Fursa kwa wamiliki wa stationary, shule, wanafunzi, waalimu na wadau wa elimu

Mr. Purpose

JF-Expert Member
Nov 12, 2016
1,440
2,691
Habari wakuu, ni matumaini yangu mko vizuri.

Leo nimewaletea fursa kwa wale wamiliki wa stationary, wamiliki wa shule au taasisi za kiellimu, wanafunzi kuanzia shule za msingi hadi kidato cha sita na hata wazazi pia wanaweza nufaika.

Upatikanaji wa material ya kujisomea kwa wanafunzi umekuwa changamoto hasa wale ambao wanaishi maeneo ambayo siyo rahisi kuzipata, pia na wanaoanza kwa mfano wanafunzi wanaoanza shule za msingi, form one au wale wa pre-form five, bila kusahau na wale wa kurisiti lakini pia hata wale walio mashuleni bado suala la kupata material ya kujisomea ya aina mbalimbali imekuwa ni changamoto hivyo binafsi nilikaa na kuliangalia na kulifanyia kazi kisha nilifanikiwa kukusanya study materials za aina mbalimbali kama ilivyoainishwa hapa chini.

Material haya ni tofauti na zile za online za kusoma bila kuwa na access ya kupakua kwa matumizi ya baadae, material haya unaweza kufanyia editing zozote kutegemeana na uhitaji wako na hata ku-print pia.

Lengo langu nilikuwa nataka kufanya kazi na watu wafuatao:-

1. Wamiliki wa stationary.

Hizi study materials unaweza print na kuuza kwa wanafunzi au hata kuuzia shule kutegemeana na uhitaji, hivyo kwa wewe mmiliki wa stationary unaweza chukua package fulani kutegemeana na uhitaji au makubaliano kisha kuprint na kuwauzia wanafunzi katika maeneo uliyopo..

2. Wamiliki wa shule.

Kwa wamiliki wa shule unaweza kuchukua package kutegemeana na uhitaji na hata kama utachukua library nzima ni wewe tu na utaweza kutumia shuleni.

3. Wanafunzi, waalimu na wazazi.

Mwanafunzi unaweza kuchukua kwa lengo la kujisomea
Mwalimu unaweza kuchukua kwa lengo la kufundishia
Mzazi unaweza kumchukulia mwanao.

4. Wamiliki wa websites au blog za elimu.

Pia kwa wale ambao wangependa kuchukua kwa lengo la kufanyia biashara tofauti na jinsi nilivyoainisha hapo juu pia tunaweza kuwasilina.

MUHIMU: Material yote yapo katika mfumo wa soft-copy na unaweza kutumiwa popote ulipo kwa njia ya Email, Whatsapp, Telegram au Google drive.

KARIBU KUPITIA SUMMARY YA LIST YA MATERIAL YOTE YALIYOMO.

TANZANIA FREE STUDY RESOURCES AND STUDY MATERIALS PRIMARY SCHOOL FORM ONE TO FORM SIX. A level complete notes form five and six all subjects. Study materials (all available softcopy). A-level complete lesson notes, tanzania syllabus /curriculum (form five and form six ). Tanzania advance level questions and answer books. Tanzania o level notes (form one to form four). O level questions and answer books. Primary school lesson notes. New tanzania syllabus. Tanzania primary school questions and answer books.       Full holiday packages from primary level to advance level. STUDY MATERIALS (ALL AVAILABLE SOFTCOPY).


LESSON NOTES, BOOKS, QUESTION AND ANSWERS REVISION, SCHEMES OF WORK, ORDINARY AND ADVANCED LEVEL PRACTICAL NOTES.


A LEVEL COMPLETE NOTES FORM FIVE AND SIX ALL SUBJECTS.


a level notes history msomi bora notes form six msomi bora notes download msomi bora notes advanced level,  a level notes pdf a level chemistry notes tanzania form five notes maktaba, tetea notes a level geography notes form five and six pdf cytology notes form five pdf download a level notes tanzania literature form five notes form five biology notes biology notes form 5 pdf download form five notes history form five notes geography,  a level notes tanzania pdf biology a level notes pdf organic chemistry a level notes pdf a level physics pdf a level notes history a level physics waves notes pdf a level notes chemistry maktaba tetea notes a level


ADVANCE LEVEL COMPLETE LESSON NOTES, TANZANIA SYLLABUS /CURRICULUM (FORM FIVE AND FORM SIX ).


Tanzania Complete Advance Level learning and teaching notes/ Academic Learning Materials For Form Five to Form Six .

A-LEVEL NOTES SUBJECTS AVAILABLE.

1. Biology Form Five and Six.

2. Advance Chemistry Form Five and Six

3. Advance Pure Mathematics

4. Commerce Form five and six.

5. Advance Geography.

6. Computer Science Form Five and Six.

7. Kiswahili Kidato Cha Tano na Sita.

8. English Language One and Two.

9. Advance Accountancy

10. Basic Applied Mathematics (BAM)

11. Physics complete notes Form Five And Six

12. Economics One and Two

13. Advance History one and two.

14. General Studies Form Five and Six

All lesson notes are Tanzania based Curriculum and available Soft copy.

You can get these notes through email or WhatsApp wherever you are in Tanzania.

TANZANIA ADVANCE LEVEL QUESTIONS AND ANSWER BOOKS.


A level notes pdf A level notes Tanzania pdf Mastering history advanced level pdf History form five Questions History 1 questions History form two questions and answers Advanced history questions Topical questions A Level History NECTA Questions and Answers PDF Form 6 Form five questions and answers Form five past papers FORM five topics History form five Questions FEZA past papers Form FIVE History form five topics Form five examination Form five pure mathematics Questions and Answers GEOGRAPHY form five past papers Form five biology questions TAHOSSA past papers form five Form five GEOGRAPHY questions Form five History Notes, TANZANIA ADVANCE LEVEL QUESTIONS AND ANSWER BOOKS.


A-LEVEL QUESTIONS AND ANSWER BOOKS. TANZANIA SYLLABUS /CURRICULUM (FORM FIVE AND FORM SIX ).​


Tanzania Complete Advance Level Solved Questions and answer books/ Academic Learning Materials From Form Five to Form Six .

SUBJECTS AVAILABLE (TANZANIA CURRICULUM BASED).

1. Biology Form Five and Six Complete Solved

2. Advance Chemistry Revision Solved

3. Advance Pure Mathematics solved questions.

4. Commerce Form five and six.

5. Advance Geography Solved

6. Computer Science Form Five and Six solved.

7. Kiswahili Kidato Cha Tano na Sita, Maswali na majibu.

8. English language one and two.

9. Advance Accountancy

10. Basic Applied Mathematics (BAM)

11. Physics complete Solved Form Five And Six

12. Economics one and Two.

13. Advance History one and two.

14. General Studies Form Five and Six

All Revision Solved books are Tanzania based Curriculum and available Softcopy.

You can get these solved books through email or WhatsApp wherever you are in Tanzania.

0752026992

TANZANIA O LEVEL NOTES (FORM ONE TO FORM FOUR).


tHL notes PDF DOWNLOAD Free O Level notes Let study O Level notes | DOWNLOAD O Level Chemistry notes pdf free download Physics O Level notes pdf download Zimsec O level notes pdf download O level Biology notes pdf free download O level History Notes pdf free Download O Level NOTES TANZANIA PDF Maths O Level notes pdf Geography O level notes pdf download O Level Biology 5090 Notes pdf O level Notes app O Level English notes pdf free download

Tanzania Complete Ordinary level lesson Notes/ Academic Learning Materials From Form one to Form Four.​


O LEVEL NOTES SUBJECTS AVAILABLE (TANZANIA CURRICULUM BASED).

1. Biology Notes

2. Chemistry

3. Basic Mathematics Note

4. Commerce Notes.

5. Geography

6. Computer Science

7. Kiswahili

8. English

9. Book Keeping

10. Agriculture lesson notes

11. Physics Notes

12. Civics notes

13. HISTORY FORM ONE TO FORM FOUR.

14. Literature

All learning materials are Tanzania based Curriculum and available Softcopy (Word Format, PDF Format and PowerPoint). You can get these notes through email or WhatsApp wherever you are in Tanzania.

Mzazi unaweza mchukulia mwanao vya kujisomea ili kumuandaa vema katika kufikia ndoto zake.

O-LEVEL QUESTIONS AND ANSWER BOOKS.

Physics O Level questions and Answers PDF O Level Biology Questions and Answers PDF download Geography O level questions and answers O Level Chemistry questions and answers O Level Physics Questions and answers O Level Chemistry Questions and Answers PDF O Level Math questions and answers O Level Physics Topical questions PDF O Level MCQ questions PDF O Level MCQs O Level Physics waves questions and answers o level physics mcqs: multiple choice questions and answers O Level MCQs Online Test Form one questions and answers FORM one past papers Tanzania Form 1 Past Papers with answers NECTA past Papers Form four and Answers Biology Form 4 Chapter 1 Questions and Answers History form one questions and answers Tanzania Chemistry form 4 questions and answers pdf Physics form 1 pressure questions and answers pdf Biology form 4 questions and answers pdf Physics form 1 questions and answers Physics form 1 questions and answers pdf Download FEZA past papers form one FORM 4 EXAM PAPERS 2021 History form four questions and Answers

O LEVEL QUESTIONS AND ANSWER BOOKS. TANZANIA SYLLABUS /CURRICULUM (FORM ONE TO FORM FOUR).



Tanzania Complete Ordinary Level Solved Questions and answer books/ Academic Learning Materials From Form one to Form Four.

SUBJECTS AVAILABLE (TANZANIA CURRICULUM BASED).

1. Biology Complete Solved

2. Chemistry Revision Solved

3. Basic Mathematics Step by step solved questions.

4. Commerce Revision Solved

5. Geography Solved Questions and answers

6. Computer Science solved problems questions and answers.

7. Kiswahili Maswali na majibu.

8. English language questions and answers

9. Book Keeping complete solved guide

10. Agriculture Solved questions

11. Physics complete Solved Form one to Form four

12. Civics revision question with answers.

13. Literature Solved questions and answer.

14. History.

All Revision Solved books are Tanzania based Curriculum and available Softcopy.

You can get these solved books through email or WhatsApp wherever you are in Tanzania.

PRIMARY SCHOOL LESSON NOTES. NEW TANZANIA SYLLABUS.


Primary school notes TANZANIA Free primary school notes tanzania Msomi bora Notes PDF tHL notes for primary school Notes za shule YA msingi PDF Class 6 Social studies notes PDF KCPE revision notes PDF Primary Science Class 6 notes pdf kenya Msomi bora Primary Notes Social studies notes pdf download Primary Science Class 8 notes PDF Primary Science Class 6 Notes PDF Teachers arena notes pdf Primary Science Class 4 Notes pdf tHL notes for primary school Msomi bora Notes PDF Primary School Past Papers Tanzania Tanzania Institute of Education primary books PDF Notes for Secondary school in Tanzania Msomi bora Primary Notes Tanzania Primary school books Notes za shule YA msingi PDF Thl masomo ya primary tHL primary school SCHOOL PVH PRIMARY school English Notes for primary school SCHOOL PVH Download ENGLISH STANDARD FOUR NOTES pdf


Tanzania Primary School Complete Lesson Notes New Tanzania Syllabus.​


Primary School Tanzania Curriculum/Syllabus.

Well prepared primary lesson notes from Class one to Class Seven.

SUBJECTS AVAILABLE.

English Medium.

1. Civic and Moral education.
2. English.
3. Science and technology
4. Social studies
5. Vocational skills
6. Mathematics
7. Kiswahili.

SWAHILI MEDIUM.

1.Maarifa ya Jamii.
2. Hisabati.
3. Kiswahili.
4. English.
5. Sayansi na Teknolojia.
6. Uraia Na Maadili.
7. Stadi za Kazi.

All Available Softcopy (PDF format) For both English Medium subjects and Swahili Medium schools (Shule ya Msingi).

You can get all lesson notes through your WhatsApp, Telegram Or Email wherever you are in Tanzania and nearby countries like Kenya and Uganda.

Service is also available in all regions of Tanzania like Dar-es-Salaam, Kilimanjaro, Arusha, Zanzibar, Mbeya, Moshi and other regions.

0752026992



TANZANIA PRIMARY SCHOOL QUESTIONS AND ANSWER BOOKS.

PRIMARY SCHOOL QUESTION AND ANSWERS TANZANIA, FORMAT FOR PRIMARY SCHOOL LEAVING EXAMINATIONS, VITABU VYA MASWALI NA MAJIBU SHULE YA MSINGI NA NA SHULE ZA KIINGEREZA ENGLISH MEDIUM, free primary school notes tanzania tanzania institute of education primary books pdf tanzania institute of education books tanzania secondary school books psle 2016 psle 2014, EXAMINATION SYSTERMS IN TANZANIA, PRI III ARY SCHOOL TEXTBOOKS TANZANIA

Tanzania Primary School Complete Solved questions and answer books.​


Primary School Tanzania Curriculum/Syllabus.

Well prepared books with a lot of questions and answers Class one to Class Seven.

All Available Softcopy For English Medium and Swahili Medium schools (Shule ya Msingi).

SUBJECTS AVAILABLE.

English Medium.

1. Civic and Moral education.
2. English.
3. Science and technology
4. Social studies
5. Vocational skills
6. Mathematics
7. Kiswahili.

SWAHILI MEDIUM.

1.Maarifa ya Jamii.
2. Hisabati.
3. Kiswahili.
4. English.
5. Sayansi na Teknolojia.
6. Uraia Na Maadili.
7. Stadi za Kazi.

Get these books through WhatsApp, Telegram Or Email wherever you are in Tanzania and nearby countries like Kenya and Uganda.

Service is also available in all regions of Tanzania like Dar-es-Salaam, Kilimanjaro, Arusha, Zanzibar, Mbeya, Moshi and other regions.


PAST PAPERS AND HOLIDAY PACKAGE EXAMS FOR PRIMARY LEVEL, O-LEVEL AND A-LEVEL.


 feza past papers form five   geography form five past papers   form five past papers   form six past papers   form six past papers 2020   feza past papers form six   tahossa past papers form five   form six past papers 2021   home package for primary school   fountain of joy holiday package   pre and primary school in dar es salaam   holiday package for secondary school   Kiswahili holiday packages 2020 std 5   fountain of joy nursery and primary school Tanzania    school holiday packages from Tanzania  best boarding primary schools in dar es salaam   school holiday packages 2020    past papers form four   necta past papers   necta past papers 2020   necta past papers form four and answers   feza past papers   answers of necta past papers   past papers form 2   past papers 2019



Seti za mitihani mbalimbali baadhi yakiwa na maswali na majibu yake kwa Shule za msingi (Primary School), kidato cha kwanza hadi cha nne (Ordinary Level) na kidato cha Tano na Sita (Advanced Level).

Ipo seti za mitihani kama ifuatavyo.

1. Midterm Examinations.

2. Mock Examinations.

3. Pre-mock examinations.

4. Annual Examination.

5. NECTA examinations.

6. Pre-Necta Examinations.

7. Joint Examinations.

8. Tests and Final touch Exams.

9. Students evaluation exams.

10. Holiday packages.

Mitihani yote inapatikana masomo yote kwa ngazi zote za elimu kuanzia shule za msingi hadi kidato cha Sita.

Unaweza kupata mitihani hii popote ulipo Tanzania kwa njia ya WhatsApp, Email, Telegram au Google drive muda wowote.

Kwa wale wanaoishi Dar-es-Salaam tunaweza kukutana pia kama italazimu.

Mitihani yote imeandaliwa kwa kufuta mtaala wa Tanzania (Tanzania Curriculum / Tanzania syllabus).



PRACTICAL NOTES FOR ORDINARY LEVEL AND ADVANCED LEVEL.

o level practical notes pdf   physics practical notes pdf   biology practical notes pdf   necta physics practicals pdf   o level physics practical notes pdf   a level physics practical notes pdf   necta chemistry practical notes pdf   a level chemistry practical notes pdf   o level chemistry practical notes pdf   necta physics practicals form four   physics practical questions and answers pdf download   physics practical form 4 pdf   necta physics practicals pdf   o level biology practical notes pdf   o level physics practical questions and answers pdf    a level chemistry practical notes pdf   chemistry a level practical notes   physics a level practical notes   a level physics practical notes pdf   o level practical notes   a level chemistry paper 3notes   a level chemistry practical guide

Practicals notes for Ordinary Level and Advanced level.

Tanzania education syllabus for ordinary Level and Advanced level.

Well prepared summarized practical notes for Ordinary Level and Advanced level students and teachers

Ordinary Level Practical notes.

1. Ordinary Level Physics practical notes.

Mechanics

Light

Electricity

2. Ordinary Level Chemistry Practical notes.

Volumetric Analysis.

Qualitative Analysis

Chemical Kinetics

Thermo-chemistry

3. Ordinary Level Biology practical notes.

Food Test

Classification

ADVANCED LEVEL PRACTICAL NOTES.

1. Advanced Level Chemistry practical notes.

Volumetric Analysis

Qualitative Analysis

2. Advanced level Physics practical notes.

Heat experiment

Mechanics

Electricity Experiment

Light

3. Advanced level biology practical notes.

Dissection

Classification of living things

Food Tests

All practical notes are available soft-copy and you can get them through email, WhatsApp, Telegram and Google drive wherever you are in Tanzania.

Mzazi pia unaweza mchukulia mwanao.

Material yote yapo katika mfumo wa softcopy hivyo unaweza tumiwa kwa njia ya whatsap, telegram au email popote ulipo Tanzania.



Phone/ Whatsapp/Call/ Sms 0752026992


Email: musabskilld@gmail.com


PM pia unaruhusiwa kuja.


Karibu kwa yeyote mwenye maswali au maoni.
 
Nyie mnauza material ya kukaririsha sana elimu hii ya bongo.
 
Unaweza kuchukua package ya primary peke yake, package ya o level peke yake au package ya A level peke yake.



Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera kwa kazi uliyoifanya na sasa kutafuta walaji wa huduma yako. Napenda kuunga mkono wapambanaji wenzangu kwa namna tofauti tofauti. Naomba kujua gharama za package ya std v na kama utakuwa huru nitumie kwenye pm topic au subtopic ya "fractions" kama nitaielewa bidhaa ntakuunga mkono.
 
Pongezi sana mkuu, ila hofu yangu haki miliki ya ubunifu wako haiko salama, mtu anaweza kununua package halafu yeye akaanza kuiuza na kunufaika kuliko wewe mbunifu.
 
Hongera kwa kazi uliyoifanya na sasa kutafuta walaji wa huduma yako. Napenda kuunga mkono wapambanaji wenzangu kwa namna tofauti tofauti. Naomba kujua gharama za package ya std v na kama utakuwa huru nitumie kwenye pm topic au subtopic ya "fractions" kama nitaielewa bidhaa ntakuunga mkono.
Asante sana mkuu. Kwa upande wa primary niliwekeza nguvu Katika kutafuta pastpapers na holiday packages zenye maswali mengi sana kwa kila set kuanzia baby class hadi std 7. Bado nafanya utaratibu wa notes za primary kwa level ya primary boss. Ntakuwa naweka update kwenye uzi huu na ntakutumia sample ili uweze kupitia mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pongezi sana mkuu, ila hofu yangu haki miliki ya ubunifu wako haiko salama, mtu anaweza kununua package halafu yeye akaanza kuiuza na kunufaika kuliko wewe mbunifu.
Asante sana mkuu. Binafsi nipo huru kiasi kwamba mteja akishachukua package yake husika anakuwa huru kufanya lolote either kuprint ili kuuza, kujisomea au kuweka kwenye websites kwa lengo la biashara. Sina tatizo na yule ambaye atakuwa mbunifu katika kuzitumia vema kwa manufaa yake. Karibu mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante sana mkuu. Kwa upande wa primary niliwekeza nguvu Katika kutafuta pastpapers na holiday packages zenye maswali mengi sana kwa kila set kuanzia baby class hadi std 7. Bado nafanya utaratibu wa notes za primary kwa level ya primary boss. Ntakuwa naweka update kwenye uzi huu na ntakutumia sample ili uweze kupitia mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa ila ujitahidi kwenda na kasi ya muda kipindi hiki cha mpito kinaifanya fursa iwe wazi kwa upande wako,zuio litakapokoma na mahitaji yanaweza shuka . Pambana
 
Sawa ila ujitahidi kwenda na kasi ya muda kipindi hiki cha mpito kinaifanya fursa iwe wazi kwa upande wako,zuio litakapokoma na mahitaji yanaweza shuka . Pambana
Umenena vema mkuu, ni kweli kabisa boss maana binafsi naona idadi inakuwa kubwa ya wanaokuja kuchukua tofauti na hapo awali. Be blessed mkuu, bado tunaendelea kupambana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
*FULL HOLIDAY PACKAGES FROM PRIMARY LEVEL TO ADVANCE LEVEL.*

From Baby class to standard 7 (English Medium)

1.Mathematics
2.English
3. Science
4.Social Studies
5.Kiswahili
6.Civic and moral.

0752026992

FORM ONE TO FORM FOUR
1. Mathematics
2. English
3. Biology
4. Geography
5. Civics
6. History
7. Chemistry
8. Kiswahili.
9. Literature in English
10. Physics

A-LEVEL PACKAGES ARE ALSO AVAILABLE ALL SUBJECTS.
0752026992

Sent using Jamii Forums mobile app
 
*Revisions question and answers softcopy document.*

Form one to form six

Physics
Chemistry
Maths
Biology

Practicals solved problems with solutions form one to form six.

Chemistry
Biology
Physics.

All Available softcopy.

Whatsap 0752026992

Sent using Jamii Forums mobile app
 
STUDY MATERIALS.

Mzazi pia unaweza mchukulia mwanao.

Material yote yapo katika mfumo wa softcopy hivyo unaweza tumiwa kwa njia ya whatsap, telegram au email popote ulipo Tanzania.

Simu: 0752026992, Email: musabskilld@gmail.com.

1. Complete lesson notes from form one to form six all subjects.

2. Past papers (Exams) with marking scheme (Primary level, O-level and Advance level)

3. COMPLETE SCHEMES OF WORK ALL SUBJECTS (Primary level, O-level and Advance level).

4. LITERATURE ANALYSIS

(PASSED LIKE A SHADOW, UNANSWERED CRIES, SPARED, THE LION AND THE JEWEL, THREE SUITORS ONE HUSBAND, HOUSE BOY, THE CONCUBINE, ETC)

5. UHAKIKI WA KAZI ZA FASIHI RIWAYA, TAMTHILIA NA MASHAIRI.

6. TEXTBOOKS
(Primary level, O-level and Advance level)

7. QUESTION AND ANSWERS REVISON PAMPHLETS (Primary level, O-level and Advance level)

8. Solved practical Questions and answers form one to form six,
physics, chemistry and biology.

FULL HOLIDAY PACKAGES FROM PRIMARY LEVEL TO ADVANCE LEVEL.

From Baby class to standard 7 (English Medium all subjects)

FORM ONE TO FORM FOUR (All subjects)

A-LEVEL PACKAGES ARE ALSO AVAILABLE ALL SUBJECTS.

#coronaholidaypackageexams, #mathematics, #physics #chemistry #primaryschool #formonetoformfour #Advancelevel

Sent using Jamii Forums mobile app
 
FULL HOLIDAY PACKAGES FROM PRIMARY LEVEL TO ADVANCE LEVEL.

Whatsap/Call/sms 0752026992
Email: musabskilld@gmail.com

PRIMARY LEVEL ALL SUBJECTS.

1. Baby class.
2. Middle class.
3. Pre-unit
4. Standard 1 to standard 7.

ORDINARY - LEVEL ALL SUBJECTS
1. Form one.
2. Form two.
3. Form three.
4. Form four.

ADVANCE LEVEL ALL COMBINATIONS.
1. All science subjects (PCM, PCB, PGM, CBG etc)

2. All arts subjects (HKL, HGL, HGE etc)

Whatsap/Call/sms 0752026992
Email: musabskilld@gmail.com
20200427_064757_0000.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
GOOD NEWS KWA WANAFUNZI WA O LEVEL AND A LEVEL
Soft copy Advanced Level Chemistry notes in pdf format anayehitaji, 0752026992
GENERAL CHEMISTRY
PHYSICAL CHEMISTRY
ORGANIC CHEMISTRY
INORGANIC CHEMISTRY
CHEMISTRY SOLVED PRACTICAL FORM A LEVEL
BIOLOGY FORM 5 AND 6
PRACTICALS PHYSICS QUESTIONS (A LEVEL)
SOLVED PHYSICS PRACTICALS O LEVEL
BIOLOGY FORM 1-4
GEOGRAPHY 1,2,3 &4
PHYSICAL GEOGRAPHY QUESTIONS AND ANSWERS
HISTORY PAMPHLETS (1-4) combined notes

SOFT COPY BOOKS FOR SALE Advanced Level
Pure Mathematics 1
Pure Mathematics 2&3
University Physics
Advanced Level physics M. Nelkon& P. Parker
Advanced Level Chemistry by E. N. Ramsden..4th Edition
S.CHAND PUBLISHER CHEMISTRY SOFT COPY BOOKS
Motivation Books
Entrepreneurs Books
Politics Books
Intelligence Agencies Books (FBI, CIA etc)

Utatumiwa vitabu/notes kwa njia ya WhatsApp baada ya malipo, Whatsap number 0752026992

PIA KWA MASOMO MENGINE PRIMARY, O LEVEL NA ADVANCE LEVEL MATERIAL YAPO.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom