Mkombalwiku Orijino
Senior Member
- May 24, 2020
- 101
- 30
Habari,
Msimu mpya wa mavuno ya mahindi mkoani Ruvuma (Songea) umeanza karibu ewe mfanyabiashara ofisini tukununulie mahindi kwa bei poa. Sisi tunayo ofisi songea mjini, tunavyo vifaa vya kazi kama vile mizani na vifaa vya kupima unyevu. Biashara hii tutakufanyia kwa uaminifu mkubwa sana kulingana na makubaliano tutakayoingia.
Nini unatakiwa kufanya:
1. Njoo ofisini kwetu tutafanya tutafanya makubaliano ya kibiashara na tutaingia katakana.taba.
2. Baada ya makubaliano kukamilika utatakiwa kuingiza kiasi cha fedha kwa ajiri ya kuanza kazi yako.
Tunakuhakikishia usalama wa pesa yako na tunakuhakikishia upatikanaji wa mzigo kiasi chochote ndani ya muda mfupi.
Kwa maelezo zaidi njoo Pm
Sent using Jamii Forums mobile app
Msimu mpya wa mavuno ya mahindi mkoani Ruvuma (Songea) umeanza karibu ewe mfanyabiashara ofisini tukununulie mahindi kwa bei poa. Sisi tunayo ofisi songea mjini, tunavyo vifaa vya kazi kama vile mizani na vifaa vya kupima unyevu. Biashara hii tutakufanyia kwa uaminifu mkubwa sana kulingana na makubaliano tutakayoingia.
Nini unatakiwa kufanya:
1. Njoo ofisini kwetu tutafanya tutafanya makubaliano ya kibiashara na tutaingia katakana.taba.
2. Baada ya makubaliano kukamilika utatakiwa kuingiza kiasi cha fedha kwa ajiri ya kuanza kazi yako.
Tunakuhakikishia usalama wa pesa yako na tunakuhakikishia upatikanaji wa mzigo kiasi chochote ndani ya muda mfupi.
Kwa maelezo zaidi njoo Pm
Sent using Jamii Forums mobile app