FAJES
JF-Expert Member
- Oct 29, 2017
- 714
- 628
Fursa: Wataalamu wawili (2) wa kutengeneza Viatu vya ngozi wanahitajika
Mahali: Dar es Salaam
SIFA: Mbunifu na mwenye uzoefu mzuri (Hakutakuwa na muda wa mafunzo, ni kazi moja kwa moja).
Mafunzo ya VETA ni sifa ya zida zaidi.
Kijana Mchapakazi, mwenye kujituma, Mwaminifu na Mwenye maadili mazuri.
Mwenye uwezo wa kumudu process zote kuanzia mwanzo hadi kukamilisha kiatu.
Uwezo wa kutengeneza mikoba, wallets na mikanda ya ngozi ni sifa ya ziada.
MALIPO: Ni mazuri na kutakuwa na commission kwa kila baada ya kufikia target iliyopangwa.
Mwisho wa kutuma maombi/ kuonesha nia ni tarehe 30/11/2017. Baada ya maombi kutakuwa na Practical interview (majaribio kwa vitendo) na baada ya hapo kazi itaanza mara moja.
Mwenye CV anaruhusiwa kutuma CV yake kuanzia sasa.
Mawasiliano: fajestz@gmail.com
+255 624 060 662.
Mahali: Dar es Salaam
SIFA: Mbunifu na mwenye uzoefu mzuri (Hakutakuwa na muda wa mafunzo, ni kazi moja kwa moja).
Mafunzo ya VETA ni sifa ya zida zaidi.
Kijana Mchapakazi, mwenye kujituma, Mwaminifu na Mwenye maadili mazuri.
Mwenye uwezo wa kumudu process zote kuanzia mwanzo hadi kukamilisha kiatu.
Uwezo wa kutengeneza mikoba, wallets na mikanda ya ngozi ni sifa ya ziada.
MALIPO: Ni mazuri na kutakuwa na commission kwa kila baada ya kufikia target iliyopangwa.
Mwisho wa kutuma maombi/ kuonesha nia ni tarehe 30/11/2017. Baada ya maombi kutakuwa na Practical interview (majaribio kwa vitendo) na baada ya hapo kazi itaanza mara moja.
Mwenye CV anaruhusiwa kutuma CV yake kuanzia sasa.
Mawasiliano: fajestz@gmail.com
+255 624 060 662.