Mimi pia nilikuwa natumia application moja hivi, baadaye nikagundua ina display aina ya simu ninayoitumia nikaifuta haraka sana kwa sasa natumia Google ndiyo nasearch JF then ndiyo natoa maoni yangu
Wakianza kuonyesha na Email basi hapo itakuwa cheche. Msako wa Nyani, ngedere haponi.Hili jambo nimeliwaza sana hapo usalama upo mashakani kama unaweza kujua simu ninayotumia basi nirahisi kujua IMEI ya simu na baadye kujua kila kitu changu katika mawasiliano yangu!!
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
Mnapoteza muda. Mnajifanya wajanja kumbe ushamba tu. Popote utumiapo internet, IP address yako inaweza kuwa retrieved kirahisi. Tena IP address ni mbya zaidi coz inaweza onesha sehem ulipo exactly.Mimi pia nilikuwa natumia application moja hivi, baadaye nikagundua ina display aina ya simu ninayoitumia nikaifuta haraka sana kwa sasa natumia Google ndiyo nasearch JF then ndiyo natoa maoni yangu
Nimedisable locationMnapoteza muda. Mnajifanya wajanja kumbe ushamba tu. Popote utumiapo internet, IP address yako inaweza kuwa retrieved kirahisi. Tena IP address ni mbya zaidi coz inaweza onesha sehem ulipo exactly.
Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
Toeni signatures kwenye settings.hakuna uchawi wowote.Mimi pia nilikuwa natumia application moja hivi, baadaye nikagundua ina display aina ya simu ninayoitumia nikaifuta haraka sana kwa sasa natumia Google ndiyo nasearch JF then ndiyo natoa maoni yangu
Duh, hiyo nimeipenda. Kwahiyo ile app ya jf umeofuta kwenye simu au?Mimi pia nilikuwa natumia application moja hivi, baadaye nikagundua ina display aina ya simu ninayoitumia nikaifuta haraka sana kwa sasa natumia Google ndiyo nasearch JF then ndiyo natoa maoni yangu
Tena kitu rahisi sana, kabla haujatuma thread inaapia chini aina simu unayotumia. Kwenye kibox kuna tiki ya kijani ukiiondoa tu, simu haiipii tena.Mnalia lia nini si uende seting urekebishe
Mimi sijasema application ya JF, huo ni uchonganishiDuh, hiyo nimeipenda. Kwahiyo ile app ya jf umeofuta kwenye simu au?
Sent from my Infinix HOT 4 Lite using JamiiForums mobile app
Naona wengi wana tambiana kutumia simu za gharama baada ya kuwa displayed mwishoni wa Meseji.
Haya mambo ya technology na owner naye vipo?!?!