Uchaguzi 2020 Furaha Dominic, afunguka mazito kuhusu uchaguzi wa 2020

Na unauita uchafuzi ndio ulikuja kuthibitishwa haukuwa uchafuzi kwenye hizo video

Sababu wakati mimi na wewe kwa uchache wetu tunabishana hapa online, wale waliowengi ndio waliovunja uzio airport na kuruka ukuta kule taifa ndio waliosimama kwenye foleni kumchagua

Ubishi upo lakini kuna la kujifunza hapo
Yule shetani watu walikuwa hawaamini kama kafa hata mimi nilienda uwanjani kuthibitisha kama amekufa sio kwamba nilikuwa nampenda katili uile
 
Yule shetani watu walikuwa hawaamini kama kafa hata mimi nilienda uwanjani kuthibitisha kama amekufa sio kwamba nilikuwa nampenda katili uile



Unasema unachokipenda wewe na wao walisema na kuonyesha hisia zao kwa kile walichokipenda wao

Wewe hukumpenda wao walimpenda. Ndio maisha yalivyo. Usiumie
 
Unasema unachokipenda wewe na wao walisema na kuonyesha hisia zao kwa kile walichokipenda wao

Wewe hukumpenda wao walimpenda. Ndio maisha yalivyo. Usiumie
Mngempa hizi nasaha shujaa wenu na kama angekubali kuwasikiliza huenda watu wengi sana wasingepita katika mateso waliyopitia.
 
Hakuna kibaya au alichokosea kuongea Furaha Dominiki; sababu hakuna mwanadamu aliyemkamilifu na pia hakuna anaueweza kuwaridhisha watu wote wanaomzunguka kwa 100%

Hata tunaoona anamsema uncle wake tunajipa moyo tuu sababu ya chuki tulizo nazo juu yake, kabla ya kumsema hebu turudi kwenye familia zetu, office zetu, kwenye nyumba zetu za ibada, mitaani kwetu halafu tuone kama kila mtu anatukubali kwa 100%.

Aendelee kulala salama Mwamba Shujaa na rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania John Pombe Joseph Magufuli.

Umeenda kimwili lakini kiroho unaishi, wacha waendelee kukujadili😃
Atakumbukwa na kuishi na wajinga wenzake lakini watafutaji kwa jasho lao hawawezi kumbuka hata siku moja.
 
Hakuna kibaya au alichokosea kuongea Furaha Dominiki; sababu hakuna mwanadamu aliyemkamilifu na pia hakuna anaueweza kuwaridhisha watu wote wanaomzunguka kwa 100%

Hata tunaoona anamsema uncle wake tunajipa moyo tuu sababu ya chuki tulizo nazo juu yake, kabla ya kumsema hebu turudi kwenye familia zetu, office zetu, kwenye nyumba zetu za ibada, mitaani kwetu halafu tuone kama kila mtu anatukubali kwa 100%.

Aendelee kulala salama Mwamba Shujaa na rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania John Pombe Joseph Magufuli.

Umeenda kimwili lakini kiroho unaishi, wacha waendelee kukujadili😃

..huyu kijana asche ujinga.

..anatakiwa aonywe na watu wazima ndani ya uko wa Magufuli.

..anaongea kana kwamba alikuwa akifanya kazi ktk ofisi ktk dawati moja na Raisi Magufuli.

..anataka kujenga picha kwamba Uraisi wa Magufuli ulikuwa ni wa ubia na ndugu akiwemo Furaha Dominic.
 
11 January 2022

EXCLUSIVE THE BIG AJENDA USIKU WA LEO NA ALIYEKUWA MGOMBEA WA JIMBO LA KAWE, FURAHA DOMINICK.



Baada ya ukimya wa kipindi kirefu ajitokeza kwa mahojiano ya kina.

Furaha Dominic, mkemia na mbobevu wa elimu ya mazingira kwa fani alizosomea azungumzia pande mbili za uncle wake John Pombe Magufuli. Mjomba John Pombe Magufuli kuwaamini rafiki na watu wake wa karibu na hivyo wakati mwingine kutokana na imani hiyo alishauriwa vibaya na kupelekea watu kuumizwa bila kujua, na sasa 'wanamsaliti' kwa wazi Magufuli na sera zake.

Pia aliyoyaona ndani ya makundi yaliyopo ndani ya CCM kuelekea uteuzi wa kuchagua wagombea wa ubunge jijini Dar es Salaam hususan jimbo la uchaguzi la Kawe lililopo jijini Dar es Salaam. Furaha Dominick aliwahi kukamatwa tarehe 26 June kabla ya uchaguzi 2020 na kuwekwa ndani wakati wa utawala wa awamu ya 5.

Furaha Dominick visheni yake na matamanio ya CCM iende vipi na matamanio ya wananchi ... n.k n.k mengi sana.

Source: Star TV Habar



KUTOKA MAKTABA :

21 July 2020

Matokeo jimbo la Kawe DSM, Gwajima AKAMATA namba 3, Furaha Dominic Aongoza...

FURAHA Dominic Jacob ameongoza kura za maoni Jimbo la Kawe, Dar es Salaam kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kupata kura 101 kati ya kura zote 475 za wajumbe wa mkutano wa CCM jimbo la Kawe.



Source : KidaniStars
 
11 January 2022

EXCLUSIVE THE BIG AJENDA USIKU WA LEO NA ALIYEKUWA MGOMBEA WA JIMBO LA KAWE, FURAHA DOMINICK.



Baada ya ukimya wa kipindi kirefu ajitokeza kwa mahojiano ya kina.

Furaha Dominic, mkemia na mbobevu wa elimu ya mazingira kwa fani alizosomea azungumzia pande mbili za uncle wake John Pombe Magufuli. Mjomba John Pombe Magufuli kuwaamini rafiki na watu wake wa karibu na hivyo wakati mwingine kutokana na imani hiyo alishauriwa vibaya na kupelekea watu kuumizwa bila kujua, na sasa 'wanamsaliti' kwa wazi Magufuli na sera zake.

Pia aliyoyaona ndani ya makundi yaliyopo ndani ya CCM kuelekea uteuzi wa kuchagua wagombea wa ubunge jijini Dar es Salaam hususan jimbo la uchaguzi la Kawe lililopo jijini Dar es Salaam. Furaha Dominick aliwahi kukamatwa tarehe 26 June kabla ya uchaguzi 2020 na kuwekwa ndani wakati wa utawala wa awamu ya 5.

Furaha Dominick visheni yake na matamanio ya CCM iende vipi na matamanio ya wananchi ... n.k n.k mengi sana.

Source: Star TV Habar

Wacha wachanane wana wa Babeli hawa
 
11 January 2022

EXCLUSIVE THE BIG AJENDA USIKU WA LEO NA ALIYEKUWA MGOMBEA WA JIMBO LA KAWE, FURAHA DOMINICK.



Baada ya ukimya wa kipindi kirefu ajitokeza kwa mahojiano ya kina.

Furaha Dominic, mkemia na mbobevu wa elimu ya mazingira kwa fani alizosomea azungumzia pande mbili za uncle wake John Pombe Magufuli. Mjomba John Pombe Magufuli kuwaamini rafiki na watu wake wa karibu na hivyo wakati mwingine kutokana na imani hiyo alishauriwa vibaya na kupelekea watu kuumizwa bila kujua, na sasa 'wanamsaliti' kwa wazi Magufuli na sera zake.

Pia aliyoyaona ndani ya makundi yaliyopo ndani ya CCM kuelekea uteuzi wa kuchagua wagombea wa ubunge jijini Dar es Salaam hususan jimbo la uchaguzi la Kawe lililopo jijini Dar es Salaam. Furaha Dominick aliwahi kukamatwa tarehe 26 June kabla ya uchaguzi 2020 na kuwekwa ndani wakati wa utawala wa awamu ya 5.

Furaha Dominick visheni yake na matamanio ya CCM iende vipi na matamanio ya wananchi ... n.k n.k mengi sana.

Source: Star TV Habar

Kwanini alitaka kugombea ubunge huku akitumia mgongo wa jina la mjomba wake? Alifikiri mjomba wake angempendelea kwa kuwa ni mpwa wake? Kwanini anasema hadharani sasa hivi akisemea mambo ya kiutawala kinyume na utunzaji siri alizowahi kuziskia?

Ahojiwe pia ili aseme hadharani kuhusu kwanini JPM alipougua kwa karibu wiki mbili wananchi hawakutangaziwa mpaka alipofariki?

Ilikuwaje alikuwa anashiriki vikao vya kiongozi wa nchi na kusikiliza mazungumzo ya siri yaliyoletwa kwa raisi?

Ni akina viongozi waliokuwa wanampelekea rais taarifa za majungu na uchonganishi?

Kwanini anamwita askofu Gwajima ni muongo hadharani wakati na yeye akiwa na mgongano wa maslahi kuutaka ubunge wa Kawe?

Je, anafikiri yeye bado ni chaguo la wana Kawe kwa kipindi hiki kama ilivyokuwa enzi za JPM anayemsemea vibaya kwa sasa?

Alishaomba ushauri kutoka familia ya hayati JPM kuyasema hayo aliyotamka hadharani wakati akijua hivyo amevunja sheria?

Anatambua kwamba ili Kawe iweze kufikia maendeleo inayoyatamani kuyafikia kupitia wananchi wenyewe kwa uwekezaji wao au miradi ya serikali nisharti pawepo na ushirikiano kutoka kwa raisi, maraisi wastaafu maana wengi wana makazi huko na jeshi la wananchi kwa upande mwingine maana kambi zote kuu ziko huko?

Anatambua kwamba katika mahojiano anayoyafanya sasa hivi kwenye kituo cha runinga na kutoa matamshi tata kuhusu JPM anafufua maumivu waliyoyapata baada ya kifo chake?

Malengo yake kwa ajili ya jimbo la Kawe ambayo alikuwa anayatamani kufanyika angeyafanya kwa kutumia rasirimali fedha za kawake au kupitia mpango kazi wa serikali?
 
Kwanini alitaka kugombea ubunge huku akitumia mgongo wa jina la mjomba wake? Alifikiri mjomba wake angempendelea kwa kuwa ni mpwa wake? Kwanini anasema hadharani sasa hivi akisemea mambo ya kiutawala kinyume na utunzaji siri alizowahi kuziskia?

Ahojiwe pia ili aseme hadharani kuhusu kwanini JPM alipougua kwa karibu wiki mbili wananchi hawakutangaziwa mpaka alipofariki?

Ilikuwaje alikuwa anashiriki vikao vya kiongozi wa nchi na kusikiliza mazungumzo ya siri yaliyoletwa kwa raisi?

Ni akina viongozi waliokuwa wanampelekea rais taarifa za majungu na uchonganishi?

Kwanini anamwita askofu Gwajima ni muongo hadharani wakati na yeye akiwa na mgongano wa maslahi kuutaka ubunge wa Kawe?

Je, anafikiri yeye bado ni chaguo la wana Kawe kwa kipindi hiki kama ilivyokuwa enzi za JPM anayemsemea vibaya kwa sasa?

Alishaomba ushauri kutoka familia ya hayati JPM kuyasema hayo aliyotamka hadharani wakati akijua hivyo amevunja sheria?

Anatambua kwamba ili Kawe iweze kufikia maendeleo inayoyatamani kuyafikia kupitia wananchi wenyewe kwa uwekezaji wao au miradi ya serikali nisharti pawepo na ushirikiano kutoka kwa raisi, maraisi wastaafu maana wengi wana makazi huko na jeshi la wananchi kwa upande mwingine maana kambi zote kuu ziko huko?

Anatambua kwamba katika mahojiano anayoyafanya sasa hivi kwenye kituo cha runinga na kutoa matamshi tata kuhusu JPM anafufua maumivu waliyoyapata baada ya kifo chake?

Malengo yake kwa ajili ya jimbo la Kawe ambayo alikuwa anayatamani kufanyika angeyafanya kwa kutumia rasirimali fedha za kawake au kupitia mpango kazi wa serikali?

Hoja zote hizi mtambuka ni nzito na kweli zinahitaji ufafanuzi .
 
Back
Top Bottom