- Thread starter
- #21
🤣🤣🤣Usijipe matumaini sana, kwa katiba hii anaweza kurudi jiwe mwingine na hao vijana wote wakarudi kutamba kama zamani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Usijipe matumaini sana, kwa katiba hii anaweza kurudi jiwe mwingine na hao vijana wote wakarudi kutamba kama zamani.
🤣🤣🤣🤣Hawa jamaa hata hivyo bado wengi wamelelewa. Hivi chuki zile za Hery James, Bashite, Muro, Gambo etc . Eti kisa tu mmetofautiana itikadi , mawazo , Imani nk
Mungu ni mwema, ataliponya taifa letu la Tanganyika . Kutokuwa mwana Ccm siyo dhambi ya kuhukumiwa . Uvccm acheni umungumutu .
Mwisho wa Ubaya ni FedhehaMwisho wa ubaya...
Leo Bananga anakula Shavu Sabaya anakula mvua ya miaka wakati Sabaya aliyekuwa akiwaingiza yuko korokoroniMwisho wa ubaya...
Yule wa Rorya sijajua aliko. Jina lake Elias Ogundu nadhaniNauliza hivi yule DC mnoko wa Ryoba alirudishwa au ana cheo gani sasa?
Lemutuzi kashaona kipenge kimepulizwa anajaribu kuwakana waovu wenzake wasije kumtaja huko mbeleniLeo hii Le Mutuzii Mobimba kapata wapi ujasiri wa kukemea matendo maovu ya Viongozi Vijana wa CCM,si ndio yeye alikuwa bega kwa bega na Muro kipindi kile akifanya uonevu alipokuwa DC Arumeru?View attachment 1977779
Sent using Jamii Forums mobile app
Aliliwa kichwa kitambo yule poyoyo odunga dc wa hovyo kabisa.Yule wa Rorya sijajua aliko. Jina lake Elias Ogundu nadhani
Inawezekana hiki ndio kilikuw akikosi cha wasiojulikana. Walikuwa hawaogopi kitu chochoteAliliwa kichwa kitambo yule poyoyo odunga dc wa hovyo kabisa.
Yule Bwana aliteua wahuni
Ali Kesi na Juma Nkamia🤣🤣🤣Mkapa's voice- malof.....Bila kumsahau Kihongosi alipewa u DC baada ya kutishia kumuua zito, chalamila ni lini atasajili magufuli party yake,kessy pinda na nkamia atuwasikii aongezewe mda
Umenena vyema. Mwenye masikio na asikie.List ni ndefu. Kw ufupi tu ni hayo.
Bwana anena na KanisaUmenena vyema. Mwenye masikio na asikie.
Waswahili wanasema majuto ni Mjukuu.
wengine wakaongeza kuwa Mchuma janga hula na wa kwao.
Lakini pia kuna msema wa kisheria unasema Jinai Haifi. Ewe kijana wa ccm unayehendekez siasa za chuki nakusihi achana nazo. Zitakuja kukucost wewe na familia yako siku a muda usio ujua.
Nani angetarajia hali anayopitia leo Hamohrey Polepole au Bashiru Ally au hata Kheri James??
Tumeona huko Hai yaliyotokea. Sasa tunasikia Paul Makonda halali usiku wala mchana. Hana uhakika kama akila ndani kesho ataamkia wapi. Waliomtuma au kumpongeza atende aliyotenda wamemkimbia na wengine hawapo.
Jifikirie tu ikiwa Jinai haifi unadhani baada ya miaka 20-30 hao wanaokutuma na kukuvimbisha kichwa watakuwa madarakani?? Je watakubeba na kukuokoa na dhahama zitakazo kukuta?. Utakuwa mgeni wa nani??
Somo hili liwafikie tena akina Jeri muro, Murisho gambo, Katambi, Ogutu, Aron kajulumugulu n.k.
Kuna hatari huko mbele msipojirekebisha
This was a wakeup call.
Endeleeee mkuu.Hebu tuijue orodha yao wote
🤣🤣🤣mpaka yatoke damu
Mshaurini na mdude maana anaonekana Kama bado anawashwa washwaWaswahili wanasema majuto ni Mjukuu.
wengine wakaongeza kuwa Mchuma janga hula na wa kwao.
Lakini pia kuna msema wa kisheria unasema Jinai Haifi. Ewe kijana wa ccm unayehendekez siasa za chuki nakusihi achana nazo. Zitakuja kukucost wewe na familia yako siku a muda usio ujua.
Nani angetarajia hali anayopitia leo Hamohrey Polepole au Bashiru Ally au hata Kheri James??
Tumeona huko Hai yaliyotokea. Sasa tunasikia Paul Makonda halali usiku wala mchana. Hana uhakika kama akila ndani kesho ataamkia wapi. Waliomtuma au kumpongeza atende aliyotenda wamemkimbia na wengine hawapo.
Jifikirie tu ikiwa Jinai haifi unadhani baada ya miaka 20-30 hao wanaokutuma na kukuvimbisha kichwa watakuwa madarakani?? Je watakubeba na kukuokoa na dhahama zitakazo kukuta?. Utakuwa mgeni wa nani??
Somo hili liwafikie tena akina Jeri muro, Murisho gambo, Katambi, Ogutu, Aron kajulumugulu n.k.
Kuna hatari huko mbele msipojirekebisha
This was a wakeup call.