SAD! Hiyo kauli yako imenikuta pabaya sana-ninachat na jamaa flani kutoka Australia-anapondasana serikali yetu kwa kukosa "priorities"!!!!
Anyway kaka unayetafuta wataalam wa fenicha (pamoja kuwa hauko specific!), jaribu kuwasiliana na mjasiriamali mmoja anaitwa "MANYUSI"-Search Humu JF kisha UM-PM.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.