Hashimu lwenje
JF-Expert Member
- Oct 2, 2017
- 415
- 359
Kuna mdogo wangu amejiunga na BSc Petroleum Chemistry UDSM, mwaka huu, kila siku amekua akini pigia simu kuwa anataka kuacha kusoma hiyo kozi, apply kozi nyingine mwakani. Wadau nyie mnashauri nini huyu dogo aache hii kozi au aendelee nayo?
Na je future ya hii kozi ikoje?
Na je future ya hii kozi ikoje?