Huo ndio ukweli mtupu!
Mie naamini Star TV kwa sasa ndio TV iliyokamilika kila idara!!
Haina ubaguzi wa kisiasa kama TBC,Clouds TV na Uhuru!
Na FUTUHI wanavunja mbavu hasa!Hakika ni kiboko ya vipindi vyote vya komedi TZ!
comedy pekee Tanzania ni Mizengwe tuu ya akina sumaku, hizi zote zilizo katika mfumo wa taarifa ya habari ni takataka tupu
Wakenya wapo vizuri kwenye komedy zao kama ni kuchekesha hawana maneno mengi mfano hiyo naswa haina neno hata moja lakini ukiangalia unaongeza siku za kuishi. Vfutuhi wapo juu kwa kweli napenda sana citizen ya kenya na kipindi chao cha NASWA yaani wale jamaa ni balaa
Wafuatao ni orodha ya wapenda maigizo na vichekesho,
1.Mahouse girl
2.Wanawake wamama wa nyumbani.
3.Wanafunzi msingi na sekondari.
4.Wanaume wasio na hulka ya kujisomea vitabu wala internet.
Wafuatao ni orodha ya wapenda maigizo na vichekesho,
1.Mahouse girl
2.Wanawake wamama wa nyumbani.
3.Wanafunzi msingi na sekondari.
4.Wanaume wasio na hulka ya kujisomea vitabu wala internet.
Mimi nikiangalia futuhi nachukia na kusikitika! Level ya komedi yao ni ya kiswazi mno. Katika kilaHawajamaa ni noma,
Hasa yule bother K, duu wamaebarikiwa vipaji. Hata kama una mawazo vipi ukiwaangalia futuhi lazima utacheka tu.
Big Up sana FUTUHI na Star tv.
Exactly Makamee, U R very very right!Wafuatao ni orodha ya wapenda maigizo na vichekesho,
1.Mahouse girl
2.Wanawake wamama wa nyumbani.
3.Wanafunzi msingi na sekondari.
4.Wanaume wasio na hulka ya kujisomea vitabu wala internet.
Kuna yule mangi aliyekuwa anaidesign naona siku hizi ana vipindi vya watoto vinavodhaminiwa na c.r.d.b. .......'' hisabati ni maumbo ya urefu na upana''.............................hebu esabu madoa yangu kenye ngozi ......umepata mangapi....? unapokula ugali unahesabu matonge......,Kuna wale pika bom naoma walikuwa vizuri sana ingawa nina muda sijawaona.
Wafuatao ni orodha ya wapenda maigizo na vichekesho,
1.Mahouse girl
2.Wanawake wamama wa nyumbani.
3.Wanafunzi msingi na sekondari.
4.Wanaume wasio na hulka ya kujisomea vitabu wala internet.