Benny
JF-Expert Member
- Jun 6, 2014
- 3,275
- 5,392
Nimekuta taarifa hii inaelekea ukingoni katika kituo cha habari cha Germany "DW"
Mukhtasari ni kwamba nchi ya Germany inahitaji zaidi Wafanyakazi 200,000 kutoka nchi mbalimbali kutokana na wanachokiita "Labour Shortage due to Democraphic decline"
Wanapokea wafanyakazi kutoka EU lakini kwa mwaka huu bunge la Germany linasema hakuna dalili za wafanyakazi kutoka EU kutosheleza.
Changamka!
Mukhtasari ni kwamba nchi ya Germany inahitaji zaidi Wafanyakazi 200,000 kutoka nchi mbalimbali kutokana na wanachokiita "Labour Shortage due to Democraphic decline"
Wanapokea wafanyakazi kutoka EU lakini kwa mwaka huu bunge la Germany linasema hakuna dalili za wafanyakazi kutoka EU kutosheleza.
Changamka!