Fursa pekee zinazopatikana kwa mwalimu wa Tanzania

mwanyaluke

JF-Expert Member
Jan 22, 2015
473
1,448
Nimekuwa mwalimu wa Serikali tangia mwaka 2015, niliyajua haya kabla ya kuajiriwa na baada ya kuajiriwa nimeyathibitisha, ualimu ni moja ya kazi ambazo zinatoa nafasi kidogo sana kwa wajiriwa kufanikiwa kiuchumi kiasi kwamba mtumishi yoyote ukiijitambulisha ni mwalimu watu hukuunganisha na umaskini na ukweli ni huo.

Mafanikio ya walimu ni kujenga nyumba ya kuishi, akipata gari na kufanikiwa kumiliki kipande kidogo cha ardhi walimu wengi huridhika na kujiona wamefanikiwa, the same kwa watumishi wengi wa local government huwa na mtazamo huu.

Kwa nini hii hali ipo hivyo sababu ni

1. Mbali na mshahara hakuna njia nyingine ya kuingiza pesa iliyowazi labda uwe na connection pale NECTA at least kila mwaka utakuwa unapata vijipesa kidogo utakavyopewa baada ya kusahisha mitihani (hili lipo na kazi ya kusahisha ni reserved duty kwa baadhi ya walimu tu,pale necta pana namna).

Pamoja na hayo yote sisi tulioamua kutafuta pesa na kupingana na umaskini kwa nguvu zetu zote bado tunaona kazi ya ualimu wa serikali bado ina fursa, fursa zenyewe ni hizi

1. Muda, kazi ya ualimu sio complicated kabisa kiasi kwamba mwalimu unapata muda wa kutosha kufanya kazi zako za nje ya ajira, hapa muhimu upate shule ambayo mkuu wako sio mshamba na anajitambua, ukipata mkuu mshamba anakushikilia muda wote na anataka uwepo kituoni bila hata kuwa na kazi hii fursa hupotea.

Mfano mwalimu wa Kiswahili anafundisha mikondo miwili inamanisha una dk 40*6 =240dkk za kuwa darasani na ongeza dkk nyingine 240 za kufanya kazi nje ya darasa , ina maana una masaa nane kwa wiki ya kufanya kazi.

2. Mikopo, mwalimu usipokopa hakuna unachoweza kipata kwenye maisha zaidi ya nyumba fulani, gari fulani, na shamba fulani hivi, muhimu mwalimu akikopa ajielekeze kwenye shughuli za kiuchumi.

Mimi sijafanikiwa kwenye maisha ila naamini hizo ndizo fursa za ualimu mjue, kujipendekeza kwa wakuu na viongozi ili upate kusimamia mitihani, mara ufundishe jumamosi wanafunzi wakuchangie Tsh 200, kutoboa kwako hapo ni mbingu na ardhi.
 
Nachukia sana mada za kitoto kama hizi !!! Kama wenyewe wameridhika wewe kinakuwasha nn!?? Mbona mm nawaona walimu wana. Mijengo ,biashara,na hata kisomeshha watoto wao English median tena na ghali sana kuliko hata watu was kada nyingine tunaojiona tunapiga pesa!??? Niambie ni kada gani nyingine serikalini INA fursa za utajiri!??
Aliyekwamba necta watu wanaenda kwa mchongo nani!??? Unaweza kuthibitisha hill!??? Ndugu acha kuropoka ni hatari!!!wewe subiri kazi. Za maslahi zinakuja
 
Nimekuwa mwalimu wa serikali tangia mwaka 2015, niliyajua haya kabla ya kuajiriwa na baada ya kuajiriwa nimeyathibitisha, ualimu ni moja ya kazi ambazo zinatoa nafasi kidogo sana kwa wajiriwa kufanikiwa kiuchumi kiasi kwamba mtumishi yoyote ukiijitambulisha ni mwalimu watu hukunganisha na umaskini na ukweli ni huo.

Mafanikio ya walimu ni kujenga nyumba ya kuishi, akipata gari na kufanikiwa kumiliki kipande kidogo cha ardhi walimu wengi huridhika na kujiona wamefanikiwa, the same kwa watumishi wengi wa local government huwa na mtazamo huu.

Kwa nini hii hali ipo hivyo sababu ni

1.mbali na mshahara hakuna njia nyingine ya kuingiza pesa iliyowazi labda uwe na connection pale NECTA at least kila mwaka utakuwa unapata vijipesa kidogo utakavyopewa baada ya kusahisha mitihani (hili lipo na kazi ya kusahisha ni reserved duty kwa baadhi ya walimu tu,pale necta pana namna).

Pamoja na hayo yote sisi tulioamua kutafta pesa na kupingana na umaskini kwa nguvu zetu zote bado tunaona kazi ya ualimu wa serikali bado ina fursa , fursa zenyewe ni hizi

1.muda , kazi ya ualimu sio complicated kabisa kiasi kwamba mwalimu unapata muda wa kutosha kufanya kazi zako za nje ya ajira, hapa muhimu upate shule ambayo mkuu wako sio mshamba na anajitambua, ukipata mkuu mshamba anakushikilia muda wote na anataka uwepo kituoni bila hata kuwa na kazi hii fursa hupotea.

Mfano mwalimu wa kiswahili anafundisha mikondo miwili inamanisha una dk 40*6 =240dkk za kuwa darasani na ongeza dkk nyingine 240 za kufanya kazi nje ya darasa , ina maana una masaa nane kwa wiki ya kufanya kazi.

2. Mikopo,mwalimu usipokopa hakuna unachoweza kipata kwenye maisha zaidi ya nyumba fulani, gari fulan, na shamba fulani hivi, muhimu mwalimu akikopa ajielekeze kwenye shughuli za kiuchumi.

Mimi sijafanikiwa kwenye maisha ila naamini hizo ndizo fursa za ualimu mjue, kujipendekeza kwa wakuu na viongozi ili upate kusimamia mitihani, mara ufundishe jumamosi wanafunzi wakuchangie tsh 200, kutoboa kwako hapo ni mbingu na ardhi.
Hapo kwenye suala la muda, ni kuitumia vizuri Sana. Waajiriwa serikalini kama walimu Wana muda mwingi wa kuwawezesha kufanya Mambo Yao binafsi.
Namfaham Mwalimu ana duka la pembejeo lenye thamani ya karibu 12 million. Mwingine ana kijiwe Cha kutibu bodaboda mbovu kwa siku elfu 15 mpaka 30 anapata.
 
Hapo kwenye suala la muda, ni kuitumia vizuri Sana. Waajiriwa serikalini kama walimu Wana muda mwingi wa kuwawezesha kufanya Mambo Yao binafsi.
Namfaham Mwalimu ana duka la pembejeo lenye thamani ya karibu 12 million. Mwingine ana kijiwe Cha kutibu bodaboda mbovu kwa siku elfu 15 mpaka 30 anapata.
Mimi mdogo wangu ni mwalimu was sec ana machine mbili maize miling ,zimempa pesa anajenga lodge ya hatari namanga !!! Mpaka namuogopa mm nipo huku kwingine sijaweza msogelea pia ni mfugaji hatari na mkulima dogo kajiongeza hatari!!!!sasa huyo. Kenge Amalia lia anataka kitu gani!?? Changamka dogo
 
Nachukia sana mada za kitoto kama hizi !!! Kama wenyewe wameridhika wewe kinakuwasha nn!?? Mbona mm nawaona walimu wana. Mijengo ,biashara,na hata kisomeshha watoto wao English median tena na ghali sana kuliko hata watu was kada nyingine tunaojiona tunapiga pesa!??? Niambie ni kada gani nyingine serikalini INA fursa za utajiri!??
Aliyekwamba necta watu wanaenda kwa mchongo nani!??? Unaweza kuthibitisha hill!??? Ndugu acha kuropoka ni hatari!!!wewe subiri kazi. Za maslahi zinakuja
Walimu tumemuelewa 99% yuko sawa. Tuliza jaziba pale ukweli unaposemwa Mkuu!

Sent from my TECNO LA6 using JamiiForums mobile app
 
Mimi mdogo wangu ni mwalimu was sec ana machine mbili maize miling ,zimempa pesa anajenga lodge ya hatari namanga !!! Mpaka namuogopa mm nipo huku kwingine sijaweza msogelea pia ni mfugaji hatari na mkulima dogo kajiongeza hatari!!!!sasa huyo. Kenge Amalia lia anataka kitu gani!?? Changamka dogo
Huyu alininua assets, wengine wananunua liabilities kuweka heshima mijini. Na hili si kwa walimu tu.
 
Kuwa mwalimu kijijini kuna faida kama utajiongeza. Kijijini ardhi ni kubwa, unaweza kupanga nyumba mwaka wa kwanza baada ya hapo unapata kiwanja na kujenga kibanda chako na kuachana kabisa na kulipa kodi.

Unapata shamba, hata ukitumia J’mosi tu kuwa shambani kama una vibarua unaweza kupata mavuno na ukaachana na kununua chakula.

Walimu wa kijijini wengi wana bodaboda na J’mosi huwa wanaendesha wenyewe, hii inakupa uhakika wa hela ya mboga kwa wiki nzima.
 
Mkuu
Hongera kwa mada nzuri Sana
Mafanikio ya mwalimu yanategemea location ya ajira na akili yake tu!!
Mfano wa mjini WENGI kutoboa kazi sana fursa kidogo mitaji mdogo pia competition kubwa!
Ikiwa maeneo ya njombe,mbeya,morogoro vijijini na baadhi ya maeneo yenye mvua za misimu miwili huwezi kufa maskini!
Mfano nina jamaa hapa jirani:-
1.Nyumba mbili za kawaida vyumba vitatu na sebule na vyumba viwili na sebule:-
2.frem nne za kupangisha maduka ndani ukumbi wa kutazama mpira na mikutano ya hapa na pale.
3.Mwaka jana alinunua ng'ombe jike mbili Sasa wamezaa snap wanne na mwaka huu watazaa tena!
4.njombe kule eka tano za miti kalima na mwaka wa nane huu anakaribia kuvuna.
5.pale kwake nyumbani ana duka mchanganyiko la mke wake wanapata pesa ya kula kila siku!!!
6.mizinga zaidi ya hamsini ya nyuki mwaka huu Mwezi wa Saba ataenda kuvuna asali!!!
6.Hana mpango wa kujipendekeza kwa wakuu coz hana njaa na ana miaka 34 tu Duniani huyo jamaa na ni mkorofi kimtindo Huwa anawachana wakuu wake ukweli pale inapobidi!!!
Mwaka wa nane huu yupo job na ni class ya ajira mwaka 2014!
Tafakari
Kama una kaa Town nenda Bush kapige pesa baadae uje Mjini uitwe baby Hata kama Mzee ACHA kukaa town Ili utembee kwenye Lami!!!
 
