Old - Hand
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 2,040
- 1,895
Duh
Ada please. tujipangeKatika thread yake Ontario mwenyewe amesema yuko tayari kutoa training na mentorship kwa wakazi wa Mwanza, Kagera, Mara na mikoa jirani yenye uwezo wa kufika Mwanza. Anachohitaji ni kuji-organize tu.
Mrejesho kuhusu Forex Trading: One step at a time, Safari ndio imeanza rasmi
Katika thread hapo juu post yake ni #46
Kwa kuwa nafasi imepatikana wakazi wa kanda ya ziwa tutumie thread hii kuji-organize ili aje kutoa mentorship.
Mimi niko Bukoba lakini muda wowote darasa likipatikana niko tayari.
Ushatoa ada?...sijui napishana vipi na ONTARIO aaaaghhhrrr...!!
...bado , nipe muongozo maana nilikuwa offline kwa muda kidogoo....Ushatoa ada?
Kama unatokea kanda ya ziwa na ungependa kushiriki mafunzo basi zoezi linaloendelea sasa ni kutuma ada. Hivyo uko tayari nikupe link ujoin grp kisha utakuta maelekezo...bado , nipe muongozo maana nilikuwa offline kwa muda kidogoo....
...nakwenda dar soon so its better nikapata ratiba za dar...Kama unatokea kanda ya ziwa na ungependa kushiriki mafunzo basi zoezi linaloendelea sasa ni kutuma ada. Hivyo uko tayari nikupe link ujoin grp kisha utakuta maelekezo
poa poa...nakwenda dar soon so its better nikapata ratiba za dar...
Hivi huwa mnasoma maelekezo kweli?Wa dar vp jaman tunapata wapi mafunzo
Mkuu kwa hivyo nkijaribu na Mimi kukusanya watu Wa Tanga tukafika mia utakuja???Kama mtaweza kujimobilize mfike japo 100, basi mimi na team yangu tunaweza kuja kwa week 1 tuwape madini, sina shida kbs juu ya hilo. Kanda hiyo ndio home kbs, so tupo pamoja sana.
Nipo karagwe nimeajiriwa sijui nitaanzaje kutoka.Uko tayari kwa ajili ya mafunzo?
Nieleweshe mkuu, ni mgeni hmu na nimeipenda hii issueHivi huwa mnasoma maelekezo kweli?
Sasa vitabu vyenye kurasa 300 mtasomaje?
Kama unatokea kanda ya ziwa na ungependa kushiriki mafunzo basi zoezi linaloendelea sasa ni kutuma ada. Hivyo uko tayari nikupe link ujoin grp kisha utakuta maelekezo
hata mie nitakuja ila nikikuta mwanamke ni mmoja tu nitajua ni weweNitajitahid niwepo
TMT Forex Lake ZoneNipe maelekezo, nataka niko tayari, niko mwanza hapa, nipe hiyo link haraka
Only in Tanzania Deo Corleone!!! Wabongo ukiwapa sentence za kupiga hela wanataka waanze kupiga hela hapo hapo habari za kusoma hawataki hata kusikia! Thread tu mtu imemshinda sasa sijui hivo Vitabu atawezajeHivi huwa mnasoma maelekezo kweli?
Sasa vitabu vyenye kurasa 300 mtasomaje?