The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 18,098
- 50,837
Ungesoma paragraph ya mwisho ya comment yangu,usinge andika hiki ulichoandika.Ooh, noo, mnataka kuanza kulisha watu cement, kweli Afrika makansa hayatakaa yaishe, Mungu atusaidie tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungesoma paragraph ya mwisho ya comment yangu,usinge andika hiki ulichoandika.Ooh, noo, mnataka kuanza kulisha watu cement, kweli Afrika makansa hayatakaa yaishe, Mungu atusaidie tu.
Angalia jinsi ya kuli conquer soko, Fanya hii kama biashara kwa scale kubwa sio kufanya kama tuko kwenye feudal mode, huoni kwakutengenez local akija anayetengeneza kwaubora atakuwa analikamata soko yeye na kwa ukubwa zaidi, dumbukiza pesa sio muda wa kujaribujaribu mkuu.C lzm kuanza na machine,u cn start small kwa kutengeneza kwa mkono
Sent using Jamii Forums mobile app
Angalia huyo dogoAngalia jinsi ya kuli conquer soko, Fanya hii kama biashara kwa scale kubwa sio kufanya kama tuko kwenye feudal mode, huoni kwakutengenez local akija anayetengeneza kwaubora atakuwa analikamata soko yeye na kwa ukubwa zaidi, dumbukiza pesa sio muda wa kujaribujaribu mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa Mkuu ukipata mwanya wakupata zile vitambaa vyake sjui aina ya cotton ile kama mjasiriamali tunafanya kuzishona wenyew tu na cherahani mbona fursa izi zinakuja waziwazi tu hapa ni ela izi aise.Kweli kabisa halafu mbona zipo njia nyingi hata kama viwanda vya kutengeneza magunia watatengeneza mifuko midogo pia
Au hizo za plaatic reusable ambazo unazisafisha kwa huko kwetu itabidi
Naona ni fursa nzuri kwa sasa ila badala ya kuagiza mpaka mifuko China inabidi itengenezwe kwa wingi nyumbani
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Kweli zipo hizo mkuu zinatumika sana huku nilikoKabisa Mkuu ukipata mwanya wakupata zile vitambaa vyake sjui aina ya cotton ile kama mjasiriamali tunafanya kuzishona wenyew tu na cherahani mbona fursa izi zinakuja waziwazi tu hapa ni ela izi aise.
Kuna nyengine zinaitwa Organic cotton mesh bags mabeberu ndo wanatumia sana uki Google zinakuja fasta aise. Ukapata materials ukazishona mwenyew ukaweka bei reasonable ukazisambaza pesa kama zote aise.
Sema ukiwa na mawazo mazuri pesa inakosekana, na ukipata pesa mawazo yana kosekana kama law of demand and supply
Kama lengo ni kutunza Mazingizira sidhani kama mifuko hii ya makaratasi itasaidia lolote, maana hii hutengenezwa na karatasi zinazotokana na miti ambayo ukataji wake ni uharibifu wa mazingira
Nipo Dodoma sijaanza kuchaji ninafundisha man power ya kunisaidia uzalishaji,nafikiri kuwa na Darasa la wajasiriamali mwezi may mwanzoni nitakujuzaUnapatikana wapi mkuu na gharama zako zikoje
$ There's clear light at the end of the Tannel $
usharobaro umeziidi watu..na Afadhali turudi kwenye U halisia wetu.Si tulikuwa na vikapu kabla ya haya mazagazaga? Kwanini visirudi? Mifuko ya vitambaa pia ambayo unaweza kutumia mara chungu nzima.
Katika pita pita zako kati ya mifuko meusi na mifuko ya mikate ipi unapishana nayo kwa wingi mabarabarani?Hivi na mikate tutafungashia bahasha?vipi mifuko ya karatasi ya cement itarudi ili tupate malighafi Sie wahenga?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama zamani mkuu, Kwenye makaratasiiiiHivi na mikate tutafungashia bahasha?vipi mifuko ya karatasi ya cement itarudi ili tupate malighafi Sie wahenga?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hhahahaaa Tutakula makate magumuuuHivi na mikate tutafungashia bahasha?vipi mifuko ya karatasi ya cement itarudi ili tupate malighafi Sie wahenga?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo na nyingine Mkuu,nitakutumia in box j5 au Alhamis uone bidhaa yetuWazo zuri sana mkuu malighafi unazotumia ni hizi katasi za kaki za kawaida
$ There's clear light at the end of the Tannel $
Mimi siuzi nanunua kwa watengenezaji.Mkuu wewe unauzaje ndg na zinapatikana mkoa gani naomba unipm au nijbu hapa kama hutajali
$ There's clear light at the end of the Tannel $
Ni kipi hicho madamConclusion:
huto tumifuko twa karatasi ni special kufungia chipsi kavu na mishkaki vibandani. Full replacement ya "Marlboro" ni kitu kingine kabisa.
NI sawa na kutumia condm za mtu kwa bata/pundaConclusion:
huto tumifuko twa karatasi ni special kufungia chipsi kavu na mishkaki vibandani. Full replacement ya "Marlboro" ni kitu kingine kabisa.
Tikiti weka kichwani mamahiyo mifuko yenu inaweza kubeba kilo tatu za mchele na tikiti maji la 2000 wakati natoka sokoni??