vision 2020+
Member
- Jan 31, 2012
- 91
- 18
Fursa pekee kwa wazazi juu ya Malezi bora ya watoto.
Kutokana na kasi ya Maisha na Dunia kuwa Kijiji Kimoja, wazazi wengi wameishia kuwa na watoto lakini hawapati muda wa kutosha wa kutoa mafunzo na kuwapa malezi bora. Matokeo yake watoto h...ushidwa kutimiza malengo yao.
Mikono Speakers ikishirikiana na wataalam Kutoka Norway na Tanzania inakuletea semina Maalum juu ya ulezi bora wa watoto.
Mahali ni JB Belmont Hotel, tarehe 14 Disemba 2013, kuanzia saa 3 asubuhi
Kiingilio ni Tshs. 100,000 kwa mtu na Tshs 180,000 kwa wazazi/walezi wawili na utajipatia vinywaji na chakula cha mchana.
Wahi sasa, nafasi ni chache! Piga simu namba 07171
09362, 0784636169 au barua pepe info@mikono.biz. Wote Mnakaribishwa. info@mikono.biz
Kutokana na kasi ya Maisha na Dunia kuwa Kijiji Kimoja, wazazi wengi wameishia kuwa na watoto lakini hawapati muda wa kutosha wa kutoa mafunzo na kuwapa malezi bora. Matokeo yake watoto h...ushidwa kutimiza malengo yao.
Mikono Speakers ikishirikiana na wataalam Kutoka Norway na Tanzania inakuletea semina Maalum juu ya ulezi bora wa watoto.
Mahali ni JB Belmont Hotel, tarehe 14 Disemba 2013, kuanzia saa 3 asubuhi
Kiingilio ni Tshs. 100,000 kwa mtu na Tshs 180,000 kwa wazazi/walezi wawili na utajipatia vinywaji na chakula cha mchana.
Wahi sasa, nafasi ni chache! Piga simu namba 07171