Tuliza ma-kasesela utuletee habari kamiliKimsingi, yaliyosemwa na mtoto aliyekuwa mgombea wa ubunge Jimbo la kawe kwa maana ya furaha Dominick nimeshangaa Sanaa Huyu kijana ameongea mambo ya ajabu Sanaa.
Nimejiulize alio waita kope aliwajuaje kuwa ni kope?
Hivi alimjuaje kope Alie enda kumchongea makamu wa Raisi kwa Raisi?
Hivi, huyo kijana alipataje fursa ya kuingia Ikulu na kuwaona makupe?
Je Kupe ni ninani?
Tuseme huijui au vipi?Dini ipi ni ya kweli mzee?
Wanachofanya ni kucheza na akili za watu esp wanawake.... na kimsingi wanawa win sana. Ingawa kwa kweli wapo wengine unaona kbs yhis guy is real connected yo God!!!Aisee hawa wanaojiita wachungaji na makanisa yao ya ajabu ajabu ni waongo sana
Mkuu hakuna Mchungaji yeyote mkweli wa kusema yupo connected to God.Wanachofanya ni kucheza na akili za watu esp wanawake.... na kimsingi wanawa win sana. Ingawa kwa kweli wapo wengine unaona kbs yhis guy is real connected yo God!!!
Sukuma GANG mnaponzwa na ubinafisi mlio nao, kila mmoja anataka kuwahi.😀😄mmesambaratishwa kibwege sana.Duuh kukosa ubunge kunauma sana.
Kwa hiyo huyu mpwa anataka kutuambia nini, kwamba mjombake aliokua anatupigia kelele za nileteeni Gwajima alikua hana akili au Mwendawazimu. Sukuma GANG mnajivuruga sana.Gwajima ni msukule tu kama misukule yake
Ningekuuliza???Tuseme huijui au vipi?
KinaelewekaJifunze namna ya kuandika kichwa cha habari kinachoeleweka.
DuhDogo alikua anafanya kazi kwa mkemia, alikua na kiburi Sana, baada ya magufuli kufa akafukuzwa kazi.
Alikata rufaa time ya utumishi sijui km atafanikiwa