Funzo: Vijana wa CCM acheni siasa za chuki zitawaponza. Mnawaumiza wazazi wenu na familia zenu bila sababu. Acheni!

Hawa jamaa hata hivyo bado wengi wamelelewa. Hivi chuki zile za Hery James, Bashite, Muro, Gambo etc . Eti kisa tu mmetofautiana itikadi , mawazo , Imani nk

Mungu ni mwema, ataliponya taifa letu la Tanganyika . Kutokuwa mwana Ccm siyo dhambi ya kuhukumiwa . Uvccm acheni umungumutu .
🤣🤣🤣🤣
 
Leo hii Le Mutuzii Mobimba kapata wapi ujasiri wa kukemea matendo maovu ya Viongozi Vijana wa CCM,si ndio yeye alikuwa bega kwa bega na Muro kipindi kile akifanya uonevu alipokuwa DC Arumeru?
IMG-20211017-WA0247.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bila kumsahau Kihongosi alipewa u DC baada ya kutishia kumuua zito, chalamila ni lini atasajili magufuli party yake,kessy pinda na nkamia atuwasikii aongezewe mda
 
Bila kumsahau Kihongosi alipewa u DC baada ya kutishia kumuua zito, chalamila ni lini atasajili magufuli party yake,kessy pinda na nkamia atuwasikii aongezewe mda
Ali Kesi na Juma Nkamia🤣🤣🤣Mkapa's voice- malof.....
 
Waswahili wanasema majuto ni Mjukuu.

wengine wakaongeza kuwa Mchuma janga hula na wa kwao.

Lakini pia kuna msema wa kisheria unasema Jinai Haifi. Ewe kijana wa ccm unayehendekez siasa za chuki nakusihi achana nazo. Zitakuja kukucost wewe na familia yako siku a muda usio ujua.

Nani angetarajia hali anayopitia leo Hamohrey Polepole au Bashiru Ally au hata Kheri James??

Tumeona huko Hai yaliyotokea. Sasa tunasikia Paul Makonda halali usiku wala mchana. Hana uhakika kama akila ndani kesho ataamkia wapi. Waliomtuma au kumpongeza atende aliyotenda wamemkimbia na wengine hawapo.

Jifikirie tu ikiwa Jinai haifi unadhani baada ya miaka 20-30 hao wanaokutuma na kukuvimbisha kichwa watakuwa madarakani?? Je watakubeba na kukuokoa na dhahama zitakazo kukuta?. Utakuwa mgeni wa nani??

Somo hili liwafikie tena akina Jeri muro, Murisho gambo, Katambi, Ogutu, Aron kajulumugulu n.k.

Kuna hatari huko mbele msipojirekebisha

This was a wakeup call.

Huyu bwana:

IMG_20210829_163746_049.jpg



akikusikia masikio makavu usiache kutuletea mrejesho.
 
Waswahili wanasema majuto ni Mjukuu.

wengine wakaongeza kuwa Mchuma janga hula na wa kwao.

Lakini pia kuna msema wa kisheria unasema Jinai Haifi. Ewe kijana wa ccm unayehendekez siasa za chuki nakusihi achana nazo. Zitakuja kukucost wewe na familia yako siku a muda usio ujua.

Nani angetarajia hali anayopitia leo Hamohrey Polepole au Bashiru Ally au hata Kheri James??

Tumeona huko Hai yaliyotokea. Sasa tunasikia Paul Makonda halali usiku wala mchana. Hana uhakika kama akila ndani kesho ataamkia wapi. Waliomtuma au kumpongeza atende aliyotenda wamemkimbia na wengine hawapo.

Jifikirie tu ikiwa Jinai haifi unadhani baada ya miaka 20-30 hao wanaokutuma na kukuvimbisha kichwa watakuwa madarakani?? Je watakubeba na kukuokoa na dhahama zitakazo kukuta?. Utakuwa mgeni wa nani??

Somo hili liwafikie tena akina Jeri muro, Murisho gambo, Katambi, Ogutu, Aron kajulumugulu n.k.

Kuna hatari huko mbele msipojirekebisha

This was a wakeup call.
Mshaurini na mdude maana anaonekana Kama bado anawashwa washwa
 

Similar Discussions

23 Reactions
Reply
Back
Top Bottom