Fursa pekee kwa wazazi juu ya malezi bora ya watoto

vision 2020+

Member
Jan 31, 2012
91
18
Fursa pekee kwa wazazi juu ya Malezi bora ya watoto.
Kutokana na kasi ya Maisha na Dunia kuwa Kijiji Kimoja, wazazi wengi wameishia kuwa na watoto lakini hawapati muda wa kutosha wa kutoa mafunzo na kuwapa malezi bora. Matokeo yake watoto h...ushidwa kutimiza malengo yao.
Mikono Speakers ikishirikiana na wataalam Kutoka Norway na Tanzania inakuletea semina Maalum juu ya ulezi bora wa watoto.
Mahali ni JB Belmont Hotel, tarehe 14 Disemba 2013, kuanzia saa 3 asubuhi
Kiingilio ni Tshs. 100,000 kwa mtu na Tshs 180,000 kwa wazazi/walezi wawili na utajipatia vinywaji na chakula cha mchana.
Wahi sasa, nafasi ni chache! Piga simu namba 07171
1453469_701395079873764_861316593_n.jpg
09362, 0784636169 au barua pepe info@mikono.biz. Wote Mnakaribishwa. info@mikono.biz
 
Fursa pekee kwa wazazi juu ya Malezi bora ya watoto.
Kutokana na kasi ya Maisha na Dunia kuwa Kijiji Kimoja, wazazi wengi wameishia kuwa na watoto lakini hawapati muda wa kutosha wa kutoa mafunzo na kuwapa malezi bora. Matokeo yake watoto h...ushidwa kutimiza malengo yao.
Mikono Speakers ikishirikiana na wataalam Kutoka Norway na Tanzania inakuletea semina Maalum juu ya ulezi bora wa watoto.
Mahali ni JB Belmont Hotel, tarehe 14 Disemba 2013, kuanzia saa 3 asubuhi
Kiingilio ni Tshs. 100,000 kwa mtu na Tshs 180,000 kwa wazazi/walezi wawili na utajipatia vinywaji na chakula cha mchana.
Wahi sasa, nafasi ni chache! Piga simu namba 07171
1453469_701395079873764_861316593_n.jpg
09362, 0784636169 au barua pepe info@mikono.biz. Wote Mnakaribishwa. info@mikono.biz


Hiyo bei kubwa mno, si dhani kama kuna value for money.
 
Siamini kama kuna mtu anaweza kunifundisha kulea mtoto wangu, tunaishi mazingira tofauti, mila nadesturi tofauti kiwango cha kipato pia tofauti sasa hapo nafundishwa nini? Watoto pia hutofautiana uelewa, tabia na hata mitazamo.
 
Kabisa! yaani ni kitu hakifundishiki, bora siku hiyo uitumie na wanao nyumbani kuliko kujitafutia outing nyingine
Siamini kama kuna mtu anaweza kunifundisha kulea mtoto wangu, tunaishi mazingira tofauti, mila nadesturi tofauti kiwango cha kipato pia tofauti sasa hapo nafundishwa nini? Watoto pia hutofautiana uelewa, tabia na hata mitazamo.
 
Siamini kama kuna mtu anaweza kunifundisha kulea mtoto wangu, tunaishi mazingira tofauti, mila nadesturi tofauti kiwango cha kipato pia tofauti sasa hapo nafundishwa nini? Watoto pia hutofautiana uelewa, tabia na hata mitazamo.

siamini kama unaweza ukawa unajua kila kitu kuhusiana na malezi.. ukienda waweza ambulia mawili matatu ya ziada. kuna faida ya kuhudhuria semina kama hizi.
 
mbaya zaidi BADILI TABIA moja ya wanaofundisha wanatoka ktk utamaduni tofauti na wakitanzania. Hapa matango pori hayatakosekana.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom