Tomaa Mireni
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 2,330
- 2,283
Natumai wote mko powa.
Hakuna kitu nilikua nasubiri kwa hamu kama maboresho ya toleo la android 9 lililo kwenye simu yangu ya vivo Y11(1906).
Hii simu niliipenda na kila kasoro za kwenye masimu mengine huku solution ipo. Simu ambayo imevunja rekodi ya simu zangu zote nilizowahi kutumia kwa hiyo sikupanga kuiuza.
.
Niliwaza sana kwa sasa watu wanaenda android 12 mm bado nipo 9 je niuze simu ninunue nyingine kisa version tu,nikapiga ❤️ konde hatimae tumepata. Tena tumerushwa toleo moja zaidi badala ya kwenda 10 tumeruka mpaka 11.
Kama unatumia vivo njoo tuambizane kinachovutia kwenye toleo hili.
Hakuna kitu nilikua nasubiri kwa hamu kama maboresho ya toleo la android 9 lililo kwenye simu yangu ya vivo Y11(1906).
Hii simu niliipenda na kila kasoro za kwenye masimu mengine huku solution ipo. Simu ambayo imevunja rekodi ya simu zangu zote nilizowahi kutumia kwa hiyo sikupanga kuiuza.
Hatimaye vivo Y11 yavunja rekodi ya simu zangu
Katika maisha yangu simu ya kwanza kununua ni Siemens kidole mwaka 2007 mkononi. Sikuwa na matumizi sana wala maana yeyote kwangu. Miaka kabla ya android kuwa maarufu na kuenea TZ ulikuwa unanunua simu kwa kuulizia vitu mfano ina radio? Au ina bluetooth, memory card n.k. 2010 nikanunua nokia...
www.jamiiforums.com
Niliwaza sana kwa sasa watu wanaenda android 12 mm bado nipo 9 je niuze simu ninunue nyingine kisa version tu,nikapiga ❤️ konde hatimae tumepata. Tena tumerushwa toleo moja zaidi badala ya kwenda 10 tumeruka mpaka 11.
Kama unatumia vivo njoo tuambizane kinachovutia kwenye toleo hili.