Kaudunde Kautwange
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 1,599
- 1,566
- Thread starter
- #21
Ahsante mkuu kwa ushauri!!Tangaza radioni na magazetini kama hivi kuweka awarness.
Ahsante mkuu kwa ushauri!!Tangaza radioni na magazetini kama hivi kuweka awarness.
Mkuu Kama unaweza tengeneza E- learning ambayo mtu akiitaji notes analipia.Niliwahi ona Azam news kuna jamaa anauza ingawa sikupata contact zake.Yaan mwanafunzi akidowload notes analipia.Karibu mkuu!
Kuna options mbili hapa za u admin
1. Kuwa general system admin, hapa utakuwa na uwezo wa ku admin the whole system kwa mfumo wa resell.
2. School admin, hapa institute husika itachagua admin ambaye atakuwa responsible kwenye ku add tutors na kusimamia mfumo mzima kwa ngazi ya shule
Ni kama vile unavyoona AliExpress, Kikuu etc.. sema hii imekuwa mahsusi kwa ajili ya bidhaa za kijasiriamali za kitanzania tuu.Ufafanuzi wa market place Tafadhali!
Kila kitu kinawezekana mkuu!!Mkuu Kama unaweza tengeneza E- learning ambayo mtu akiitaji notes analipia.Niliwahi ona Azam news kuna jamaa anauza ingawa sikupata contact zake.Yaan mwanafunzi akidowload notes analipia.
Nataka kujua inafanyaje kazi!Ni kama vile unavyoona AliExpress, Kikuu etc.. sema hii imekuwa mahsusi kwa ajili ya bidhaa za kijasiriamali za kitanzania tuu.
Kaudunde Kautwangwe:Ntaweka maelezo ya kujitoshereza mkuu!!
Karibu sana mkuu.Nataka kujua inafanyaje kazi!
Ahsante sana mkuu!!Inapendeza sana ana kila la kheri...