Nimekuwa mwalimu wa serikali tangia mwaka 2015, niliyajua haya kabla ya kuajiriwa na baada ya kuajiriwa nimeyathibitisha, ualimu ni moja ya kazi ambazo zinatoa nafasi kidogo sana kwa wajiriwa kufanikiwa kiuchumi kiasi kwamba mtumishi yoyote ukiijitambulisha ni mwalimu watu hukunganisha na umaskini na ukweli ni huo.

Mafanikio ya walimu ni kujenga nyumba ya kuishi, akipata gari na kufanikiwa kumiliki kipande kidogo cha ardhi walimu wengi huridhika na kujiona wamefanikiwa, the same kwa watumishi wengi wa local government huwa na mtazamo huu.

Kwa nini hii hali ipo hivyo sababu ni

1.mbali na mshahara hakuna njia nyingine ya kuingiza pesa iliyowazi labda uwe na connection pale NECTA at least kila mwaka utakuwa unapata vijipesa kidogo utakavyopewa baada ya kusahisha mitihani (hili lipo na kazi ya kusahisha ni reserved duty kwa baadhi ya walimu tu,pale necta pana namna).

Pamoja na hayo yote sisi tulioamua kutafta pesa na kupingana na umaskini kwa nguvu zetu zote bado tunaona kazi ya ualimu wa serikali bado ina fursa , fursa zenyewe ni hizi

1.muda , kazi ya ualimu sio complicated kabisa kiasi kwamba mwalimu unapata muda wa kutosha kufanya kazi zako za nje ya ajira, hapa muhimu upate shule ambayo mkuu wako sio mshamba na anajitambua, ukipata mkuu mshamba anakushikilia muda wote na anataka uwepo kituoni bila hata kuwa na kazi hii fursa hupotea.

Mfano mwalimu wa kiswahili anafundisha mikondo miwili inamanisha una dk 40*6 =240dkk za kuwa darasani na ongeza dkk nyingine 240 za kufanya kazi nje ya darasa , ina maana una masaa nane kwa wiki ya kufanya kazi.

2. Mikopo,mwalimu usipokopa hakuna unachoweza kipata kwenye maisha zaidi ya nyumba fulani, gari fulan, na shamba fulani hivi, muhimu mwalimu akikopa ajielekeze kwenye shughuli za kiuchumi.

Mimi sijafanikiwa kwenye maisha ila naamini hizo ndizo fursa za ualimu mjue, kujipendekeza kwa wakuu na viongozi ili upate kusimamia mitihani, mara ufundishe jumamosi wanafunzi wakuchangie tsh 200, kutoboa kwako hapo ni mbingu na ardhi.
Mwalimu akiwa shuleni anatakiwa kufanya majukumu yafuatayo:-
1.Kuandaa masomo na kufundisha
2.Kutunga na kusahihisha mitihani na mazoezi mengine.
3.Kusimamia usafi wa shule
4.Kusimamia na kuhakikisha mazingira ya shule yanavutia.
5.Kusimamia nidhamu ya mwanafunzi mmoja mmoja na kwa ujumla.
6.Kutunza mali za shule
7.Kuongoza wanafunzi kushiriki katika michezo.

Km Mwl akifanya haya majukumu yote hakuna muda wa ziada.
 
Sijui kwanini walimu wengi hamna akili.

Zaidi ya Wabongo 98% wanakwambia hiyo kazi mbaya na haina maslahi, na wao WANAITAKA hivyo hivyo hata kwa malipo pungufu.
 
Nachukia sana mada za kitoto kama hizi !!! Kama wenyewe wameridhika wewe kinakuwasha nn!?? Mbona mm nawaona walimu wana. Mijengo ,biashara,na hata kisomeshha watoto wao English median tena na ghali sana kuliko hata watu was kada nyingine tunaojiona tunapiga pesa!??? Niambie ni kada gani nyingine serikalini INA fursa za utajiri!??
Aliyekwamba necta watu wanaenda kwa mchongo nani!??? Unaweza kuthibitisha hill!??? Ndugu acha kuropoka ni hatari!!!wewe subiri kazi. Za maslahi zinakuja
Wewe utakua mwalimu wa IST..ila sio hawa wa huku chitoholi.

Wanakopa hadi dagaa za mwezi mzima.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom