FURSA: Mtu wa kutest na kufix drone anahitajika haraka

SAYVILLE

JF-Expert Member
Mar 25, 2010
5,106
7,858
Wadau, nina ombi maalumu linalohitaji msaada wa haraka. Kuna drone ni kama mpya kwa sababu haijawahi kufanya kazi sawasawa toka inunuliwe, nikaamua kuiweka pembeni kwa muda nitulize akili.

Nahitaji mjuzi na mtaalamu atakayeweza kuicheki na kama ni upungufu wa uwezo wangu wa kuitumia basi anionyeshe.

Drone yenyewe ni DJI Phantom 2 (nadhani). Moja ya matoleo ya mwanzo.

Natanguliza shukrani.
 
Kumbuka kwenda kuchukua vibali stahiki kabla ya kurusha hiyo drone yako,la sivyo Segerea/Ukonga/Keko vitahusika nawe,bila kusahau kubeba KY.
Kumbuka hii ni awamu ya 5.
 
Kumbuka kwenda kuchukua vibali stahiki kabla ya kurusha hiyo drone yako,la sivyo Segerea/Ukonga/Keko vitahusika nawe,bila kusahau kubeba KY.
Kumbuka hii ni awamu ya 5.

Kumbe kuna vibali vinahitajika kabla zoezi la kurusha halijaanza right...?
 
Kumbuka kwenda kuchukua vibali stahiki kabla ya kurusha hiyo drone yako,la sivyo Segerea/Ukonga/Keko vitahusika nawe,bila kusahau kubeba KY.
Kumbuka hii ni awamu ya 5.

Nashukuru kwa taarifa.

Kama unapendelea kuongelea kuhusu vibali na jela, anzisha uzi tofauti tutachangia huko. Hii tuiache ihusike na ombi langu la mwanzo ili nipate msaada wa haraka.
 
Wadau, nina ombi maalumu linalohitaji msaada wa haraka. Kuna drone ni kama mpya kwa sababu haijawahi kufanya kazi sawasawa toka inunuliwe, nikaamua kuiweka pembeni kwa muda nitulize akili.

Nahitaji mjuzi na mtaalamu atakayeweza kuicheki na kama ni upungufu wa uwezo wangu wa kuitumia basi anionyeshe.

Drone yenyewe ni DJI Phantom 2 (nadhani). Moja ya matoleo ya mwanzo.

Natanguliza shukrani.
nakukumbusha tu iyo Drone Kibali chake wanatoa wizara ya ulinzi,usicheze na jeshi nakutahadharisha tu
 
Back
Top Bottom