Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 11,324
- 17,829
Mkuu baeleze hawa mutu haijui ilikosea wapi. Mimi nilikuwa mkereketwa wa chama kile cha team gear angani sasa tulivyopigwa changa hilo nikawatosa fasta najielewa na kujitambua. Huwezi kuniambia miaka 8 huyu mchafu then ghafla acardabra kawa msafi ndio tumpe maisha yeye na genge lake. Ile dhambi ya kutusaliti ndio imetuletea haya ya mabunduki ktk vituo vya TV.Sio watanzania sema chama fulani.. Sio kisa mmekosa mtu baada ya kuwakataa simba na yanga mkatupa team makorokocho..