hahahaHahahaaaaa humu sote watu wazma na wenye uelewa kwani ukisema "natafuta mke Wa kuoa nani atashindwa kukuelewa? Et awe na umri kuanzia 18 kaa householder au House girl??."
Anatafta mke jamaa hataki kusema tu wakubwa tunaelewa haya mamboBig maindi 0oooh mbona + povuuu mini shida
Waajiri wewe !!Sheria ipoje juu ya wafanyakaz Wa ndani?? Hakiksha unaielewa sio kuleta vibaka mitaan na ombaomba sababu weng wenu mkiwapata hamuwajali hvo hupelekea kujiuza au kutoka kutafta hela nje as a result mimba zisizotarajiwa
Mwisho Wa kunukuu (70,000????) Kisa kula bureee!!!