Square mita 7-8Hiyo Drewa 25Kg inatosha square meter ngapi? Na natakiwa niongezee materials gani zingine za kuchanganyia au ndoo yake ina kila kitu. Nataka nitumie kupiga ukuta mmoja una ufa nifunike makosa
AsanteSquare mita 7-8
Imeshachanganywa hauongezi kitu kingine
Karibu sana
KaribuAsante
Kinywaji kingine tofauti na maji mana si wote tunapenda kunywa majiMambo yenu ni yapi?
Maji kulingana na quantity ya mzigo
Kuna watu wanaleta utani wa kijinga sana.Achana nae tuendelee na biashara
Wewe ni mjinga Sana, hujafa hujaumbikaNakukubal sana wewe mwanamke. unajituma sana na upon so humble
Tatizo ni +ve
Wakikaa nyuma ya Keyboard wanaona wanaweza kuandika chochoteKuna watu wanaleta utani wa kijinga sana.
BOTMaji ya kampuni gani mnatoa
Kwa nini lakini umefanya hivyo.Nakukubal sana wewe mwanamke. unajituma sana na upon so humble...
Lini nilihitaji uniheshimu?We jamaa seriously nimekudharau sana aisee. Sana.
Hukuwa na sababu hata moja ku comment hivi.
We hali yako unaijua?
Hiyo Sio sababuWewe ni mjinga Sana, hujafa hujaumbika
Sawa wewe uliekua serious endelea na biashara mkuuKwa nini lakini umefanya hivyo.
Mwenzako yuko kibiashara wewe unaleta masihara.
Shenzi kabisa .
zinaitwa Aspendoz sio au nimekoseaSamples za silk plaster (pamba)
Hizi zinapigwa ndani ya nyumba,kwenye gypsum au kwenye nguzo,ukutani sehemu ya Tv
Au popote ndani ya nyumba kwa kuongeza nakshi nakshi
View attachment 1709819
hilo jina kidogo kwangu ni genizinaitwa Aspendoz sio au nimekosea
unahitaji tuanzishe mjadala hapa?Hiyo Sio sababu
Ata mim nikiwa +ve watu watasema tu
Mkuu wewe endelea na businessunahitaji tuanzishe mjadala hapa?
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us