Fursa kwa timu ya Simba, course ya upigaji penalti yafunguliwa na Yanga

Labani og

JF-Expert Member
Sep 15, 2020
15,760
24,177
Salaaam Wana JF

Kutokana na kutokuridhishwa kwa kiwango cha wachezaji wa SIMBA kwenye Upigaji wa penalt au mipira iliyokufa
Timu ya WANANCHI kama mdau mikubwa wa maendeleo wa mpira kupitia kwa matajiri wa GSM imekuja na course fupi ya Upigaji wa penalt kwa wachezaji wa SIMBA ili kupunguza idadi ya watu wanao pata presha, especially. Mashabiki lia lia wa MAKOLO FC

USHAURI: Benchi la ufundi la Simba kupitia kwa kocha bora aliwahi kufundishwa real Madrid ya BUZA nawashauri wahudhurie course hiyo ili kupunguza kupiga viti kwa kocha wao

Pia kutakuwepo na mafundi kama, Ntibazonkiza, Yannick bangala na Dr. Aucho ili wawe roll model wao.

Msisahau course itakua bure kabisa coz wananchi fahari. Yao ni kuona Kuna ushindan kwenye ligue

Teacher wa course: Mukoko Tunombe from wananchi

FB_IMG_16427186347725197.jpg
 
Wakati mwingine tujifunze kukaa kimya, kutowakejeli timu pinzani. Haya maneno siku Yanga ikikosa penati au ikikosa ubingwa haya majivuno yatakuwa hayana maana tena. Bado ligi safari ndefu na pia muda ni mwalimu hatujui kitatokea nini mbele. Kejeli ni mbaya sana
 
Wakati mwingine tujifunze kukaa kimya, kutowakejeli timu pinzani. Haya maneno siku Yanga ikikosa penati au ikikosa ubingwa haya majivuno yatakuwa hayana maana tena. Bado ligi safari ndefu na pia muda ni mwalimu hatujui kitatokea nini mbele. Kejeli ni mbaya sana
Mkuu hii sio kejeli but lazima tuleke ishe palipo kosewa
 
Wakati mwingine tujifunze kukaa kimya, kutowakejeli timu pinzani. Haya maneno siku Yanga ikikosa penati au ikikosa ubingwa haya majivuno yatakuwa hayana maana tena. Bado ligi safari ndefu na pia muda ni mwalimu hatujui kitatokea nini mbele. Kejeli ni mbaya sana
Mkuu naamini huu ni utani tu, juzi Yanga si katolewa na Azam kwenye penalties !?
 
Ni mafunzo ya kupiga tu... vipi na kudaka je? Na kama atatoa mafunzo ya kudaka penati vipi johora amejoin ama!!
 
Quality ya wachezaji Tanzania ipo simba kuanzia
Fitness level
Ball control
Talent
Ila yanga hivi yule kaseke anahudhuria mazoezi kweli namba 9 mzito kama hulk vile wa brazil.
 
Wakati mwingine tujifunze kukaa kimya, kutowakejeli timu pinzani. Haya maneno siku Yanga ikikosa penati au ikikosa ubingwa haya majivuno yatakuwa hayana maana tena. Bado ligi safari ndefu na pia muda ni mwalimu hatujui kitatokea nini mbele. Kejeli ni mbaya sana

Bila shaka umetoka leo koromoje kuja town sio
 
Wakati mwingine tujifunze kukaa kimya, kutowakejeli timu pinzani. Haya maneno siku Yanga ikikosa penati au ikikosa ubingwa haya majivuno yatakuwa hayana maana tena. Bado ligi safari ndefu na pia muda ni mwalimu hatujui kitatokea nini mbele. Kejeli ni mbaya sana
Chifu, hujapotea jukwaa lakini?!
 
Back
Top Bottom