Funzo: Siku nyingine Watanzania mkiwa mnachagua Rais, Mfanye Family Background check

Sio watanzania sema chama fulani.. Sio kisa mmekosa mtu baada ya kuwakataa simba na yanga mkatupa team makorokocho..
Mkuu baeleze hawa mutu haijui ilikosea wapi. Mimi nilikuwa mkereketwa wa chama kile cha team gear angani sasa tulivyopigwa changa hilo nikawatosa fasta najielewa na kujitambua. Huwezi kuniambia miaka 8 huyu mchafu then ghafla acardabra kawa msafi ndio tumpe maisha yeye na genge lake. Ile dhambi ya kutusaliti ndio imetuletea haya ya mabunduki ktk vituo vya TV.
 
Watanzania sasa muache tabia ya kuchagua viongozi kwa ushabiki. Siku nyingine muwe mnaangalia hata tabia za ao viongozi kwenye familia zao. Angalieni mahusiano yaliyopo kati ya baba na mama pamoja na watoto katika familia. Ni vizuri hata kuangalia mahusiano yake na ndugu zake. Kiongozi mwenye familia yenye amani na upendo tele ndye mwenye sifa ya kupewa nchi.

Ukiona kwa mfano Rais leo anasema hiki mara mawaziri wake wanasema vile ujue hata kwenye familia yake ni ivyo ivyo. Baba anasema hiki mama naye anasema vile.

Ukiona Mgombea kwenye familia anaendekeza ubeberu ujue hata mkimpa nchi, atafanya ubeberu huo huo.

Ukiona Mgombea hana mahusiano mazuri na ndugu zake, mkimpa nchi hawezi kuwa na mahusiano mazuri kivile hta kwa nchi za majirani zake.

Ukiona Mgombea, familia yake haina fraha, msijidanganye hata sikumoja kuwa mkimpa nchi mtabaki na fraha mliokuwa nayo.

Mkiona mgombea anatabia za umimi kwenye familia yake. Mkimpa nchi atafanya maamuzi kwa kujipendelea yeye bila kuangalia mahitaji ya watu wake.

Mkiona kiongozi haeshimu sheria na viapo vya ndoa yake. Hata mkimpa nchi msitegemee ataheshimu katiba na sheria za nchi yake.
True
 
Haya madudu yanayoendelea na huu utata wa kiuongozi unaoendelea ni mshahara wa dhambi ya usaliti wa CHADEMA kutuletea fisadi. Wangeweka mtu msafi mida hii tusingemjua Bashite wala CCM isingekuwa madarakani. Dhambi hii tuwalaumu Mbowe, Maalim Seif, Mbatia, Lissu, Msigwa, Sugu, Baregu, Kubenea, Lema, Lipumba kwa kutuwekea fisadi, na Slaa kwa kukubali kushindwa kupinga uhuni ule. Mungu anatoa adhabu kwa dhambi ya kuwasaliti watanzania na kusaliti kaulimbiu ya ufisadi. Upinzani wangeweka mtu sahihi Bashite angekuwa kitaa anasota bila kazi sasa yupo hapa na hili jiji sasa linaitwa jiji la Bshite. Dhambi ya Lowassa ndio kubwa kwa tamaa yake iliyopitiliza na chuki yake ya kuukosa uraisi alihamua kumkomoa Membe kumbe alikuwa anatukomoa watanzania. Mkuu JPM piga kazi Mungu kakuleta umalize tatizo la uvivu, rushwa na unafiki. Mungu yupo pamoja nawe nasisi wenye uchungu na nchi tupo pamoja nawe.
 
Yani wewe jamaa leo una tapatapa kama samaki alievuliwa anataka kukata roho kwa kukosa maji. Bado tupo ambao tulimpigia kura huyu jamaa na tutakuwa pamoja nae for good and for bad as long as his intension was to bring positive change like War on drugs, to fight corruption, e.t.c. The man acted like a platoon commandor today, never abandon or leave behind your fellow service man at the battle field. Kwa Makonda mkuu ametuma ujumbe mmoja People come and goes but his soldiers stays eternal. The same applies to me I will defend my vote which I have casted for JPM from dusk to down. See you 2020.
MKUU HAUNA TOFAUTI NA WANAFUNZI WANAOJUA SANA ENGLISH LAKINI WANAPATA ZERO NECTA....... ENGLISH SKILLS ZAKO HAZIENDANI NA UWEZO WAKO WA KUFIKIRI..... TRY TO THINK OUTTA BOX.... ANGALAU ENGLISH YAKO ISIENDE BURE......
 
Haya madudu yanayoendelea na huu utata wa kiuongozi unaoendelea ni mshahara wa dhambi ya usaliti wa CHADEMA kutuletea fisadi. Wangeweka mtu msafi mida hii tusingemjua Bashite wala CCM isingekuwa madarakani. Dhambi hii tuwalaumu Mbowe, Maalim Seif, Mbatia, Lissu, Msigwa, Sugu, Baregu, Kubenea, Lema, Lipumba kwa kutuwekea fisadi, na Slaa kwa kukubali kushindwa kupinga uhuni ule. Mungu anatoa adhabu kwa dhambi ya kuwasaliti watanzania na kusaliti kaulimbiu ya ufisadi. Upinzani wangeweka mtu sahihi Bashite angekuwa kitaa anasota bila kazi sasa yupo hapa na hili jiji sasa linaitwa jiji la Bshite. Dhambi ya Lowassa ndio kubwa kwa tamaa yakebiliyopitiliza na chuki yake ya kuukosa uraisi aliahamua kumkomoa Membe kumbe alikuwa anatukomoa watanzania. Mkuu JPM piga kazi Mungu kakuleta umalize tatizo la uvivu, rushwa na unafiki. Mungu yupo pamoja nawe nasisi wenyebuchungu na nchi tupo pamoja nawe.
Richmond ni ya kikwete sasa ufisadi wa lowasa ni upi?
 
MKUU HAUNA TOFAUTI NA WANAFUNZI WANAOJUA SANA ENGLISH LAKINI WANAPATA ZERO NECTA....... ENGLISH SKILLS ZAKO HAZIENDANI NA UWEZO WAKO WA KUFIKIRI..... TRY TO THINK OUTTA BOX.... ANGALAU ENGLISH YAKO ISIENDE BURE......
Mchango wako unaendana na umri wako.
 
Richmond ni ya kikwete sasa ufisadi wa lowasa ni upi?
Kwanini Lowassa alikubali yatendeke hayo in his watch? Kwanini hakujiudhuru kabla hajashinikiza ule mchakato ufanyike haraka? Kwanini alikaa kimya akajiudhuru akaendelea kukaa kimya hadi maazimio ya bunge yakapita kiana kisha baada zaidi ya miaka miwili ndio aseme JK alihusika? Think 10 times deeper.
 
Haya madudu yanayoendelea na huu utata wa kiuongozi unaoendelea ni mshahara wa dhambi ya usaliti wa CHADEMA kutuletea fisadi. Wangeweka mtu msafi mida hii tusingemjua Bashite wala CCM isingekuwa madarakani. Dhambi hii tuwalaumu Mbowe, Maalim Seif, Mbatia, Lissu, Msigwa, Sugu, Baregu, Kubenea, Lema, Lipumba kwa kutuwekea fisadi, na Slaa kwa kukubali kushindwa kupinga uhuni ule. Mungu anatoa adhabu kwa dhambi ya kuwasaliti watanzania na kusaliti kaulimbiu ya ufisadi. Upinzani wangeweka mtu sahihi Bashite angekuwa kitaa anasota bila kazi sasa yupo hapa na hili jiji sasa linaitwa jiji la Bshite. Dhambi ya Lowassa ndio kubwa kwa tamaa yakebiliyopitiliza na chuki yake ya kuukosa uraisi aliahamua kumkomoa Membe kumbe alikuwa anatukomoa watanzania. Mkuu JPM piga kazi Mungu kakuleta umalize tatizo la uvivu, rushwa na unafiki. Mungu yupo pamoja nawe nasisi wenyebuchungu na nchi tupo pamoja nawe.
Mungu si mjinga hivyo hawezi kukaa na nyinyi, yaani Daud anatumia vyeti Feki mungu akae hapo? Kuwabambikia watu kesi, Uonevu wa kila aina, kuwapora watu magari kwa vitisho vya kuwaweka kwenye List ya dawa za kulevya, kukamata Unga kimya kimya kwenda kuuza South Africa ni Mungu kawatuma? Acheni kumshirikisha Mungu na mambo ya shetani
 
Kama Mtu anamshindwa ku mu contol mke wake ambaye hata vitabu vya dini vinasema utakuwa juu yake
Ataweza ku contol kaya zote
 
MKUU HAUNA TOFAUTI NA WANAFUNZI WANAOJUA SANA ENGLISH LAKINI WANAPATA ZERO NECTA....... ENGLISH SKILLS ZAKO HAZIENDANI NA UWEZO WAKO WA KUFIKIRI..... TRY TO THINK OUTTA BOX.... ANGALAU ENGLISH YAKO ISIENDE BURE......
Kama unafikiri kujua kiingereza vizuri ndio uwezo mkubwa wa kufanya reasoning basi wewe una uwezo mdogo sana wa kufikiri tena haustahili kufanya mjadala na mimi. Sababu hutakuja kunielewa kamwe. Kiingereza is nothing its like Zaramo or kurya vernacular language.
 
Kwanini Lowassa alikubali yatendeke hayo in his watch? Kwanini hakujiudhuru kabla hajashinikiza ule mchakato ufanyike haraka? Kwanini alikaa kimya akajiudhuru akaendelea kukaa kimya hadi maazimio ya bunge yakapita kiana kisha baada zaidi ya miaka miwili ndio aseme JK alihusika? Think 10 times deeper.
Obama alikuja kuzindua nini ubungo? Unajua chimbuko la ule mchongo ? Ulizia vizuri utajua Richmond ni ya Nani na ilikuaje obama abariki dili hilo ukijua kufuatilia hapo ndipo utajua kuwa Lowasa alijiuzulu kumwepusha kikwete na Aibu tu.
 
Mungu si mjinga hivyo hawezi kukaa na nyinyi, yaani Daud anatumia vyeti Feki mungu akae hapo? Kuwabambikia watu kesi, Uonevu wa kila aina, kuwapora watu magari kwa vitisho vya kuwaweka kwenye List ya dawa za kulevya, kukamata Unga kimya kimya kwenda kuuza South Africa ni Mungu kawatuma? Acheni kumshirikisha Mungu na mambo ya shetani
Mungu gani anakaa na watu wa visasi kama bwana yule wa misukule? Mbona Mbowe hajafanya visasi? Use your head!
 
Mungu gani anakaa na watu wa visasi kama bwana yule wa misukule? Mbona Mbowe hajafanya visasi? Use your head!
Visasi vipi? Yaani kumlaza ndani mtu mpaka waumini wake wakataka kuhama anajihami mnasema ni visasi? Ulitaka Gwajma abambikiwe kesi akae kiimya kisa eti ni kulipa visasi? Tambua kuwa Gwajma anajitetea na si visasi bali ni kuwaonyesha watanzania kuwa Makonda licha ya kujinadi ni mtu saafi kumbe hana usafi wowote bali kaamua kutengeneza Dili la Rushwa na hana vyeti hii si kusasi ni Ukweli acha kufananisha Ukweli juu ya tabia mbovu za makonda na visasi.
 
Obama alikuja kuzindua nini ubungo? Unajua chimbuko la ule mchongo ? Ulizia vizuri utajua Richmond ni ya Nani na ilikuaje obama abariki dili hilo ukijua kufuatilia hapo ndipo utajua kuwa Lowasa alijiuzulu kumwepusha kikwete na Aibu tu.
There you are! Excellent now we speak same language. Kwanini amuepushe adhabu mtu aliewatendea dhuluma watanzania masikini? Kumbe nae kashiriki uovu na kilichomtokea ni motekeo ya kuwasaliti watz. Na haya yanayotokea sasa ni malipo yake. Yani hata yanayomkuta Mbowe ni malipo ya usaliti. Kama alichukua pesa kwa kumpa uwakililishi wa kugombea uraisi basi hakika hiyo fedha itarudi kwa watanzania kupitia NHC na TRA. Malipo hapahapa duniani.
 
Watu wa mwanza kuwapa uongozi ni tatizo mfano wa bichwa ni cheyo ukimpa uongozi MTU kama cheyo nchi itaenda kimilembelembe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom