Fursa ya Kilimo cha Iliki. Mbinu, changamoto na faida

Nadhani moja ya changamoto za hili zao ni muda wa tangu kupanda hadi kuvuna....ukifananisha na Mahindi au Maharage.

Ila ukiweza kupata wastani wa kilo 200 kwa mwaka ni dili tosha ukilinganisha na kila 500 za mahindi.
 
Ukiweza kulima iliki utakuwa Tajiri..
Naona watu wanaolima kama hawataki wengine wajue..
Iliki
Tangawizi
Vitunguu saumu
Abdalahsini
Hayo mazao Ni adhimu tatizo Ni wapi utapata Miche ya mimea hiyoNani mtaalam was kukuelekeza A-Z YLya mazao hayo kwa maana :
UPATIKANAJI WA MICHE
UPANDIKIZAJI
UTUNZAJI
UVUNAJI NA
MASOKO
 
Nikajua basi ni mtu wa maana sana CCM, kumbe hohehahe. Unaona sasa unauliza kilimo Cha iriki humu, wenzio wanatumbua tu.
Nakusindikiza na tusi, ku.........nina zako
 
Hayo mazao Ni adhimu tatizo Ni wapi utapata Miche ya mimea hiyoNani mtaalam was kukuelekeza A-Z YLya mazao hayo kwa maana :
UPATIKANAJI WA MICHE
UPANDIKIZAJI
UTUNZAJI
UVUNAJI NA
MASOKO
Mie nimkazi waturiani morogoro zao la iriki linalimwa sana tu japo bei zake zinabadirika sana nahii nikutokana nabei zasoko ladunia, ila ulimaji wake niwakienyeji zinalimwa msituni huko milima yaunguu, kilo ya iriki iliokauka c mchezo kuipata mana inakua nyepesi sana hata ikiuzwa bei kubwa nihalali sio kama kokoa
 
Mie nimkazi waturiani morogoro zao la iriki linalimwa sana tu japo bei zake zinabadirika sana nahii nikutokana nabei zasoko ladunia, ila ulimaji wake niwakienyeji zinalimwa msituni huko milima yaunguu, kilo ya iriki iliokauka c mchezo kuipata mana inakua nyepesi sana hata ikiuzwa bei kubwa nihalali sio kama kokoa
Mkuu vipi bado magimbi yanalimwa huko milima ya nguu mndela
 
Mkuu vipi bado magimbi yanalimwa huko milima ya nguu mndela
Magimbi yanalimwa mkuu mwez waramadhan maboss ndio wanaweka kambi, changamoto nihawa watu wamaliasili wanaharibu mazio kwamba wamevamia hifadhi yamsitu
 
Twende kwenye mada moja kwa moja.

Mwenye uzoefu na kilimo cha iliki naomba afanye kushea na sisi hapa jukwaani maana naona kina bei kubwa Sana kwa kilo sokoni Kati ya sh.15,000 hadi 20,000/kg.

Tuelezeni mchakato wa kilimo ulivyo,Hali ya hewa inayojitajika,utunzaji, changamoto nk.

 
Karibu Nehemia One Pvt Co Ltd. Kampuni yenye wataalamu wenye uzoefu wa masoko na uzalishaji wa mazao ya kilimo.

Kampuni inapenda kukukaribisha kwenye fursa ya uzalishaji wa MDALASINI tunazalisha miche ya mdalasini na kuhamasisha watu kupanda zao hili kwasababu tunafahamu soko lake jinsi lilivo kubwa na linazidi kukua Kwa kasi. Ni zao lenye matumizi mengi hasa kama kiungo kwenye Aina mbalimbali za vyakula. Jambo jema ni kuwa soko lake ni kubwa mnoo katika nchi zote duniani lakini uzalishaji wake ni mdogo mno!

MASOKO NA UHITAJI

Kwa mujibu wa taaasisi ya utafiti ya persistance market research, thamani ya soko la MDALASINI duniani itafikia Dola za kimarekani bilioni 1.15 mwaka 2030. Matumizi kwenye viwanda vya dawa na vipodozi, viwanda vya chakula ndio ambayo yanafanya uhitaji wake kua mkubwa. Yako makampuni mengi kama Csi na mengine mengi ambayo yanahitaji mdalasini kutoka Tanzania Kwa bei kubwa kwenda nchi za falme za kiarabu, ulaya, na America lakini upatikanaji wake ni wa chini.

Uhitaji kwenye soko la kimataifa unaongezeka Kwa kasi kwasababu ya matumizi yake kama kiungo cha chakula, dawa chenye antioxidants, ant inflammatory properties, also helping in heart and stroke, blood sugar, diabetes etc.

Kampuni yetu yenye muunganiko na makampuni zaidi ya 60 kutoka nchi mbalimbali duniani huwa inapokea oda nyingi za magome ya mdalasini zaidi ya tani 20 Hadi 500 mara Kwa mara lakini tunakosa mdalasini wa kutosha kutimiza oda hizo.

SOKO LAKE KWA TANZANIA

Mdalasini unaozalishwa Tanzania haukidhi kabisa mahitaji ambapo ni kiasi cha asilimia 20 Hadi 28 ya uhitaji hivyo kufanya asilimia kubwa ya mdalasini kuagizwa kutoka nchi za bara la Asia kama India, Vietnam, Malaysia na China.
Baadhi ya wawekezaji kwenye viwanda vya chakula wameonesha nia ya kujenga viwanda Vya kuchakata zao hili lakini ukosefu wa MDALASINI wa kutosha imekua kikwazo.

Licha ya viwanda. Kuna makampuni zaidi ya 100 ambayo yanahitaji zao hili ili kusafirisha kwenda nchi za ulaya, America lakini wanakosa kwasababu ya uzalishaji ni mdogo mnoo!.

Aina ya miche ya mdalasini inayooteshwa na kampuni ni (Cinnamomum verum) picha ziko mwishoni baada ya maelezo.

UZALISHAJI NA MAENEO YANAYOFAA KWA KILIMO HIKI

✓Mdalasini ni jamii ya mti ambao hukua Kwa urefu wa kuanzia Mita 8 Hadi 15 kutegemeana na eneo mmea ulipooteshwa.
✓Hupendelea eneo la wazi kwenye kiasi cha wastani cha jua.
✓huoteshwa kwenye udongo wenye rutuba ya asili na maji ya wastani. Eneo lenye maji mengi au lenye asili ya kutuamisha maji halifai Kwa uzalishaji wa MDALASINI.
✓zao hili halihitaji mbolea wala dawa katika ukanda wa kitropiki kama Tanzania
✓udongo wa tifutifu, kichanga -tifutifu wenye wastani wa unyevu nyevu unafaa saana,
Na maeneo yenye wastani wa mvua wa mm 2000 mpaka mm 2600 Kwa mwaka. Hustawi kwenye mwinuko kuanzia Mita 10 Hadi 1500 kutoka usawa wa bahari na joto kiasi cha wastani wa digrii 27 za sentigredi
✓mmea hustawi au unaweza kustawi kwenye mikoa ya Morogoro, tanga, pwani, mtwara, Lindi, rukwa, tabora, rukwa, tabora, Kagera, mara, (maeneo yanayo zunguka ziwa Viktoria) mbeya, katavi, kigoma na Zanzibar.
✓ ekari moja hupandwa miche 380 mpaka 400

MAVUNO

1. Mdalasini huanza kuvunwa kuanzia umri wa miaka miwili. Jambo zuri ni kuwa, baada ya kuvuna, mmea unachipua tena na huvunwa Kwa mwendelezo Kwa kila baada ya miaka miwili Hadi mitatu mpaka baada ya miaka 30 Hadi 45
2. Majani, na mbegu hutumika kuzalisha mafuta ambayo Yana thamani kubwa. Magome hutumika kutengeneza viungo vya chakula, dawa na hata vipodozi.
3.jinsi mmea unavo kaa shambani miaka mingi ndivo ambavyo thamani yake inapanda kutokana na uwingi wa magome yatakayo patikana, kuongezeka Kwa ladha na harufu nzuri ya magome.
4. Kama ikiwekezwa Kwa miaka kuanzia 8 hutoa mapato makubwa Sana kama ifuatavyo .
Mti mmoja hutoa kilo 40 za magome yaliyo komaa , majani kiasi cha kilo 200 ambayo pia unaweza kuvuna kila mwaka baada ya mwaka wa tatu tangu kupanda, pamoja na mbegu zake.

Kwa idadi ya miti 380 Kwa ekari, kiasi cha magome ni kilo 15200 (tani 15.2).
5. Bei Kwa kilo moja ya magome ya mdalasini ni shilingi za kitanzania 8500/kg (bei ya wanunuzi wa ndani) bei huwa ni 9500/kg Kwa wanunuzi kutoka nje ya nchi ambao ni wengi na wa uhakika.
6. Makadirio ya mapato ghafi Kwa ekari ni shilingi milioni miamoja na ishirini na tisa (129,000,000 Tshs).

Gharama za miche ni shs 2600 Kwa kila mche ambayo huuzwa Kwa oda.

Tunatoa huduma bure (Kwa wateja wa miche) Kwa msaada wa namna ya kuotesha shambani, kuhudumia, kuvuna na MASOKO ambayo yanasuburi Kwa hamu kubwa.

Wasiliana nasi kupata miche Kwa namba
+255762967548
+255699589177
Website: Для просмотра нужно войти или зарегистрироваться
Email. nehemiahedward7@gmail.com
Morogoro mjini, Mjimpya.
 
Mie nimkazi waturiani morogoro zao la iriki linalimwa sana tu japo bei zake zinabadirika sana nahii nikutokana nabei zasoko ladunia, ila ulimaji wake niwakienyeji zinalimwa msituni huko milima yaunguu, kilo ya iriki iliokauka c mchezo kuipata mana inakua nyepesi sana hata ikiuzwa bei kubwa nihalali sio kama kokoa
Na kokoa zinalimwa huko Tuliani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom