Fursa: Mifuko ya nailoni imepigwa marufuku ni Wakati wetu sasa kutafuta kitu mbadala

C lzm kuanza na machine,u cn start small kwa kutengeneza kwa mkono

Sent using Jamii Forums mobile app
Angalia jinsi ya kuli conquer soko, Fanya hii kama biashara kwa scale kubwa sio kufanya kama tuko kwenye feudal mode, huoni kwakutengenez local akija anayetengeneza kwaubora atakuwa analikamata soko yeye na kwa ukubwa zaidi, dumbukiza pesa sio muda wa kujaribujaribu mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angalia jinsi ya kuli conquer soko, Fanya hii kama biashara kwa scale kubwa sio kufanya kama tuko kwenye feudal mode, huoni kwakutengenez local akija anayetengeneza kwaubora atakuwa analikamata soko yeye na kwa ukubwa zaidi, dumbukiza pesa sio muda wa kujaribujaribu mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Angalia huyo dogo


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli kabisa halafu mbona zipo njia nyingi hata kama viwanda vya kutengeneza magunia watatengeneza mifuko midogo pia
Au hizo za plaatic reusable ambazo unazisafisha kwa huko kwetu itabidi
Naona ni fursa nzuri kwa sasa ila badala ya kuagiza mpaka mifuko China inabidi itengenezwe kwa wingi nyumbani

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Kabisa Mkuu ukipata mwanya wakupata zile vitambaa vyake sjui aina ya cotton ile kama mjasiriamali tunafanya kuzishona wenyew tu na cherahani mbona fursa izi zinakuja waziwazi tu hapa ni ela izi aise.

Kuna nyengine zinaitwa Organic cotton mesh bags mabeberu ndo wanatumia sana uki Google zinakuja fasta aise. Ukapata materials ukazishona mwenyew ukaweka bei reasonable ukazisambaza pesa kama zote aise.

Sema ukiwa na mawazo mazuri pesa inakosekana, na ukipata pesa mawazo yana kosekana kama law of demand and supply
 
Kabisa Mkuu ukipata mwanya wakupata zile vitambaa vyake sjui aina ya cotton ile kama mjasiriamali tunafanya kuzishona wenyew tu na cherahani mbona fursa izi zinakuja waziwazi tu hapa ni ela izi aise.

Kuna nyengine zinaitwa Organic cotton mesh bags mabeberu ndo wanatumia sana uki Google zinakuja fasta aise. Ukapata materials ukazishona mwenyew ukaweka bei reasonable ukazisambaza pesa kama zote aise.

Sema ukiwa na mawazo mazuri pesa inakosekana, na ukipata pesa mawazo yana kosekana kama law of demand and supply
Kweli zipo hizo mkuu zinatumika sana huku niliko
Fursa nzuri sana hata vikapu pia vya kusuka ni faida kubwa ambayo mtu akianza kutafuta wafumaji na akawekeza hela nakuambia ni hela nzuri mtu anapiga

Changamkieni kwa kweli, hela hizo

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Kwa mawazo yangu hapa tunarudi kwenye matumizi ya vifungashio vya magazeti mana hizo bahasha ni gharama ukilinganisha na mifuko ya nailon ambayo ilikuwa inapendwa zaidi na wauzaji maduka ya rejarej na wauza chips kwao kununua mifuko ya bahasha wataona ni hasara
atakayekuwa anaagiza magazeti nje ya nchi yeye atakuja kuuza kwa kilo atanufaika zaidi
 
Wanaofanya hiyo biashara bado wana stock Kubwa ambayo haiwezi kuisha within a month.

Kuna mmoja nilimsikia akihojiwa clouds alieleza vyema kabisa.

Nadhani wasipotezewe wasikilizwe ili wasipate hasara Kubwa ya pesa kwa Mifuko waliyokwisha inunua.

Ni jambo linalohitaji busara ndogo tu. Hawa wauzaji ni wakubwa na hata hao wenye viwanda wanawategemea hao kwani ndio maajent wakubwa. Wasaidiwe ili yasitokee kama ya wale waliojiuwa kwenye viroba.

Uzuri wote wanaunga mkono katazo ila waruhusiwe wamalize mizigo waliyonayo huku na mbadala ukitake over




Sent using Jamii Forums mobile app
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom