Habrini za asubuhi wadau!
Jana niliendaa Kariako kununua zile mbomba za kuweke pazia, sasa niliendaa kwenye mitaa ya vyombo vya chakula (kwa jinaa sijui ila ndo mtaa maarufu kwa vitu kama hvyoo))
Nilifika hapo nikakutaa jamaa kaweza zile bomba nyingi nying kwenye nguzo za umeme!
Sasa nikasema ngojaa nimuunge maana sio mbayaa nikanunua bomba kama 7 (2.5 m) hv na kila mojaa ni 9000 basi nikaanza safari sasa ya kwende nyumba.
Nilipo fika home kufungua bomba la kwanzaa ni zile fupi zimeunganishaa. Kwa kwel nimechokaa sana tena sana.
Kwa kwel Mungu ni Mungu nilikuwa nimekadiria urefu nikakutaa zile bombaa ni ndefu sanaa. Sasa zile viungo vidogo ilibidi nitoe ndio zikawa sawa na madirishaa.
Funzo usinunue kitu barabarani kariakoo nenda dukani kabisa pia penda kudai risiti. Fanya hv utakuja kunishukuru!
Jana niliendaa Kariako kununua zile mbomba za kuweke pazia, sasa niliendaa kwenye mitaa ya vyombo vya chakula (kwa jinaa sijui ila ndo mtaa maarufu kwa vitu kama hvyoo))
Nilifika hapo nikakutaa jamaa kaweza zile bomba nyingi nying kwenye nguzo za umeme!
Sasa nikasema ngojaa nimuunge maana sio mbayaa nikanunua bomba kama 7 (2.5 m) hv na kila mojaa ni 9000 basi nikaanza safari sasa ya kwende nyumba.
Nilipo fika home kufungua bomba la kwanzaa ni zile fupi zimeunganishaa. Kwa kwel nimechokaa sana tena sana.
Kwa kwel Mungu ni Mungu nilikuwa nimekadiria urefu nikakutaa zile bombaa ni ndefu sanaa. Sasa zile viungo vidogo ilibidi nitoe ndio zikawa sawa na madirishaa.
Funzo usinunue kitu barabarani kariakoo nenda dukani kabisa pia penda kudai risiti. Fanya hv utakuja kunishukuru!