mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,763
- 35,201
Malaika huwa wanakosa? Sio nyie mliyemuondolea uanadamu na kumpachika uungu? Leo Mungu kafanya yake ndio mnajua mtu wenu alikuwa mwanadamu na hakuwa mkamilifu %?
Kila binadamu mwenye imani kwa Mungu nia yake ni kuwa na maisha kama ya malaika sabubu ndilo analotaka aliyetuumba. Na Mungu kufanya yake kwa kumchukua mtu wake ni utaratibu wa kumchukua aliyemaliza kazi katika mapenzi yake na sio adhabu.
Usichukie watu kuongea habari za malaika maana hiyo itakua roho ya kishetani ila tafuta na wewe kufanana na malaika maana hauijui siku wala saa yako. Japo Mungu anajua sote tumepungukiwa ila anatutaka tuutafute sana utakatifu kwa hiyo nawe jitahidi sana kwa sifa na utukufu wa Mungu