Funzo: Vijana wa CCM acheni siasa za chuki zitawaponza. Mnawaumiza wazazi wenu na familia zenu bila sababu. Acheni!

Waswahili wanasema majuto ni Mjukuu.

wengine wakaongeza kuwa Mchuma janga hula na wa kwao.

Lakini pia kuna msema wa kisheria unasema Jinai Haifi. Ewe kijana wa ccm unayehendekez siasa za chuki nakusihi achana nazo. Zitakuja kukucost wewe na familia yako siku a muda usio ujua.

Nani angetarajia hali anayopitia leo Hamohrey Polepole au Bashiru Ally au hata Kheri James??

Tumeona huko Hai yaliyotokea. Sasa tunasikia Paul Makonda halali usiku wala mchana. Hana uhakika kama akila ndani kesho ataamkia wapi. Waliomtuma au kumpongeza atende aliyotenda wamemkimbia na wengine hawapo.

Jifikirie tu ikiwa Jinai haifi unadhani baada ya miaka 20-30 hao wanaokutuma na kukuvimbisha kichwa watakuwa madarakani?? Je watakubeba na kukuokoa na dhahama zitakazo kukuta?. Utakuwa mgeni wa nani??

Somo hili liwafikie tena akina Jeri muro, Murisho gambo, Katambi, Ogutu, Aron kajulumugulu n.k.

Kuna hatari huko mbele msipojirekebisha

This was a wakeup call.
Hawawezi kuacha, ukishajiunga ccm ubongo unang'olewa kabisa
 
Waswahili wanasema majuto ni Mjukuu.

wengine wakaongeza kuwa Mchuma janga hula na wa kwao.

Lakini pia kuna msema wa kisheria unasema Jinai Haifi. Ewe kijana wa CCM unayehendekez siasa za chuki nakusihi achana nazo. Zitakuja kukucost wewe na familia yako siku a muda usio ujua.

Nani angetarajia hali anayopitia leo Hamohrey Polepole au Bashiru Ally au hata Kheri James?

Tumeona huko Hai yaliyotokea. Sasa tunasikia Paul Makonda halali usiku wala mchana. Hana uhakika kama akila ndani kesho ataamkia wapi. Waliomtuma au kumpongeza atende aliyotenda wamemkimbia na wengine hawapo.

Jifikirie tu ikiwa Jinai haifi unadhani baada ya miaka 20-30 hao wanaokutuma na kukuvimbisha kichwa watakuwa madarakani?? Je watakubeba na kukuokoa na dhahama zitakazo kukuta?. Utakuwa mgeni wa nani?

Somo hili liwafikie tena akina Jeri muro, Murisho gambo, Katambi, Ogutu, Aron kajulumugulu n.k.

Kuna hatari huko mbele msipojirekebisha

This was a wakeup call.
Vijana wa ccm wameacha kufanya siasa za kujibu hoja Kama ilivyokua KWA watangulizi wao ,KWA Sasa hujifanya ni kitengo NDANI ya serikali, ata chama hawajengi wao kusifia tu uku wakichungulia teuzi ,

Ccm imekufa Sana, tuonacho ni pambo ,ila chama kimechakaa Sana
 
Vijana wa ccm wameacha kufanya siasa za kujibu hoja Kama ilivyokua KWA watangulizi wao ,KWA Sasa hujifanya ni kitengo NDANI ya serikali, ata chama hawajengi wao kusifia tu uku wakichungulia teuzi ,

Ccm imekufa Sana, tuonacho ni pambo ,ila chama kimechakaa Sana
Tuliwambia vijana wa ccm a.k.a viroboto waache siasa za chuki kwani hazina mwisho mwema.
 
Hahaha... Mleta mada atakuwa kalewa mbege!

Yani katika aliowataja wote wanakula maisha.

Nilifikiri unataja watu aina ya Lisu na Lema waliokimbia nchi kwamba waache siasa za kihuni.

Vijana wanaoaibisha wazazi wao wako chadema kama kina mdude nk.
Vipi Sabaya anakula maisha?? habari gani kuhusu Polepole group na Gwajiporn?
 
Kiroboto asome hii.
Unadhani_huyu_MHUNI_anafanya_Nini_hapa%3F%0A%0AA._Anahalalisha_UHUNI%0AB._Anahalalisha_wizi_wa...jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom