Fursa Kubwa 4, Za Kupata Mamilioni Kupitia "Beef" La Diamond Na Alikiba.

Mkaruka

JF-Expert Member
Feb 5, 2013
19,620
34,053
Habari Wadau Wa Jukwaa Hili,

Leo Nawaletea Furra Kubwa Nne Za Namna Unavyoweza Kugeuka Milionea Kupitia Beef La Diamond Na Alikiba, Ili Tunapoenda Kuanza Mwaka 2017 Tusiishie Tu Kubishana Na Kutukanana Mitandaoni Kuhusu Hawa Vijana Bali Tuingize Mamilioni Kama Tunayo Nafasi Hiyo:

Now Here Go,

1. ANZISHA FAN PAGE YA MSANII UMPENDAYE.
- Anzisha Fan Page Ya Msanii Umpendaye Kati Ya Kiba Au Diamond Then Post Mambo Kadhaa Yamhusuyo - Utakusanya Lundo La Followers, Wakiwa Wengi Fanya Biashara Ya Matangazo. E.G Shilole Kiuno Ana 300k Followers.
2.ANZISHA BLOG/WEBSITE THEN WEKA CONTROVERSIAL TOPICS
- Hapa Namaanisha Kama Unayo Blog Au Site Yoyote Weka Topics Za Kumdiss Msanii Mmojawapo- Utapata Bonge La Traffic Mashabiki Wakimtetea Mtu Wao.

3.ANZISHA SHINDANO LISILO RASMI , DIAMOND VS KIBA
- Kuna Siku Niliona Tangazo Kwenye Gazeti La Udaku Likitaka Watu Wapige Kura Kati Ya Chekecha Video Vs Nana Ipi Kali, Namba Ya Kutuma Kura Ni Code
4.ANDAA SHOW KAMA TIGO KIBOKO YAO
- Hapa Nadhani Diamond Atagoma Kushiriki
 
Wewe umeanzisha ipi kati ya hizo ambayo inakuingizia mamillion?
Au ndio ule usemi wa huwezi kuona msitu ukiwa msituni.........ila utaona.....
 
Safi mkuu kwa kuwakumbusha vijana huku uswahilini wengi tunasongesha magenge yetu kupitia majina ya hao vijana na mambo yanaenda poa
72358d20449076803ccd81db50db2cb5.jpg
 
Zipo nyingi sana,tena na wenyewe ndio watu ambao hawako tayari kuona hao watu wanapatana,ndio maana wanatumia nguvu kubwa mno kudis mtu mwingine bila hoja ya msingi,ila ukichunguza utagundua kuwa wanapenda kuona watu wamejazana kwenye akaunti zao ili wao wapige pesa.
 
mkuu kuliko kulialia humu ukopeshwe si ungeitumia hii fursa
 
mkuu kuliko kulialia humu ukopeshwe si ungeitumia hii fursa
Hivi ulishawahi kujiuliza ni kwanini watumishi wa ITV wanacheleweshewa mishahara kwa kuwa kampuni imepata hasara badala ya kuchukua pesa kwenye kampuni nyingine ya BONITE bottlers kwa ajili ya kuwalipa watumishi wa ITV ?

- Anyway labda ndo mtaji wa vifaa natafuta, who knows ?
 
Fursa kubwa nchi hii ni kujiunga na CCM tu, halafu hata akiongea uongo we unapiga makofi. Halafu usisubiri muziki uanze, yaani we anza kucheza kabla hawajaanza kuimba ile wataisoma namba. Mwisho wa mwezi lazima ule buku nne zako.
 
Kama sio bangi unatumia itakuwa miraaaa nini hii umepost

Mkuu unikumbusha washkaji flani wakiwa wanachanja gomba ndo huwa na maidea kama hivii
Alafu anakupa na strateg, goal kila kituuu
Muulize kesho yakee utaishia kuchekaa
 
Fursa kubwa nchi hii ni kujiunga na CCM tu, halafu hata akiongea uongo we unapiga makofi. Halafu usisubiri muziki uanze, yaani we anza kucheza kabla hawajaanza kuimba ile wataisoma namba. Mwisho wa mwezi lazima ule buku nne zako.
Akili za kuvukia mto Mara kuelekea Kenya wakati wa msimu hizi
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom