mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,562
- 8,189
Hao watu ni shidaaaa!! Hawajuagi mzee wala kijana wao ni kashfa tu kwa kwenda mbele !!Wapo humu pia, kuna jamaa linaitwa TumainiEL, lipo kama lichawi
Hao watu ni shidaaaa!! Hawajuagi mzee wala kijana wao ni kashfa tu kwa kwenda mbele !!Wapo humu pia, kuna jamaa linaitwa TumainiEL, lipo kama lichawi
Mungu amlinde Furaha!Polepole katika moja ya interview alizungumzia watu kupigwa zengwe, Furaha anaonekana kuja na same story na namna watu wanapigwa zengwe.
Kutoka huko "walokoendelea" ukisoma kumbukumbu ya Gen Collin Powell zinasema..."Powell took an early resignation from his tenure as Chairman of the Joint Chiefs of Staff on September 30, 1993. During his chairmanship of the Joint Chief of Staff, there was discussion of awarding Powell a fifth star, granting him the rank of General of the Army. But even in the wake of public and Congressional pressure to do so, Clinton-Gore presidential transition team staffers decided against it.
Ukisoma biblia kuna mtu mmoja anaitwa Yusuf akiwa Misri kwa Potifa ambae alikuwa ni mkuu wa walinzi wa Farao (kwa marekeni tungesema mkuu wa secret service au Tanzania tungesema mkuu wa PSU).
Mke wa potifa akamjaza mumewa kuwa Yusuf alitaka "kumrukia" na akabaki na joho la Yusuf kama ushahidi.
Wakati mmoja JPM akiwa Simiyu akadai report na "vijana wake" walimpa very low grade Tony Mtaka wakidai hafai hata kuwa DC. Nyakati hizo alikuwa DC Mvomero wakati wa utawala wa JK.
Kuna wanadamu huwa wana roho za "kwanini" na kijana anaeleza walimfuata kazini kwake na kundoka nae kimkanda-mkanda, hii itupe kujua, kuna mafigisu sana kwenye mifumo ya utawala duniani kote.
Mungu amlinde Furaha, maana yaonekana anajua mengi dhidi ya kupe ambao wanasabisha ndama wanaishi kwa msoto wa kupe kushiba damu ya ng'ombe.
Nilidhani aliyehojiwa labda ni Msekwa au mtu mmojs mkongwe kumbe ni bwana mdogo Furaha!.Furaha Dominic ambaye ni mpwa wa hayati Magufuli aliyegombea ubunge jimbo la Kawe na kushika nafasi ya kwanza huku Pascal Mayalla akiwa wa 162 amesema siku atakayokutana na Rais Samia atampa orodha ya Wafitini wote waliomzunguka.
Furaha anadai CCM kumejaa siasa chafu za kupakana matope, kufitinishana, kuchongeana na kusingiziana huku KUPE wa chama wakimnyonya damu Rais.
Furaha amesema ameshuhudia mengi sana katika utawala wa mjomba wake ( Magufuli) ikiwemo yeye mwenyewe kudhibitiwa na kikundi cha Wasiojulikana ili asigombee ubunge
Furaha alikuwa akihojiwa na Aloyce Nyanda katika kipindi cha The Big Agenda, Star tv.
Mjadala ulikuwa mkali na Furaha alionekana akifuta machozi mara kwa mara huku mtangazaji Mtozi akimfariji.
Mahijiano yataendelea tena Ijumaa kwani jana hayakukamilika.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Kama Furaha analizwa na CCM wewe ni nani hadi Uchekelee?
Anakula nn mkuu wakati enzi ya Magu mweyewe alishawahi kukamatwa na kuwekwa ndani kabisa!Hahahahahahaaa!! Dawa imemuingia. Atulie km walivyo tulia wakati na yy anakula kipindi kileeee
Naona ukakazia kbs kuhusu nafasi ya Pascal, ila bwashee wee ni mkuda sana!Furaha Dominic ambaye ni mpwa wa hayati Magufuli aliyegombea ubunge jimbo la Kawe na kushika nafasi ya kwanza huku Pascal Mayalla akiwa wa 162 amesema siku atakayokutana na Rais Samia atampa orodha ya Wafitini wote waliomzunguka.
Furaha anadai CCM kumejaa siasa chafu za kupakana matope, kufitinishana, kuchongeana na kusingiziana huku KUPE wa chama wakimnyonya damu Rais.
Furaha amesema ameshuhudia mengi sana katika utawala wa mjomba wake ( Magufuli) ikiwemo yeye mwenyewe kudhibitiwa na kikundi cha Wasiojulikana ili asigombee ubunge
Furaha alikuwa akihojiwa na Aloyce Nyanda katika kipindi cha The Big Agenda, Star tv.
Mjadala ulikuwa mkali na Furaha alionekana akifuta machozi mara kwa mara huku mtangazaji Mtozi akimfariji.
Mahijiano yataendelea tena Ijumaa kwani jana hayakukamilika.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Kama Furaha analizwa na CCM wewe ni nani hadi Uchekelee?
Ndio maana tunataka katiba mpya. Humo kutajaa sheria na taratibuBinadamu ni watu wa kubadilikabadilika sana
Hutakiwi kumuamini mtu ukiwa kiongozi ila unatakiwa kuamini sheria, kanuni na taratibu
Mungu ibariki Tanzania
Msekwa analea vitukuu!Nilidhani aliyehojiwa labda ni Msekwa au mtu mmojs mkongwe kumbe ni bwana mdogo Furaha!.
Nini?Tunasbr
Wadudu CCM, Nyuki wa mama, Chawa, viroboto, Nzi wa kijani, kenge wa kijani, nyoka wa kijani na KUPE .😀😄😀Furaha anadai CCM kumejaa siasa chafu za kupakana matope, kufitinishana, kuchongeana na kusingiziana huku KUPE wa chama wakimnyonya damu Rais.
Hiyo katiba mnayoitaka itakuwa ni likitabu likubwa kama nyumba sasa, maana hadi mambo ya Furaha mnataka kuingiza humoNdio maana tunataka katiba mpya. Humo kutajaa sheria na taratibu
Walimuonea sana MC wangu!Hapo pasco kushika 162 nmecheka sanaaa
Mungu wangu wa Mbinguni akubariki sanaHahahaaaa......... KUPE!
Kura zilipigwa mubashara alishinda kweli!Na yeye anaamini alishinda kura za maoni?
Tumainel alijua incharge wa viroba,, enzi zile,, yaani, Disposal UnitWapo humu pia, kuna jamaa linaitwa TumainiEL, lipo kama lichawi