Swali mujarabu kabisa.Mkuu.....timu yenye talented , boll control inafungwaje na timu yenye watu tisa uwanjani
Kwanini mkuu?Chifu, hujapotea jukwaa lakini?!
WAMEKIMBIA KIPINDI HAWASalaaam Wana JF
Kutokana na kutokuridhishwa kwa kiwango cha wachezaji wa SIMBA kwenye Upigaji wa penalt au mipira iliyokufa
Timu ya WANANCHI kama mdau mikubwa wa maendeleo wa mpira kupitia kwa matajiri wa GSM imekuja na course fupi ya Upigaji wa penalt kwa wachezaji wa SIMBA ili kupunguza idadi ya watu wanao pata presha, especially. Mashabiki lia lia wa MAKOLO FC
USHAURI: Benchi la ufundi la Simba kupitia kwa kocha bora aliwahi kufundishwa real Madrid ya BUZA nawashauri wahudhurie course hiyo ili kupunguza kupiga viti kwa kocha wao
Pia kutakuwepo na mafundi kama, Ntibazonkiza, Yannick bangala na Dr. Aucho ili wawe roll model wao.
Msisahau course itakua bure kabisa coz wananchi fahari. Yao ni kuona Kuna ushindan kwenye ligue
Teacher wa course: Mukoko Tunombe from wananchi
View attachment 2090068
Swali nzuri sanaMkuu.....timu yenye talented , boll control inafungwaje na timu yenye watu tisa uwanjani
Bila shakaTukutane kweny ligue
Hilo darasa linawafaa sana watu kama Messi, cr7, Neymar, asamoah Gian, wenye kiwango cha chini kuliko wapiga penalty wa yangaSalaaam Wana JF
Kutokana na kutokuridhishwa kwa kiwango cha wachezaji wa SIMBA kwenye Upigaji wa penalt au mipira iliyokufa
Timu ya WANANCHI kama mdau mikubwa wa maendeleo wa mpira kupitia kwa matajiri wa GSM imekuja na course fupi ya Upigaji wa penalt kwa wachezaji wa SIMBA ili kupunguza idadi ya watu wanao pata presha, especially. Mashabiki lia lia wa MAKOLO FC
USHAURI: Benchi la ufundi la Simba kupitia kwa kocha bora aliwahi kufundishwa real Madrid ya BUZA nawashauri wahudhurie course hiyo ili kupunguza kupiga viti kwa kocha wao
Pia kutakuwepo na mafundi kama, Ntibazonkiza, Yannick bangala na Dr. Aucho ili wawe roll model wao.
Msisahau course itakua bure kabisa coz wananchi fahari. Yao ni kuona Kuna ushindan kwenye ligue
Teacher wa course: Mukoko Tunombe from wananchi
View attachment 2090068
Inafungwa maana hata timu pinzani ina talented players na ball controllers so ni game of chance tuMkuu.....timu yenye talented , boll control inafungwaje na timu yenye watu tisa uwanjani