Fursa ya biashara kwa wana mmu

Miss Natafuta

JF-Expert Member
Sep 16, 2015
25,470
45,614
Kuna fursa ya biashara nimechungulia hapa mjini.
Mimi sina mtaji.ila natamani kama tunaweza kuunda kikundi tuifanye. Inaitaji fuso moja na cash kama 30 m. Kwa kuanzia.ndani ya miaka 2 unakuwa bilionea kama tukipata fuso kumi.naomba mwenye kujua jinsi ya kutengeneza group kwa kutumia group link afanye hivo tuungane tutafute hela.uwe mchapakazi lakini hakuna hela rahisi mjini hapa.halafu kama hupendi biashara na hela huna usije kwenye group
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom