kzba
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 1,356
- 789
Nakubali kuwa transaction za mitandao ya simu iko convenience sana ila haya makato yao sio rafiki kabisa ni kama wanatukomoa yaani.
Ni bora ku transfer pesa kwa account za kibenki ndugu zangu, mimi kuanzia tarehe 1 mwakani ishallah ndio itakuwa kutumia mitandao ya simu kuweka au kutuma pesa.
Ni ushahuri tu.
Ni bora ku transfer pesa kwa account za kibenki ndugu zangu, mimi kuanzia tarehe 1 mwakani ishallah ndio itakuwa kutumia mitandao ya simu kuweka au kutuma pesa.
Ni ushahuri tu.