Kambi ya Fisi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,462
- 21,945
Wapendwa ninaleta kwenu mbinu mpya ya kupiga hela bila jasho. Kwa kosa walilolifanya makampuni ya simu kuzima internet bila taarifa huku wakiendelea kutuuzia vifurushi vya internet ambavyo havifanyi kazi bali vimetupotezea hela zetu pasipo faida.
Nawiwa kuwashawishi wote makapuku ambao tunalia kila siku kuwa hamna hela hebu njooni hapa tuajili mwanasheria nguli tumlipe hela yake tuwadai fidia hawa wenye makampuni ya simu kwa kutusababishia hasara kubwa.
Wapendwa hela haiji pasipo kutumia mtaji, hebu mkuje wote wenye hasira na haya makampuni tuchange milioni 20 za advocate na sisi tudai kulipwa fidia ya billion 3 na hayo makampuni ya simu yaliyotusababishia hasara.
Hela hiyo ya fidia ipo nje nje wapendwa njooni sasa tuanze mchakato nimeshampata mtu mmoja ambaye ni mke wangu amekubaliana na wazo langu ila akapendekeza wakili asiwe wa kutoka Tanzania akaenda mbali zaidi kwa kumpendekeza Robert Amsterdam.
Hayo malipo ya million 20 nimekisia tu ila Wadau tukisha kamilika na kumpata wakili tutajua na bei yake mkuje sasa tupige hela
NB
Bahati haiji mara mbili
Nawiwa kuwashawishi wote makapuku ambao tunalia kila siku kuwa hamna hela hebu njooni hapa tuajili mwanasheria nguli tumlipe hela yake tuwadai fidia hawa wenye makampuni ya simu kwa kutusababishia hasara kubwa.
Wapendwa hela haiji pasipo kutumia mtaji, hebu mkuje wote wenye hasira na haya makampuni tuchange milioni 20 za advocate na sisi tudai kulipwa fidia ya billion 3 na hayo makampuni ya simu yaliyotusababishia hasara.
Hela hiyo ya fidia ipo nje nje wapendwa njooni sasa tuanze mchakato nimeshampata mtu mmoja ambaye ni mke wangu amekubaliana na wazo langu ila akapendekeza wakili asiwe wa kutoka Tanzania akaenda mbali zaidi kwa kumpendekeza Robert Amsterdam.
Hayo malipo ya million 20 nimekisia tu ila Wadau tukisha kamilika na kumpata wakili tutajua na bei yake mkuje sasa tupige hela
NB
Bahati haiji mara mbili