FUNGUKA;.leo kila mtu ajisifie...

zubedayo_mchuzi

JF-Expert Member
Sep 2, 2011
4,873
1,216
Usisubiri kusifiwa jisifie Mwenyewe...Husika na kichwa ya habari hapo juu..
Mi ntakuwa wa Mwisho...ila kwa kuanzia..mi ni mbabe,hapa ngumi zimelala....uwezo wangu binafsi wa kumfurahisha na kumridhisha mwenzi wangu...
Nina miliki baiskeli 3,qhoen
Hayo ni mache tu...

Endeleza.
 
Mi ndo charger,piga misele yako weee jioni utakuja tu na kisimu chako,siepukiki so far.Utajiri- namiliki cherehani,feni,kapeti la manyoya na friji used.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom