenye kudai kuzaa na majini huwezi kuwaona hao watoto kwa sababu kimsingi huwa ni viini macho na mazingaombwe tu. Na hii ndiyo maana ya Yesu kusema “Shetani ni mwongo na baba wa huo.” (YH.8:44)

Wanefili/Majitu ni akina nani?

Neno la Kiyahudi linalotumiwa Nephilim hutokea katika mistari miwili tu katika Agano la Kale, katika kitabu cha Mwanzo 6 na mengine katika kitabu cha Hesabu 4, Kibiblia watu walijulikana kutokana na jina la ukoo wa baba, Lakini Wanefili hawakuwa katika ukoo wowote ule. katika kitabu cha Hesabu, tunaona kwamba wana wa Anaki ni sehemu ya Wanefili. Tangu awali Anaki alikuwa Mkanaani, kwa mantiki hii ni sahihi kusema Wanefili walikuwa binadamu wa kawaida na si malaika au mapepo.

Maandiko yaeleza machache sana juu ya Wanefili zaidi ya kwamba walikuwa mijitu mirefu sana na yenye nguvu na iliishi katika miji yenye maboma. Je walikuwa Wanefili wa siku hizi baada ya mafuriko au Wanefili katikaMwanzo 6? Kinyume na imani ya waamini wengi kwamba Wanefili hawakutokana na utaratibu wowote wa kibinadamu. Hivyo, Waanaki walikuwa kizazi wa Anaki. Hata hivyo, Wanefili hawakuwa kamwe kama ilivyoelezwa kuwa walishuka kutoka mbinguni, kama neno la Kiebrania “nephal”, ambayo lina maana ya “kuanguka juu” au “kutupwa,” likitokana na tabia yao ya kupenda vita.

Tangu Agano la Kale inaeleza Wanefili walikuwepo kabla na baada ya mafuriko, kama Wanefili walikuwepo ktk kabila au koo flani hii inaleta utata katika koo za watu wa kibiblia ambapo maandiko yanaeleza waziwazi kwamba kulikuwa na watu wanane tu waliookoka katika mafuriko wakati wa Nuhu. Kwa hivyo wale Wanefili baada ya mafuriko wametokana na watu wanane waliokuwepo kwenye safina.

Goliathi alikuwa na sifa za wanefili…je alitokana na ndoa kati ya mashetani na wanadamu jibu ni hakuna…kuwepo na watu wenye nguvu duniani Zaidi ya wanadamu wengine wa kawaida ni jambo liliozoeleka…angalia wachezaji mpira wa Ulaya na hata kutoka West Afrika wana miili mikubwa…angalia wanamziki, wacheza movie, makomando wa kimarekani au wacheza mieleka….ni watu wenye nguvu na wenye sifa pia around the world…wenye majigambo na kupenda vita…je na wenyewe wametokana na ndoa kati ya mashetani na wanadamu? Jibu ni hakuna…kwa nini wako vile? Jibu linajulikana…. watu wenye vidole sita na meno Zaidi ya thelathini na mbili wapo mpaka leo…

Hitimisho

Kwa sababu Biblia inaonyesha wazi kwamba malaika hawaoi wala kuolewa, ni mantiki ya kwamba hawakuwa “wana wa Mungu” waliozaliana na watoto na “binti za watu.” tafsiri bora ni kwamba “wana wa Mungu” walikuwa watu ambao walikuwa katika ukoo wa Sethi, ambaye alimfuata Bwana kwa muda (kwa kulinganisha na ukoo wa Kaini, ambayo walizaliwa “mabinti wa watu”). Hata hivyo, kabla ya mafuriko, “wana wa Mungu” walioa wake katika ukoo wa Kaini, na kwa hiyo, wakaweza kupotoka wenyewe kwa njia ya wake zao wasioamini. Hii ni moja ya sababu kubwa ya Mungu na nia ya kuharibu dunia nzima kwa maji, tu). Kwamba watu wa Mungu wa sethi wanachanganyikana na watu walioamini wa uko wa kaini. (si unajua kaini alilaaniwa na Mungu jaribu kupitia laana zile.)….Jambo hili pia lilitokea kipindi cha Suleman pale alipoamua kuoa wanawake wa kipagani na kujikuta akiangusha ufalme, the same to Samsoni…na hata hvi leo Bwana anasema msifungiwe nira na wasioamini…

Mwanzo 6 pia inawaeleza Wanefili ambao walikuwa wababe ,wenyenguvu na warefu sana, walikuwa watu wa vurugu kutokana na nguvu na ushujaa wao (Mwanzo 6:4). Inasemekana hawa watu walikuwa kizazi cha Kaini, ambao walikuwa wakati wote wakiwaza maovu katika nafsi zao. Wanefili waliokuwepo baada ya mafuriko pia walikuwa waovu wababe na wenye vurugu , lakini hawahusiani na wale walioangamia katika mafuriko, Kwa sababu watu wale wote waliangamia katika maji isipokuwa NUHU na wanawe.

Nadharia ya watu weusi.

Bado nipo kwenye investigation kuhusu hawa watu…..ninaelekea kuamini kuwa watu weusi walitokana na Hamu…Kushi na Misri walitokana na uzao wa Hamu….na kadri sku zilipoendelea wazao wake walijongea Afrika Mfano Misri ipo Afrika na kushi kwa asilimia kubwa wapo Afrika wengi wanadai Ethiopia na Sudani ni uzao wa kushi…na hzi nchi zipo Afrika….Na inasemekana pia Nimrodi aliyejenga mnara wa babeli alikuwa Mweusi(sina uhakika)

Kuhusu rangi ya ngozi….kuna kitu nilikidokeza kwenye post yangu ya awali kuwa Mungu anajaribu kumuliza Yeremia “je mkushi aweza kubadili ngozi yake? Ndo najiuliza hii ngozi ya kushi ni ya namna ipi….na ninapooanisha pia kuwa Sudani na Ethiopia ni sehemu ya kushi..ninaelekea kuamini kuwa Mungu alimaanisha rangi nyeusi… sio kwamba Hamu alizaa watoto weusi…ninavyoamini mimi watu weusi walitokea as time goes…ukichukua jogoo mweupe na kuku jike mweupe wakaishi pamoja sidhani kama watoto wote watakuwa weupe…wawili au watatu wanaweza kuwa na rangi tofauti…hakuna linalomshinda Mungu…

Zaidi ya yote sina comment kuhusu hili jambo……ambacho nakikataa moja kwa moja hapa ni hoja yako ya kuwa mtu wa kwanza alikuwa Mweusi…

Injili ya Yohana inatuambia Mungu ni roho kwa hiyo tafsiri yake ni kuwa hana umbile. Kwa maana hiyo hata shetani ni roho - hana umbile. Injili hiyo hiyo inatuambia Mungu ni Neno na mtume Paulo anasema Mungu ni "Knowledge". Au??
 
Sasa kama HIV ni hewa mtoto mchanga anaipataje hii hewa kwa mama yake wakati wa kuzaliwa au wa kunyonya? Mbona mtoto akifanikiwa kupita mlangoni salama mama yake akampa maziwa ya kopo au hata kumnyonyesha yake pekee kama mtoto hana michubuko kinywani na kooni hapati HIV?
Swali lako halipo sahihi kabla hata sijalijibu....

Ukishasema hakuna kitu fulani tayari uwezekano wa mtu kuwa nacho unakuwa haupo....

Kama ni hivyo,huyo mtoto anakuwaje nacho kama hakipo?

Umeanza kuliza swali lako huku ukiassume kuwa kuna kitu kinaitwa HIV wakati siyo kweli...

Labda ungeuliza tu kuwa huyo mtoto na mama yake wanakuwa wanaugua nini na kimsingi ukienda hospital watakuambia anachoumwa huyo mtoto.Hakuna ugonjwa unaoitwa HIV ndugu....
 
Huu ndo ujinga huwa sipendi kuusikia kabisaa! Yaani mnadanganywa ili jamaa wauze vitabu vyao vya uongo. Hivi km ni vyama vya siri,hiyo siri gani ya kuandikwa hata vitabuni!!?? Na nyie mnaosimulia hapa,bado mnaamini hivyo vyama ni siri wakati nyie wenyewe mnajua..!! Sasa hapo siri iko wapi km siyo uongo tu!!?

Sent using Jamii Forums mobile app
Siri maana yake nini?
 
Swali lako halipo sahihi kabla hata sijalijibu....

Ukishasema hakuna kitu fulani tayari uwezekano wa mtu kuwa nacho unakuwa haupo....

Kama ni hivyo,huyo mtoto anakuwaje nacho kama hakipo?

Umeanza kuliza swali lako huku ukiassume kuwa kuna kitu kinaitwa HIV wakati siyo kweli...

Labda ungeuliza tu kuwa huyo mtoto na mama yake wanakuwa wanaugua nini na kimsingi ukienda hospital watakuambia anachoumwa huyo mtoto.Hakuna ugonjwa unaoitwa HIV ndugu....

Ni kweli hakuna ugonjwa unaoitwa HIV ila kuna magonjwa yanayohusiana na HIV yanayoitwa AIDS (inaweza kuwa malaria, TB, homa ya matumbo, harara, kansa n.k). Kwa kuwa umechagua kuamini kuwa HIV haipo, huwezi kuwa na jibu la kwa nini mtoto apate hali ya kushambuliwa na magonjwa kama mama yake kwa kugusana na damu au maji ya ukeni ya mama yake.
 
1. Mnasema watu weusi ndo viumbe halisi wa Mungu.
2. Watu wenye ngozi nyeupe ni wanefili na wamefanya jitihada nyingi kumaliza watu weusi na "soon lengo lao litatimia".
3. Kama viumbe weusi ndo watu wa Mungu na watamalizwa soon na hao "immortals" ina maana watamshinda Mungu huyu aliyeumba dunia na hao watu weusi?!!

Sasa Mungu anashindwaje wakati tunaambiwa nguvu zake hazina ukomo na ni kubwa sana? Je, hao immortals hawafanyi kazi kwa niaba ya Mungu ambaye naye ni immortal? Inakuwaje Mungu aumbe viumbe dhaifu kama sisi halafu aache viumbe vyenye nguvu kuliko alivyoumba yeye vinyasenyase viumbe vyake?

Imesemwa huku kuwa jamii hizi za siri ndo huweka wakuu wa nchi madarakani kwa makusudi yao. Kwenye kitabu cha Daniel tunaambiwa Mungu ndiye huweka falme na mamlaka za dunia kwa wakati wake kwa makusudi yake. Mungu pia ndiye "ultimate controller" wa kila kinachochotokea hapa duniani kwa hiyo shetani hafanyi uharibifu unaozidi kiasi Mungu alichomruhusu. Tunaona mfano wa hilo kwenye kisa cha Ayubu - kwamba amvuruge anavyotaka ila asiguse roho yake.

Kwa jinsi ninavyomuogopa Mungu swali kubwa nililotaka kuuliza limefanya moyo uende mbio. Niishie tu hapa.
Information kuhusu Mungu wa kweli na information kuhusu huyo wanaesema "shetan",..zilikua twisted mda mref sana,so the truth kuhusu Mungu wa ukwel kwa kias kikubwa zmepotoshwa na walimwengu,hao walioandika bible na maandiko mengne,so kujib maswal yako yote inabid nikuanzie mbaali sana,na kwasasa muda huo sina,perhaps next time.
 
Ni kweli hakuna ugonjwa unaoitwa HIV ila kuna magonjwa yanayohusiana na HIV yanayoitwa AIDS (inaweza kuwa malaria, TB, homa ya matumbo, harara, kansa n.k). Kwa kuwa umechagua kuamini kuwa HIV haipo, huwezi kuwa na jibu la kwa nini mtoto apate hali ya kushambuliwa na magonjwa kama mama yake kwa kugusana na damu au maji ya ukeni ya mama yake.
Nakupa kazi ndogo tu...

Hebu fuatilia uone kama kuna binadamu aliyewahi kumuona huyo HIV....

Anzia hapo kwanza halafu utaona kati ya mimi na wewe ni nani amechagua kuamini nini kuhusu HIV....
 
Back
Top Bottom