Thebrighterfuture
Member
- Mar 21, 2021
- 10
- 11
Za jioni wandugu,
Nimetembelea mkoa wa Iringa, niweza kujionea maajabu na fursa nilizozikuta. “Kweli tembea ujione”.
Tenga la nyanya, ambalo linatoa mbaka ndoo kubwa tatu, linauzwa 15,000 .
Kukodi kwa eka ni 30,000.
Kutumia ng’ombe kwa eka moja ni 30,000.
Kutumia treka ni 50,000 kwa eka mafuta na dereva ni wa wenye treka.
Muda mwingine unaweza elewana na mwenye shamba na akakupa bure ulime coz yeye mwenyewe anahitaji shamba lake liwe safi. Kama alitumii lakini.
Mbolea ambayo mara nyingi wanaweka kila baada ya siku 21 moja ama mara 14 ukipenda bei ni 48,000 mbaka 58,000.
Kuhusu kumwagilia, tunasubili mvua. Ama kama upo kalibu na maji, yaani mto ama kisima chako mwenye raha tu.
Unaweza enda kuuza nyanya zako pale soko la nyanya ama kutokea shambani kwako.
Changamoto kubwa ni:
Nyanya ni nyingi, viwandwa vya kutengenezea nyanya vipo viwili, kimoja kipo hapo Ilola na kingine ni Iringa mjini.
Cha apo Ilola ni kidogo, kina uwezo wa kuchukua maximum tenga 200 mbaka 250.
Pia umwagiliaji. Sema huku wamebalikiwa na mvua na udongo mzuri. Kwaiyo wanalima kwa msimu. Ila kama kutakua na tecknologia nzuri ya umwagiliaji, hawa watu wanauwezo wa kulima mwaka mzima, yani misimu yote.
Bila kusahau madawa nayo ni muhimu kwa nyanya zako.
Fursa nilizozifikiria.
1.Kiwanda cha kuzindika ama kuhifadhi nyanya kwa mda mrefu ili zisiharibike. Mfano kipindi nyanya zipo nyingi zinaweza zikachukuliwa zikachemshwa kwa usafi wa hali ya juu, na kuekwa kwenye packaging ambazo zitahifadhi radha yake halizi kwa mda mrefu.
2. Sijaona kiwanda cha tomato paste.
3. Viwanda vya chill pamoja na tomato za chips viongezeke itapendeza saidi. Maana uku nyanya kuna msimu wakulima wanaacha tani za nyanya zinaharibika mashambani.
Maona yangu kutokana na uharisia niliouona shambani:
Heka mbili zilizo limwa vizuri na kufatiliwa vizuri zaweza kukupa zaidi ya matenga 800.
Tafakari na chukua hatua.
#TheGardenerTraveller#
Nimetembelea mkoa wa Iringa, niweza kujionea maajabu na fursa nilizozikuta. “Kweli tembea ujione”.
Tenga la nyanya, ambalo linatoa mbaka ndoo kubwa tatu, linauzwa 15,000 .
Kukodi kwa eka ni 30,000.
Kutumia ng’ombe kwa eka moja ni 30,000.
Kutumia treka ni 50,000 kwa eka mafuta na dereva ni wa wenye treka.
Muda mwingine unaweza elewana na mwenye shamba na akakupa bure ulime coz yeye mwenyewe anahitaji shamba lake liwe safi. Kama alitumii lakini.
Mbolea ambayo mara nyingi wanaweka kila baada ya siku 21 moja ama mara 14 ukipenda bei ni 48,000 mbaka 58,000.
Kuhusu kumwagilia, tunasubili mvua. Ama kama upo kalibu na maji, yaani mto ama kisima chako mwenye raha tu.
Unaweza enda kuuza nyanya zako pale soko la nyanya ama kutokea shambani kwako.
Changamoto kubwa ni:
Nyanya ni nyingi, viwandwa vya kutengenezea nyanya vipo viwili, kimoja kipo hapo Ilola na kingine ni Iringa mjini.
Cha apo Ilola ni kidogo, kina uwezo wa kuchukua maximum tenga 200 mbaka 250.
Pia umwagiliaji. Sema huku wamebalikiwa na mvua na udongo mzuri. Kwaiyo wanalima kwa msimu. Ila kama kutakua na tecknologia nzuri ya umwagiliaji, hawa watu wanauwezo wa kulima mwaka mzima, yani misimu yote.
Bila kusahau madawa nayo ni muhimu kwa nyanya zako.
Fursa nilizozifikiria.
1.Kiwanda cha kuzindika ama kuhifadhi nyanya kwa mda mrefu ili zisiharibike. Mfano kipindi nyanya zipo nyingi zinaweza zikachukuliwa zikachemshwa kwa usafi wa hali ya juu, na kuekwa kwenye packaging ambazo zitahifadhi radha yake halizi kwa mda mrefu.
2. Sijaona kiwanda cha tomato paste.
3. Viwanda vya chill pamoja na tomato za chips viongezeke itapendeza saidi. Maana uku nyanya kuna msimu wakulima wanaacha tani za nyanya zinaharibika mashambani.
Maona yangu kutokana na uharisia niliouona shambani:
Heka mbili zilizo limwa vizuri na kufatiliwa vizuri zaweza kukupa zaidi ya matenga 800.
Tafakari na chukua hatua.
#TheGardenerTraveller#