Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,760
- 24,177
Salaaam Wana JF
Kutokana na kutokuridhishwa kwa kiwango cha wachezaji wa SIMBA kwenye Upigaji wa penalt au mipira iliyokufa
Timu ya WANANCHI kama mdau mikubwa wa maendeleo wa mpira kupitia kwa matajiri wa GSM imekuja na course fupi ya Upigaji wa penalt kwa wachezaji wa SIMBA ili kupunguza idadi ya watu wanao pata presha, especially. Mashabiki lia lia wa MAKOLO FC
USHAURI: Benchi la ufundi la Simba kupitia kwa kocha bora aliwahi kufundishwa real Madrid ya BUZA nawashauri wahudhurie course hiyo ili kupunguza kupiga viti kwa kocha wao
Pia kutakuwepo na mafundi kama, Ntibazonkiza, Yannick bangala na Dr. Aucho ili wawe roll model wao.
Msisahau course itakua bure kabisa coz wananchi fahari. Yao ni kuona Kuna ushindan kwenye ligue
Teacher wa course: Mukoko Tunombe from wananchi
Kutokana na kutokuridhishwa kwa kiwango cha wachezaji wa SIMBA kwenye Upigaji wa penalt au mipira iliyokufa
Timu ya WANANCHI kama mdau mikubwa wa maendeleo wa mpira kupitia kwa matajiri wa GSM imekuja na course fupi ya Upigaji wa penalt kwa wachezaji wa SIMBA ili kupunguza idadi ya watu wanao pata presha, especially. Mashabiki lia lia wa MAKOLO FC
USHAURI: Benchi la ufundi la Simba kupitia kwa kocha bora aliwahi kufundishwa real Madrid ya BUZA nawashauri wahudhurie course hiyo ili kupunguza kupiga viti kwa kocha wao
Pia kutakuwepo na mafundi kama, Ntibazonkiza, Yannick bangala na Dr. Aucho ili wawe roll model wao.
Msisahau course itakua bure kabisa coz wananchi fahari. Yao ni kuona Kuna ushindan kwenye ligue
Teacher wa course: Mukoko Tunombe from wananchi