afebris
Member
- Nov 17, 2015
- 96
- 103
Habari wakuu,
Baada ya mihangaiko ya kazi,nimeamua kufikiria kujiajiri mwenyewe.
Nimevutimiwa na mji wa Kahama,
kwa wadau wanaofahamu au wanaokaa mji huu naombeni mnijuze fursa katika mji huu either za biashara au uwekezaji.
pia napokea ushauri mji mwingine mwenye fursa nzuri.
nashkuru.
Baada ya mihangaiko ya kazi,nimeamua kufikiria kujiajiri mwenyewe.
Nimevutimiwa na mji wa Kahama,
kwa wadau wanaofahamu au wanaokaa mji huu naombeni mnijuze fursa katika mji huu either za biashara au uwekezaji.
pia napokea ushauri mji mwingine mwenye fursa nzuri.
nashkuru.