zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Nikiwa kwenye Mishe mishe zangu,Gafla nakutana na kundi la vijana 2 na wadada 3,wakijadili uaminifu katika mahusiano,Mchangiaji mmoja akasema wote si Ke Wala Me vicheche tu kasoro wale Wadada wenzetu Wenye VITOVU VIKUBWA wao huwa waaminifu sana...
Hujiamini sana wanapokuwa kwenye Mahusiano,Pia Hawapendi kuruka ruka hyo itawafanya kujulikana kuwa anakitovu kikubwa yeye hudumu na Mmoja....
Je wewe unasemaje?
Hujiamini sana wanapokuwa kwenye Mahusiano,Pia Hawapendi kuruka ruka hyo itawafanya kujulikana kuwa anakitovu kikubwa yeye hudumu na Mmoja....
Je wewe unasemaje?