Fursa ya kupiga pesa kwenye zao la mpunga 2019/2020

Dec 29, 2017
74
100
Analysis yangu ya zao la mpunga kwa mkoa wa Morogoro iko hivi:

Kwamsimu huu wa 2019/2020 mvua zimenyesha nyingi mnoo na kusababisha baadhi ya wakulima kuchelewa kupanda mbegu mpaka hivi ninavyooandika hii comment bado kuna watu wapo na mbegu ndani.

Kwa element hii itasababisha zao la mpunga kwa mkoa wa Morogoro kuanza kwa bei ya juu kidogo tofaut na msimu wa 2018/2019 na kumalizia na bei ya juu zaid ya msimu uliopita.

Iko hivi...
Mvua zikiwa nyingi sana bei inapanda kwa kiasi
Mvua zikiwa constant bei itakua chini/normal coz mavuno yatakua mengi
Kukiwa na ukame LAZMA bei ipande kupindukia coz mavuno yatakua machache kutoka na wakulima kushindwa kupata mavuno yakutosha na waliopata bac n wale wa kilimo cha kumwagilia

,,,,,,,,Do What To Do,,,,,,,,

Kama una mtaji ni muda wa kwenda kununua stick ya mpunga na kusubiri bei kupanda then thank me later
 
Mwaka huu Bei ya mpunga itakua chini sana msijidanganye kuweka store eti mje mpige hela Mimi nipo mlimba na juzi nilikua malinyi mvua sio nyingi Wala chache mashamba mengi ya mpunga yanaenda vizuri mwezi wa tano wengi wataanza kuvuna.

Halafu Bei ya Mpunga imeshuka sana kutoka laki moja mpaka elfu hamsini kwa gunia fikiria wakianza kuvuna hali itakuaje,kiufupi huu nimwaka wa kula wali kwa wingi.
 
Mwaka huu Bei ya mpunga itakua chini sana msijidanganye kuweka store eti mje mpige hela Mimi nipo mlimba na juzi nilikua malinyi mvua sio nyingi Wala chache mashamba mengi ya mpunga yanaenda vizuri mwezi wa tano wengi wataanza kuvuna.

Halafu Bei ya Mpunga imeshuka sana kutoka laki moja mpaka elfu hamsini kwa gunia fikiria wakianza kuvuna hali itakuaje,kiufupi huu nimwaka wa kula wali kwa wingi.
Sasa inakuzuia nini kuweka store?
 
Inategemea na uwezo wa mtu boss!!! Kuzungusha kweli inaleta faida ila sasa shida inakuja kama huna mtaji wa kueleweka!! Let's say mtu anataka kujaza fuso yeye mwenyew na kupeleka labda dar, lazma awe na minimum ya 10mil tofaut na yule mwenye 5mil ambae anaweza nunua labda stock ya gunia 80 na akasubiri mpaka miez ya 10/11 nakuhakikishia with no doubt atadouble huo mtaj wake wa 5mil mpaka 10mil+!!!
Biashara ya kuweka store ni biashara kichaa nunua uza, zungusha pesa.

Sent using Jamii Forums mobile app

@YoungJigger
 
Analysis yangu ya zao la mpunga kwa mkoa wa Morogoro iko hivi:

Kwamsimu huu wa 2019/2020 mvua zimenyesha nyingi mnoo na kusababisha baadhi ya wakulima kuchelewa kupanda mbegu mpaka hivi ninavyooandika hii comment bado kuna watu wapo na mbegu ndani.

Kwa element hii itasababisha zao la mpunga kwa mkoa wa Morogoro kuanza kwa bei ya juu kidogo tofaut na msimu wa 2018/2019 na kumalizia na bei ya juu zaid ya msimu uliopita.

Iko hivi...
Mvua zikiwa nyingi sana bei inapanda kwa kiasi
Mvua zikiwa constant bei itakua chini/normal coz mavuno yatakua mengi
Kukiwa na ukame LAZMA bei ipande kupindukia coz mavuno yatakua machache kutoka na wakulima kushindwa kupata mavuno yakutosha na waliopata bac n wale wa kilimo cha kumwagilia

,,,,,,,,Do What To Do,,,,,,,,

Kama una mtaji ni muda wa kwenda kununua stick ya mpunga na kusubiri bei kupanda then thank me later
Ngoja nikupe ndondoo. Kilimo cha mpunga ndiyo kilimo pekee ambacho hakina msimu kama maji yatakuwa yakutosha na yasiharibu mazao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata mwanzo wa Wayahudi kuanzisha Benki ilikuwa ni mikopo ya nafaka. Unachukua nafaka kwa mtu kwa ahadi ya kumlipa mara dufu baada ya kuuza.
Nilichogundua ni kwamba watanzania wengi tunapenda kubishana na kuonekana wajuaji!! Huu umuch know utatuua!! Hii biashara mkuu wangu Ninaexperience nayo sio tu kununua stock na hata biashara ya mchele pia!! Alafu kuna wazee wakubisha watakuja kusema hailipi!!

Karibu boss!

@YoungJigger
 
Back
Top Bottom