kamituga
JF-Expert Member
- May 31, 2019
- 1,195
- 1,919
Wandugu nimetafakari sana kutokana na hali ya sasa ya Tanzania hususani kwenye vipengele vya kujikwamua kimaisha kama KUAJIRIWA, KUFANYA BIASHARA, UVUVI AU KILIMO.
Kila kukicha nimekuwa natafakari wapi pa kutokea na katika kuumiza kichwa kwa kuangalia impact pande zote mbili za faida na hasara nikagundua fursa iliyobaki tena pekee isiyo na zengwe ambayo watu wanaleta mpunga wenyewe huku wewe umejikalia tu kwenye kigoda tena Wasomi na wasiokua na Elimu tajiri na maskini ni kuwa MGANGA WA KIENYEJI maana kila mtu hii awamu anahisi amelogwa.
Kila kukicha nimekuwa natafakari wapi pa kutokea na katika kuumiza kichwa kwa kuangalia impact pande zote mbili za faida na hasara nikagundua fursa iliyobaki tena pekee isiyo na zengwe ambayo watu wanaleta mpunga wenyewe huku wewe umejikalia tu kwenye kigoda tena Wasomi na wasiokua na Elimu tajiri na maskini ni kuwa MGANGA WA KIENYEJI maana kila mtu hii awamu anahisi amelogwa.